Kwanini Paschal Mayalla amekuwa mnafiki?

Kwanza kubali kuwa wewe pungasese afu kaa kimya. Mtafute Lissu akusaidie kumwelewa mayalla. And mwisho unajua maana ya Demokrasia na uhuru wa maoni. Mbona mnacommiti "Intellectual suicide"
Mnajifanya wapenda uhuru kumbe madikteta wakubwa. Katika kila siasa kuna wafaidika na wasiofaidika .
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
 
Jiheshimu mwana Demokrasia na Maendeleo . Kweli chama hiki kma kina watu wasiojua maana ya heshima basi hamtakuja kumtawala hata panzi
Tatizo umejaa mihemko na jazba..wapi kwenye hii makala umeona neno itikadi ya chama cha Siasa?
Tulia na elewa mkuu
 
Mkuu huyu jamaa alikuwa na ID mbili humu hii ya sasa na nyingine ya Pasco. Ile ya Pasco ndiyo alikuwa akiitumia kwa mengi sana kukandia au kusifia.

Akafanya makosa siku moja nadhani kulikuwa na news conference ya Chadema kama sikosei ambayo ilionyeshwa kwenye TV na baadhi humu waliangalia ile news conference. Akauliza swali la kiccm silikumbuki swali husika kisha kwa kutumia ID ya pasco na si hii ya sasa akaja kutamba humu kwamba ni yeye ndiye aliyeuliza lile swali. Watu wakajumlisha moja na moja na kupata jibu hivyo kuanza kumuita kwa jina la hii ID ya kweli na haikupita muda mrefu mabandiko yake yote ya ID ya pasco yakaunganishwa na ID hii ya sasa.

Muoneeni huruma Pascal ,hivi kusema awamu hii ya tano nani anaweza kusema na kumchana jiwe live zaidi ya mtandaoni ,mpaka waliomsukumiza wanamwogopa .Pascal humu jumwaani anatumia real I'd ,si mnajua ana watoto na familia aiche ? MTU kaisha itwa bungeni bila kujali ana nauli au la akapewa siku na SAA afike .Huku bungeni spika ana fimbo yake aliyompigia mpinzani wake wa kongwa jamani muwe mnafikiria vizuri aaah utani tu .
 
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI

Nasikitika na nakuonea mno Huruma kwamba umechelewa sana kuujua huo Unafiki wake.
 
Acheni kumuonea wivu.. kweli ana mengi mazuri na anajisimamia bila uwoga. Mmamsema mtafikiri mnamtuma kuandika humu na anawageuka... eeeeeeh

Awamu ya Tano mazuri yake yanaonekana.. kama hampendi lieni tu.. maana na bado
 
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
Huyo ana vyeo vingine pia zaidi ya mnafik, huyo pia ni fataani, mzandik, muongo na punguani, kwa uchache.
 
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
Kwa mtazamo wangu. Paschal siyo mnafiki Bali Ni mtu wa mitindo tofauti ya uandishi. Maandishi yake ya Sasa yanafanana na mtindo wa mwanafalisafa mmoja aitwaye Yohani aliyeandika kitabu Cha Injili ya Yohani na kitabu Cha ufunuo katika Biblia. Huyu Ni Kati ya mitume/watumishi kumi na wawili wa Yesu.
Ukifatilia kwa undani Kama unajua kuchambua mitindo ya uandishi,utagundua Huyu ndugu kuwa Ni muwazi na ana hoja fikirishi zilizojificha.
 
Back
Top Bottom