edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,879
- 9,678
Anakaa Israel,umefurahi Sasa😂
Imeonekana jana ikiruka kutoka Dodoma kwenda Zanzibar kwa hiyo inatumika.Are you sure that the Gulf Stream is fly able? For the past six years how many flying hours has it acquired?
Watu wanasema tunaropoka ni mbovu hatukusoma ripoti ya CAG? Sasa huo ubovu ni wa vipi ambao toka enzi za ripoti ya CAG hadi leo haujatengenezeka? Halafu wanasema tunaropoka utafikiri wao kila siku wanaletewa taarifa kwa Gulf Stream bado mbovuImeonekana jana ikiruka kutoka Dodoma kwenda Zanzibar kwa hiyo inatumika.
Hakuna ubishi kuwa ilitua Zanzibar jana mchana.Watu wanasema tunaropoka ni mbovu hatukusoma ripoti ya CAG? Sasa huo ubovu ni wa vipi ambao toka enzi za ripoti ya CAG hadi leo haujatengenezeka? Halafu wanasema tunaropoka utafikiri wao kila siku wanaletewa taarifa kwa Gulf Stream bado mbovu
Amesema anamuacha afanye kazi yake ngoja tuone kama atakuwa na kifua cha kuvumilia hilo!Harafu report isiposema hasara safari hii aisee mkaguzi mkuu nitamshangaa.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile ap
Shida yake ni kwamba , anasababisha cancellation za safari za ATC kwa sisi wengineNdege kubwa ni muhimu ili kujinafasi na kuepuka msongamano, mama sio mjinga kiviiiile..!!
Maza anatumia vizuri cheo chakeMwache mama ale maisha na ndege mpya aina ya Airbus!! Ile ya Rais imechoka bhana!! Tangu enzi hizo!!
Viti vyenyewe tu vya kukalia, unaweza ukakuta ni zaidi ya vile vya ile TATA ya Simba.
Na vikao vingine amtume hata Waziri wa Mambo ya Nje inatoshaShida yake ni kwamba , anasababisha cancellation za safari za ATC kwa sisi wengine
😀 😀 😀 aa wapi, huyu anaonekana anapenda ndege kama JK. Mulamula akae atulie tu. JPM yeye ndo alikuwa anatuma mawaziri kumwakilisha.Na vikao vingine amtume hata Waziri wa Mambo ya Nje inatosha
Hachoki kusafiri?😀 😀 😀 aa wapi, huyu anaonekana anapenda ndege kama JK. Mulamula akae atulie tu. JPM yeye ndo alikuwa anatuma mawaziri kumwakilisha.
JK alichoka man? Ni majukumu tuliyomtuma, acha atumikeHachoki kusafiri?
Hizo safari ni gharama kubwa snJK alichoka man? Ni majukumu tuliyomtuma, acha atumike
Aendelee kuupiga mwingi
Comparison ya nini Mkuu?Tunasubiria ripoti ya CAG tufanye comparison
Comparison ya nini Mkuu?