Kwanini Paschal Mayalla amekuwa mnafiki?

Kwanini Paschal Mayalla amekuwa mnafiki?

1. Ni mtoto wa askari.
2.Maana ya jina lake.Njaa
 
Njaa Mkuu imezidi kuwa kali.

Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
 
Kuna sheria yo yote ya nchi ambayo kavunja? Si kila mtu ana haki ya kuishi anavyotaka, kuabudu anachotaka, kuwaza anavyotaka, kufuata itikadi anayotaka, kubadili misimamo anavyotaka, kujishabihisha na mazingira na mifumo mbalimbali inayomzunguka katika jamii yake anavyotaka ali mradi tu asivunje sheria?

Uhuru huu wa mtu kuwa huru kifikra, kiitikadi, kisaikolojia na nyanja zinginezo si ndiyo unapiganiwa na kila mwanaharakati na mpenda uhuru?

Nadhani ninachojaribu kusema ni kwamba sioni tatizo hata kama amebadili misimamo yake. Labda kama kavunja sheria...Halafu hii tabia ya kujadili watu wa kawaida hii mh! Afadhali angalau kama angekuwa public figure, msanii au mwanasiasa...
 
Sioni umuhimu wa kuandika mada kuhusu Pascal.Yaani unasahau aliitwa kwenye ile nyumba ya Mr Dhaifu na hakuweza kusema yaliyojiri baada ya mjadala ,sasa unataka apelekwe kwenye nyumba nyingine au Zimbabwe?
 
nyepesi nyepesi ni kwamba kahaidiwa teuzi kwa hiyo anatumia nguvu kubwa kuwaaminisha wananchi kuwa Nchi iko Imara chini ya Amri Jeshi Mkuu Mh John Joseph Pombe Magufuli Msukuma wa Chato.
 
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
Njaa haina baunsa !
 
Mimi ninavyosoma nyuzi zake naona kama huwa anatumia lugha ya kufumba fumba hivi, ni kama zile katuni za Masudi ila yeye huweka kimaandishi.


There u r...yaan mm nachekaga mwanzo mwisho..nashangaa kwann watu huwa hawamuelewi..kifupi Paskali anapaka mafuta kwa mgongo wa chupa..!msomen vzr mtamwelewa..Paskal wala hatak hata hvyo vyeo vyao...!
 
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.

Lakini pia wakati wa mwanzoni Paschal Mayalla aliweza kuhoji mambo mazito ila kwasasa amekuwa mtu wa kuandika propaganda za kinafiki,fitna na kutumia nguvu kusherekea

Imefika muda mpaka Paschal Mayalla amekuwa muabudu mtu nasio MUNGU. Paschal Mayalla amezikana akili zake na kuanza kuandika vitu vya ajabu sana.

Amewawahi kuandika kuwa Kabila la Wasukuma ndiyo wapewe nchi na nafasi za kazi kwasababu wasukuma (kabila lake) ni wachapakazi. Huu ni unafiki na ukabila wa khali ya juu,pia amekuwa akiandika mengi kuhusu Makinikia na juzi katoa taarifa kuwa tarehe 10.07.2019 ni mwisho wa ACACIA kitu ambacho ampaka leo ni ndoto hii imezimwa huu niunafika.

Sasa leo Paschal Mayalla anasema Tanzania haikuwahi kutawaliwa na kiongozi mwenye upendo.

Basi hii ikimanisha kuwa viongozi waliotangulia wote walikuwa roho mbaya.

Paschal ameamua kuwa mnafki kwenye awamu hii. POLE SANA WAZAZI
Nyie watu mnataka atekwe?
 
There u r...yaan mm nachekaga mwanzo mwisho..nashangaa kwann watu huwa hawamuelewi..kifupi Paskali anapaka mafuta kwa mgongo wa chupa..!msomen vzr mtamwelewa..Paskal wala hatak hata hvyo vyeo vyao...!
Inashangaza mpaka wa leo wapo ambao hawajamsoma jamaa.

Tatizo vijana wengi ni wa juzi, hawakuwepo zile enzi za 'kiti moto'.
 
Back
Top Bottom