UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,696
- 6,045
Pole ya nini?wakati yeye anamsapoti aloyefanya so labda kesho ITV au kituo kingine yetu macho.Mimi nifunge mlango miye asije kwangu na mtutu mimi hata kisu sina na hakina mtu anayenifahamu .Mmm bibi yangu aliniambia kua mwanangu uyaone.Ila naota haya yanatokea nchi jirani jamani maana wao wana mpaka alshabab wanatembea na bunduku