Kwanini Rais hajawapa pole Clouds?

Kwanini Rais hajawapa pole Clouds?

Atajifumza kupenda vya kwake, lazima arudi tbc
 
pole ya nini? wakati hakuna ata video moja ambayo inaonesha kuna uharibifu uliofanywa na makonda wowote, zaidi ya makonda kuingia mapokezi.ruge anasema kuna cctv camera kila kona kwenye mjengo.na kama aliweza kusimama mbele ya media yake na kusema uovu wa bwana makonda kwanini anashindwa kuweka na video inayoonesha sudi na timu yake wanapigwa??
Ni zamu ya Joseph Kusaga kuishi kama shatani, maana aliishi kama malaika kwa muda merging sana! Acha Creations imgeuzie kibao! Ni zamu yake kusota milele! Afanalek! Wenye hekima watanielewa! Exodus 14:14
 
Kituo cha Clouds media juzi kilivamiwa na mkuu wa mkoa Paul Makonda, watu mbalimbali wamekuwa wakitoa pole na hata maneno ya kuwatia moyo, ajabu hadi sasa sijasikia tamko lolote kutoka kwa kiongozi mkuu wa nchi kuwapa pole rafiki zake waliomfanyia kampeni ya nguvu nchi nzima.

Rais kama kiongozi wa nchi anatakiwa awe mfano wa kuigwa na upendo kwa wananchi wake wote bila kujali ni rafiki zake au adui wa rafiki yake.


Namkumbusha tu kwamba aelewe kuna kesho, Makonda peke yake asingeweza kumuingiza madarakani kama anavyodhani, atakuja kuwahitaji tena kipindi kingine.
Wapewe pole ya nini wakati wamenunuliwa na ma drug lod
 
Ukawa watawapa pole wanatosha, siunajua tena hawana kazi za kufanya
 
Makonda uko sahihi sana, endelea tu na utaratibu wako mpaka ofisi za tbc ziwepo hapo mawingu media group na watangazaji tuwabinafsishe wawe wa tbc yetu...
 
keshasema hapangiwi,haonyeshwi njia haelekezwiiii ila tu aombeweee hahahaaaa
 
Watu wengine bwana awape pole majitu yaliyo kaaa na kuli record tukio yenyewe
 
Flash sasa imekuwa ngeu yaani mnaingia vita msio ijua hii vita ina interest kwa wauza unga nyie mmeshika bunduki bila kuelewa adui wa ukweli ni nani.MAKONDA GOO WATAELEWA TU
Unga gani mkuu!?
 
wacha waisome namba, maisha ya unafiki mwisho wao ni Aibu, nimecheka sana leo Sugu nae anawasupport clouds, wanyonyaji wa wasanii. unafiki hauwezi kuisha Tanzania
Adui wa adui yako ni rafiki yako.
 
Back
Top Bottom