Kwanini pete ya ndoa inavaliwa mkono wa kushoto?

Tony Laurent

JF-Expert Member
Jan 5, 2011
4,726
5,442
Wengi wetu tunajua na tunaona pete za ndoa zikivaliwa na wanandoa katika kidole cha pili kutoka mwisho, mkono wa kushoto.

Naomba nisaidiwe kujua, Je, ni kwa nini pete hiyo ya ndoa inavaliwa kwenye kidole hicho cha mkono wa kushoto na si kidole kingine kwenye mkono huohuo au mkono wa kulia?

Je, pete ya ndoa ina maana na umuhimu gani kwa wanandoa?

1629273751616.png
 
Wanasema katika mkono wa kushoto kwenye kidole cha shahada kuna mshipa wa damu una kwenda moja kwa moja kwenye moyo..

Sent using my radio call over!!
Siyo kidole cha shahada ni Chanda ndipo ule msemo wa 'Chanda chema huvikwa pete'.
 
Pamoja na imani kuwa kodole cha mkono wa kushoto kina huo mshipa unaoenda kwenye moyo hii ni kama tamaduni tu kwa jamii nyingi ila baadae waligundua vidole vyote vina hiyo mishipa.

Kilochotokea watu wa jamii katika nchi nyingine walibadilisha na kuvaa kodole cha mkono wa kulia mf Norway Ujerumani, Ubelgiji na nchi nyingi za ulaya ila wamarekani na Afrika wengi wamebakia na ile imani ya Wagiriki. Acient Greec time.k

Kwa uelewa wangu.
 
Mambo ya Pete ni utamaduni wa kigen mwanzo haukuwepo
Mm siijui thamani ya pete

Sent using Gun Trigger
 
Back
Top Bottom