rbt
Member
- Nov 28, 2014
- 95
- 73
100%100%200%Kumuelewa Pascal inabidi uwe Great thinker kweli kweli, ukiwa ni Facebook material utamuona mnafiki.
100%100%200%Kumuelewa Pascal inabidi uwe Great thinker kweli kweli, ukiwa ni Facebook material utamuona mnafiki.
Ni mpuuuzii kama wapuuzi wengine.
Pasco anatumia fasihi kufikisha Ujumbe ... ana ng'ata na kupuliza
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.
Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea
Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.
Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.
Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.
Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.
Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
Ni mpuuuzii kama wapuuzi wengine.
Tatizo umejaa mihemko na jazba..wapi kwenye hii makala umeona neno itikadi ya chama cha Siasa?Jiheshimu mwana Demokrasia na Maendeleo . Kweli chama hiki kma kina watu wasiojua maana ya heshima basi hamtakuja kumtawala hata panzi
Muoneeni huruma Pascal ,hivi kusema awamu hii ya tano nani anaweza kusema na kumchana jiwe live zaidi ya mtandaoni ,mpaka waliomsukumiza wanamwogopa .Pascal humu jumwaani anatumia real I'd ,si mnajua ana watoto na familia aiche ? MTU kaisha itwa bungeni bila kujali ana nauli au la akapewa siku na SAA afike .Huku bungeni spika ana fimbo yake aliyompigia mpinzani wake wa kongwa jamani muwe mnafikiria vizuri aaah utani tu .
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.
Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea
Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.
Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.
Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.
Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.
Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
Mkuu kweli siyo msukuma?
Roho ya shetani ni ipi ?Ulishaona au kusikia msukuma ana roho ya shetani ?
Pasco ni panya sio njaa tenaPasco anatumia fasihi kufikisha Ujumbe ... ana ng'ata na kupuliza
Huyo ana vyeo vingine pia zaidi ya mnafik, huyo pia ni fataani, mzandik, muongo na punguani, kwa uchache.Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.
Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea
Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.
Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.
Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.
Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.
Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
Kwa mtazamo wangu. Paschal siyo mnafiki Bali Ni mtu wa mitindo tofauti ya uandishi. Maandishi yake ya Sasa yanafanana na mtindo wa mwanafalisafa mmoja aitwaye Yohani aliyeandika kitabu Cha Injili ya Yohani na kitabu Cha ufunuo katika Biblia. Huyu Ni Kati ya mitume/watumishi kumi na wawili wa Yesu.Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.
Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea
Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.
Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.
Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.
Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.
Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI