princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,657
- 19,272
Hivi hamjamjua kuwa Mh sio mtu wa mchezo mchezo?
anaweza kabisa akatoka alikotoka akawape pole?
badala akaangalie ujenzi akawape pole akina ruge, kwani waneuchinjwa

Aende makonda akawape pole! ndugu zake!
mtajiumiza sana , kama hamjamsoma Rais ni mtu wa aina gani
anaweza kabisa akatoka alikotoka akawape pole?
badala akaangalie ujenzi akawape pole akina ruge, kwani waneuchinjwa


Aende makonda akawape pole! ndugu zake!
mtajiumiza sana , kama hamjamsoma Rais ni mtu wa aina gani