Kwanini Paschal Mayalla amekuwa mnafiki?

Kwanini Paschal Mayalla amekuwa mnafiki?

Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI

He’s a regime booty licker!
 
Paskali anajifanya kutumia lugha ya kumpaka mafuta jamaa ili akumbukwe kwenye uteuzi, halafu anamuita jamaa msukuma wakati hana usukuma wowote ule narudia "kujua kuongea kisukuma hakukufanyi kua msukuma"
 
Mimi bado nauliza accacia na Barrick ngapi ngapi?
Tuliambiwa na Paskali kua mwisho ni tarehe tisa mwezi wa saba.Leo ni tarehe 11/7/2019...alafu apo uendelee kumtegemea kua huyu mtu in msomi makini
 
Kwanza kabisa Naomba ku-declare interest kuwa Pasco ni rafiki yangu. Tunafahamiana na huwa tunaongea mengi lakini hajawahi kujua kuwa mimi ndiye Mzito K. Na hatakuja kujua kwa sababu katika zama hizi za 'wasiojulikana' ni vigumu sana kumtenganisha Pasco na mabosi wa 'wasiojulikana'.

Pili lazima tukubali kuwa Pasco ni miongoni kwa 'brains' chache tulizonazo hapa JF na hata katika taifa.

Tatu lazima tukubali kuwa Pasco sio mnafiki. Ingawa kuna mahali fulani fulani akili yake huwa influenced na Tumbo lake lakini huo ndio unaomfanya awe binadamu kamili-Kutokukamilika.

Katika zama za awamu ya Tano ili Pasco mkono uende kinywani na njia ya liwato isiote nyasi huwa 'anabalansisha' stori zake. Lakini asilimia kubwa kwa tunaomwelewa na tunao msoma between the lines, Pasco anaitandika serikali.

Pigo kubwa la Pasco ni pale Mamvi alipokosa Urais ambao Pasco mpaka kesho kutwa anakiri kuwa Mamvi alichezewa off-side 'trick' ya kufa mtu, lakini kwakuwa alijiandaa kuongoza ile 'KURUGENZI' ya pale mjengoni matumaini yakayeyuka na Mzee baba akamfanya Pasco awe 'NJAA' kama jina lake lilivyo.

Pasco alishaingia makubaliano na mamvi kuwa akishaingia ikulu, Pasco ahamie People's power na baadae apewe kuongoza Kurugenzi.

Anayoyafanya sasa ni kuweweseka tu kwasababu Kurugenzi ataendelea kuisoma kwenye preas release tu.....
 
Endelea kuzugwa na huyo kikaragosi wa nduli na dikteta wa Ikulu. Kwa tunaojitambua humu na ambao tumemfuatilia kwa muda mrefu tunaelewa anachokitaka.

Ajabu ni kuona kuwa na wewe huelewi nini maudhui ya makala za Pasco, kwa kifupi Pasco huwa anatupa bomu la machozi kwenye handaki halafu yeye anakaa pembeni kuangalia Nini kitatoka huko ndani ...
 
Muoneeni huruma Pascal ,hivi kusema awamu hii ya tano nani anaweza kusema na kumchana jiwe live zaidi ya mtandaoni ,mpaka waliomsukumiza wanamwogopa .Pascal humu jumwaani anatumia real I'd ,si mnajua ana watoto na familia aiche ? MTU kaisha itwa bungeni bila kujali ana nauli au la akapewa siku na SAA afike .Huku bungeni spika ana fimbo yake aliyompigia mpinzani wake wa kongwa jamani muwe mnafikiria vizuri aaah utani tu .
 
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
Kiufupi Pascal Mayala sio mnafiki.

Utamuona ni mnafiki kama humfuatilii au kama umeanza kumjua leo?
Tunajua msimamo wake.

Unayoyaona ni kwenda na Beat tu ili kuepukana na wasiojulikana ila kiuhalisia we know Paskali Mayala. And he is so bright I can tell.
 
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
mkuu ulitaka akuabudu wewe atakuwa ameshamuelewa mzee baba
 
Tatzo amekuwa verified member hapa jf

Pia kama unamfuatiliaga alisema aliwah kataa kuwa mwanakitengo na ndio kisa cha kutumuliwa tibisisiem kwahyo ameona bora asande tu
 
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI

PASCAL UKUJE UJIBU HILI SWALI "KWA NINI UMEKUWA MNAFIKI"?

Au kuna nafasi umehaidiwa nini? Tuambiae tu
 
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
Pascal Mayalla ni bonge moja wa mnafiki
 
Pigo kubwa la Pasco ni pale Mamvi alipokosa Urais ambao Pasco mpaka kesho kutwa anakiri kuwa Mamvi alichezewa off-side 'trick' ya kufa mtu, lakini kwakuwa alijiandaa kuongoza ile 'KURUGENZI' ya pale mjengoni matumaini yakayeyuka na Mzee baba akamfanya Pasco awe 'NJAA' kama jina lake lilivyo.

Pasco alishaingia makubaliano na mamvi kuwa akishaingia ikulu, Pasco ahamie People's power
emoji111.png
na baadae apewe kuongoza Kurugenzi.
🤔🤔🤔....!!
 
Pasco anatumia fasihi kufikisha Ujumbe ... ana ng'ata na kupuliza
 
Back
Top Bottom