Ni zamu ya Joseph Kusaga kuishi kama shatani, maana aliishi kama malaika kwa muda merging sana! Acha Creations imgeuzie kibao! Ni zamu yake kusota milele! Afanalek! Wenye hekima watanielewa! Exodus 14:14pole ya nini? wakati hakuna ata video moja ambayo inaonesha kuna uharibifu uliofanywa na makonda wowote, zaidi ya makonda kuingia mapokezi.ruge anasema kuna cctv camera kila kona kwenye mjengo.na kama aliweza kusimama mbele ya media yake na kusema uovu wa bwana makonda kwanini anashindwa kuweka na video inayoonesha sudi na timu yake wanapigwa??
Wapewe pole ya nini wakati wamenunuliwa na ma drug lodKituo cha Clouds media juzi kilivamiwa na mkuu wa mkoa Paul Makonda, watu mbalimbali wamekuwa wakitoa pole na hata maneno ya kuwatia moyo, ajabu hadi sasa sijasikia tamko lolote kutoka kwa kiongozi mkuu wa nchi kuwapa pole rafiki zake waliomfanyia kampeni ya nguvu nchi nzima.
Rais kama kiongozi wa nchi anatakiwa awe mfano wa kuigwa na upendo kwa wananchi wake wote bila kujali ni rafiki zake au adui wa rafiki yake.
Namkumbusha tu kwamba aelewe kuna kesho, Makonda peke yake asingeweza kumuingiza madarakani kama anavyodhani, atakuja kuwahitaji tena kipindi kingine.
Zamu ya Joseph Kusaga kusota! Hamna jinsi! Creations imemkataa!Wapewe pole ya mini wamenunuliwa na ma drug lod
Niliskia Bukoba. Niliskia Kahama. Niliskia ktk Bomoa Bomoa. Samahani. Sijawahi.Umeshawahi kusikia neno 'pole' toka kwa JPM?
Unga gani mkuu!?Flash sasa imekuwa ngeu yaani mnaingia vita msio ijua hii vita ina interest kwa wauza unga nyie mmeshika bunduki bila kuelewa adui wa ukweli ni nani.MAKONDA GOO WATAELEWA TU
Kashaacha kuifuatilia cloudsMbona leo hajapiga cm
Adui wa adui yako ni rafiki yako.wacha waisome namba, maisha ya unafiki mwisho wao ni Aibu, nimecheka sana leo Sugu nae anawasupport clouds, wanyonyaji wa wasanii. unafiki hauwezi kuisha Tanzania
UKAWA wetulia tuli wanaangalia muvi linavyokwenda.Ukawa watawapa pole wanatosha, siunajua tena hawana kazi za kufanya