Kwanini Rais hajawapa pole Clouds?

Kwanini Rais hajawapa pole Clouds?

Hivi hamjamjua kuwa Mh sio mtu wa mchezo mchezo?
anaweza kabisa akatoka alikotoka akawape pole?
badala akaangalie ujenzi akawape pole akina ruge, kwani waneuchinjwa

Aende makonda akawape pole! ndugu zake!

mtajiumiza sana , kama hamjamsoma Rais ni mtu wa aina gani
 
Kituo cha Clouds media juzi kilivamiwa na mkuu wa mkoa Paul Makonda, watu mbalimbali wamekuwa wakitoa pole na hata maneno ya kuwatia moyo, ajabu hadi sasa sijasikia tamko lolote kutoka kwa kiongozi mkuu wa nchi kuwapa pole rafiki zake waliomfanyia kampeni ya nguvu nchi nzima.

Rais kama kiongozi wa nchi anatakiwa awe mfano wa kuigwa na upendo kwa wananchi wake wote bila kujali ni rafiki zake au adui wa rafiki yake.


Namkumbusha tu kwamba aelewe kuna kesho, Makonda peke yake asingeweza kumuingiza madarakani kama anavyodhani, atakuja kuwahitaji tena kipindi kingine.

Shilawadu.png
 
Kituo hakikuvamiwa, bali kilifanyiwa ziara ya kushtukiza.
Neno "kuvamiwa" linatumika ili kuongeza uzito wa hoja.
Kituo kinavamiwaje bila hata umwagaji damu au vioo kuvunjika?
Ziara ya kushtukiza na SMG ofisini teh teh teh
 
Nawashangaa sana wanaosema eti pole itolewe kwa ile media watu wanayodai imevamiwa.........
HAKUNA CHA KUVAMIWA WALA NINI,mteja ni mfalme, sioni jipya hapo, tena wa kupewa pole ni aliyeenda pale kufanya alichokifanya maana walikuwa na maelewano binafsi sasa hayakutekelezeka (mi nampongeza, au angerudishiwa****** yake)............

we ukienda mgahawani kuagiza chakula, ukalipia, ukakaa kutegemea kiletwe, kikichelewa sana si unanyanyuka kumfuata mpishi jikoni kulikoni? akileta za kuleta na wakati ni haki yako ile , basi UKO FREE KUFANYA LOLOTE, wasituletee ujinga hapa, kwanza wahusika wanapaswa kuchukuliwa hatua, media biashara sasa yamewatokea puani................ (hakuna aliye msafi)
Hebu rudia kusoma ulichoandika
 
raisi anasema hapangiwi mana hakuchukuliwa fomu na kugombea alichukua mwenyewe ndio na je kura alijipigia mwenyewe akashinda au kura yake moja ingempitisha??? waliompitisha ndio wanaopiga kelele juu ya uchafu unaofanyika yeye kama yeye siyo kila kitu anaweza kuona tena ashukuru watu wanapiga kelele kila kona na ushahidi upo ? video ya yule mwalimu kule mbeya iliposambaa na watu kupiga kelele kila kona waziri wa elimu na waziri wa mambo ya ndani walichukua hatua je tuseme na wao walikosea? kuna walakini hapa tena mkubwa anashindana na gwajima pia hawa clouds media group ndio wajifunze kuwa bibilia ilsha sema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga yake leo waliyemtegmea na kuwafariji kwa kuwapigia simu kawaacha haki ipo kwa Mungu
hio clouds ni kazi ya Mh Nape Nnauye!
mlitaka awe PUPPET president?
 
atawapaje pole yet yeye ndie alisuka mpango na bashite wake, mbaya zaidi dili limedunda
 
Yeye Magu na Bashite ndio walipanga kuvamia Clouds.Haiwezekani watoe pole
 
hana mpango wa kupata support kutoka kwa yeyote ifikapo mwaka 2020. In short Magufuli amejihakikishia ushindi wa mezani, like it or not.
 
mkuu kuna ukweli hapo?
Wametenheneza wao kama yote yasemwayo ni kweli,
1.walishaharibu weledi wao, kwanini haijakamilika ijulikane kuwa itaruka na ndo maana huyu kaja kuwa bado. currupt media
2. wamefanya favouritism hadi watu wanaona ni utaratibu kulazimisha vipindi.
3. wameajiri watu wasiojua kuwa kipindi ni balanced au la, hadi mkuu wao ndo awe command kiruke au kisiruke na kusisitiza kwamba kuna watu huwa wanarusha bila kubalance.
4.kutokana na 3 kuna watu ndani ya media yao ndo wamepush hilo. hivyo uongozi wao haujakaa sawa. waweke miongozo hata ya kuingia ndani.
eti alivamia, alibomoa mlango, au alimsukuma mlinzi? si aliruhusiwa!
 
pole ya nini? aache kwenda kuwapa pole wagonjwa hospitalini awape pole hao jamaa wazima kabisa hata hawaumwi
Kweli kabisa, kuna watu wanapenda mambo ya kijinga. labda kama wangepigwa ya machozi bila kosa. kutembelewa!
 
pole ya nini? wakati hakuna ata video moja ambayo inaonesha kuna uharibifu uliofanywa na makonda wowote, zaidi ya makonda kuingia mapokezi.ruge anasema kuna cctv camera kila kona kwenye mjengo.na kama aliweza kusimama mbele ya media yake na kusema uovu wa bwana makonda kwanini anashindwa kuweka na video inayoonesha sudi na timu yake wanapigwa??
ukweli mtup!
hakia nia ya Ruge anajua nafsini mwake mwenyewe. siju elimu yake! ila namwona ni corrupt na kama kiongozi wa media iliyojizolea sifa kama yake kiuongozi hayupo sawa. hayupo balanced na kama hatajua atashanga anacheza ngoma za watu. ana ushabiki fulani. hafai kuwa kiongozi
 
pole ya nini? wakati hakuna ata video moja ambayo inaonesha kuna uharibifu uliofanywa na makonda wowote, zaidi ya makonda kuingia mapokezi.ruge anasema kuna cctv camera kila kona kwenye mjengo.na kama aliweza kusimama mbele ya media yake na kusema uovu wa bwana makonda kwanini anashindwa kuweka na video inayoonesha sudi na timu yake wanapigwa??
ukweli mtup!
hakia nia ya Ruge anajua nafsini mwake mwenyewe. siju elimu yake! ila namwona ni corrupt na kama kiongozi wa media iliyojizolea sifa kama yake kiuongozi hayupo sawa. hayupo balanced na kama hatajua atashanga anacheza ngoma za watu. ana ushabiki fulani. hafai kuwa kiongozi
 
Kwa sababu wanamsingizia rafiki yao aliyewatembelea usiku kuwatia moyo kwenye kazi nzuri.
Kwa nini hawakukanusha wakasema tulitembelewa tu na rafiki yetu?
 
Back
Top Bottom