- Thread starter
- #101
Chadema inaingiaje wakati watoto wa baba mmoja mnachinjana.Chadema na wauza poda wana shida sana,tushaambiwa tuchape kazii majungu peleka kwako na familia yako huko.
Chadema inaingiaje wakati watoto wa baba mmoja mnachinjana.Chadema na wauza poda wana shida sana,tushaambiwa tuchape kazii majungu peleka kwako na familia yako huko.
Hivi unadhani kati ya Sizonje na Clouds nani anamtegemea mwenzie sana kwa uwepo wake ?Clouds wameshawafukuza(technically) sizonje na kijana wake,sijui watarudi TBC,wanatangatanga tu sasa
Wamekula sana airtime
Clouds imeishi kabla sizonje hajaja mjini,inaweza kuishi bila mkono wa yoyete isipokuwa mashabiki wakeHivi unadhani kati ya Sizonje na Clouds nani anamtegemea mwenzie sana kwa uwepo wake ?
Kituo hakikuvamiwa, bali kilifanyiwa ziara ya kushtukiza.Kituo cha Clouds media juzi kilivamiwa na mkuu wa mkoa Paul Makonda, watu mbalimbali wamekuwa wakitoa pole na hata maneno ya kuwatia moyo, ajabu hadi sasa sijasikia tamko lolote kutoka kwa kiongozi mkuu wa nchi kuwapa pole rafiki zake waliomfanyia kampeni ya nguvu nchi nzima.
Rais kama kiongozi wa nchi anatakiwa awe mfano wa kuigwa na upendo kwa wananchi wake wote bila kujali ni rafiki zake au adui wa rafiki yake.
Namkumbusha tu kwamba aelewe kuna kesho, Makonda peke yake asingeweza kumuingiza madarakani kama anavyodhani, atakuja kuwahitaji tena kipindi kingine.
Sidhani kama umewahi kufanya hata biashara ya pipiClouds imeishi kabla sizonje hajaja mjini,inaweza kuishi bila mkono wa yoyete isipokuwa mashabiki wake
Always siku izi mkuu wa mkoa anatembea na maaskari kwa ajili ya kumlinda na hawa wazee wa madawa ya kulevya so alipita pale kufatiria ishu zake na hawo maaskari coz ndo anaambatana nao kila sehem anapoenda na siyo alivamia kituo cha clouds......ww umeona tu video anaingia na askari basi kavamia....Hivi ndugu mbona unakua mgumu kuelewa? Swala la kupigwa au kutokupigwa ni secondary....sio la msingi. Swala la msingi ni mkuu wa mkoa kuvamia kitu cha media usiku akiambatana na maaskari wenye silaha za moto. Kwenye nchi yoyote inayojiheshimu swala kama hilo ni ishara ya kupindua nchi! Jambo kama hili halitakiwi kuchukuliwa kiwepesiwepesi tu eti "Rais amefunga mjadala". No!
Za kuangalia shilawaduAna kazi nyingi sana!!
Wewe umewahi?Sidhani kama umewahi kufanya hata biashara ya pipi
Dua la kuku.....naona hasira za ukuta zimepamba motoNgoja Dua za watanzania zifanye kazi Daud atapata jawabu mda si mrefu tu.
nilitaka kuongea hivyo,,,ni haki yake kufanya vile,pole ni ya nini?Tukio watengeneze wenyewe halafu wapewe pole!!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????
Mange kateka akili za watu kibao.....anaaminiwa kuliko rais mtu ambaye anachuki kabisa na makonda na amamkashifu kwa kila aina ya tusi lkn watanzania hawalioni hilo.....asa iv mange kimambi ndo msemaji mkuu akisema kitu watu bila kuchuja wala kutafakari wanaamini moja kwa moja kuwa n ukweli......una ushahidi gani kuwa gsm mall ni wauza madawa.....list ikitolewa na mkuu wa mkoa ni batiri lakini ikitolewa na mange ndo sahihiWewe ndio mwenye kucopy mimi evidence zipo na kadi zipo kwa kweli tunakipenda chama chetu kwa hili tutasimama imara wakati tunazungulq mikoani kuomba kura bashite hakuwepo wacha tuongee