Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Mada sio kuhusu Tanganyika mada ni kuhusu znz.
Acha kuruka kuruka wewe... jibu hayo maswali!



  • Tutajie 5 major infrastructure projects in Tanganyika
  • Kila project ina worth kiasi gani?
  • Nani katoa financing ya hizo projects?
  • Kati ya hizo zipo ziko financed na UK or German?

  • Pato la Mtanganyika kwa sasa ni kiasi gani?

  • Na kama isingekuwa unyonyaji unaofanywa na Zanzibar, pato la Mtanganyika kwa mwaka lingekuwa kiasi gani?
 
Muscut wanawaona Kama nyani lakini Ulaya na marekani kama masokwe na ndio maana huwa wanarushiwa ndizi na wengine kuwaita lugha za kibaguzi Kama niga negro n.k

Hili la Ulaya na america wanalofanyiwa watu weusi kwako ni sasa kisa ni magalatia wenzako!! Au umesahau miaka ya 80 mabwana zenu wazungu walivyo mpigisha Dada yenu paipu ya mbwa!!???

Wazungu nyinyi ndugu zenu wadamu hawawabaguwi si unaona hapa!????


https://www.google.com/search?q=fra...mplies-jewish-singer-will-be-baked%2F;598;273

Kumbuka hao maweita kwa mwarabu mwisho Wa siku wanalipwa mshahara wa kula na familia yao

Unachokisema ni kweli, lakini kuna mtu mweusi wa bara amejiona yeye ni mzungu kama mnavyojiona nyie Waarabu!?
 
Ungefika Breeze Beach Club iliyoko Bwejuu ndo ungeishiwa pozi,wafanyakazi asilimia 80 ni Wakenya. Wazenj wengi wanaamini ni wa Oman ndo maana wengi wao wapowapo tu kama yule mbuge wao ASHA BAKARI
 
Hats Mimi! Nikiingia darasan mwanafunzi mmoja anapiga makofi nakusena peopleeeees,wengine powerrrrr! Shikamoooo mwalimuuuu ...... Marahaaba!
 
Hakuna ubaya kabisa kwa kila mwanadamu kujinasibu kule kwenye asili yake hata sisi pia tutajinasibisha ka family ya baba yetu Adam na mama yetu bi Hawa huo ni ukweli usiopingika kabisa.Wazanzibar kujiita wa Oman hakuna cha ajabu na wala hakuna kitakacho wageuza wao kuwa vingine.Sijui kama wengi wenu hapa mnamfahamu mtu mmoja kiongozi wa watu weusi kule marekani kwa jina Malcom X huyu bwana pamoja na viongozi wengine kabla yake kama vile Marcus Garvey ambaye alijulikana kama father of black concsciousness walipigania sana kubadilisha mind set ya watu weusi kujitambua kuwa wao ni watu kutoka Africa na pia nilimsahau Dr W.B.Dbois naye alijitahidi sana kutoa hilo somo kama Malcom X na Garvey.Kinachotakiwa hapa ni ku re brain wash waafrika wote wanaodhani wao asili yao si hapa Afrika,kule Zenji wako wengi sana wengine hudhani wao ni persian wenye asili ya Iran lazima wafundishwe kwamba blood ndogo iliyodondokea ndani ya miili yao inawafanya wawe waafrika kwa asilimia mia moja na wala sio kinyume cha hivyo.Mtu kuwa mwarabu sio kitu kikubwa sana kwani sisi wote ni binadamu tuna damu nyekundu na mioyo inayofanana na hisia moja hakuna kitu kitakachomfanya binadamu mwingine kuwa au kujiona bora sana zaidi ya mwingine.Mtu kujinasibu na uarabu wa Oman sio kitu cha kushtua sana infact ni kitu ambacho mimi nakiona ni kitendo cha aibu sana .Mimi siwaoni hao waarabu nini kikubwa wanaweza kutuonyesha huku kwetu,ni aibu tupu eti leo na wao wamejiingiza ktk vita ya mmarekani kuwapiga waislam wenzao ISIS eti ni terrorists wamefikia mpaka kuchangia mapesa mengi ya kutisha ili waislam wenzao wauwawe na nchi za magharibi.Kwa wazanzibar kujinasibu kwa hawa watu kwa mtazamo wangu mimi nafikiri ka wanashindwa kuuona unafiki wa waarabu ambao umeandikwa ndani ya Qoraan na kujinasibu nao ni kitendo kisichokuwa na maana na ni aibu tupu kuwa au kujiita muOman.Hela yote na utajiri waliokuwa nao ni afadhali mzungu mmarekani au muingereza aje kula hizo wealth kuliko kuja wekeza ktk kisiwa walichoanzia kuupata huo utajiri(zanzibar&Pemba islands),wamesahau mpaka damu yao waliyoiacha huku,sasa utawezaje kujinasibu na watu namna hiyo?Hiyo mind set ya watu namna hiyo kujinasibu ninaifahamu sana M/Mpamba masalaam.
 
Hakuna ubaya kabisa kwa kila mwanadamu kujinasibu kule kwenye asili yake hata sisi pia tutajinasibisha ka family ya baba yetu Adam na mama yetu bi Hawa huo ni ukweli usiopingika kabisa.Wazanzibar kujiita wa Oman hakuna cha ajabu na wala hakuna kitakacho wageuza wao kuwa vingine.Sijui kama wengi wenu hapa mnamfahamu mtu mmoja kiongozi wa watu weusi kule marekani kwa jina Malcom X huyu bwana pamoja na viongozi wengine kabla yake kama vile Marcus Garvey ambaye alijulikana kama father of black concsciousness walipigania sana kubadilisha mind set ya watu weusi kujitambua kuwa wao ni watu kutoka Africa na pia nilimsahau Dr W.B.Dbois naye alijitahidi sana kutoa hilo somo kama Malcom X na Garvey.Kinachotakiwa hapa ni ku re brain wash waafrika wote wanaodhani wao asili yao si hapa Afrika,kule Zenji wako wengi sana wengine hudhani wao ni persian wenye asili ya Iran lazima wafundishwe kwamba blood ndogo iliyodondokea ndani ya miili yao inawafanya wawe waafrika kwa asilimia mia moja na wala sio kinyume cha hivyo.Mtu kuwa mwarabu sio kitu kikubwa sana kwani sisi wote ni binadamu tuna damu nyekundu na mioyo inayofanana na hisia moja hakuna kitu kitakachomfanya binadamu mwingine kuwa au kujiona bora sana zaidi ya mwingine.Mtu kujinasibu na uarabu wa Oman sio kitu cha kushtua sana infact ni kitu ambacho mimi nakiona ni kitendo cha aibu sana .Mimi siwaoni hao waarabu nini kikubwa wanaweza kutuonyesha huku kwetu,ni aibu tupu eti leo na wao wamejiingiza ktk vita ya mmarekani kuwapiga waislam wenzao ISIS eti ni terrorists wamefikia mpaka kuchangia mapesa mengi ya kutisha ili waislam wenzao wauwawe na nchi za magharibi.Kwa wazanzibar kujinasibu kwa hawa watu kwa mtazamo wangu mimi nafikiri ka wanashindwa kuuona unafiki wa waarabu ambao umeandikwa ndani ya Qoraan na kujinasibu nao ni kitendo kisichokuwa na maana na ni aibu tupu kuwa au kujiita muOman.Hela yote na utajiri waliokuwa nao ni afadhali mzungu mmarekani au muingereza aje kula hizo wealth kuliko kuja wekeza ktk kisiwa walichoanzia kuupata huo utajiri(zanzibar&Pemba islands),wamesahau mpaka damu yao waliyoiacha huku,sasa utawezaje kujinasibu na watu namna hiyo?Hiyo mind set ya watu namna hiyo kujinasibu ninaifahamu sana M/Mpamba masalaam.

Pombe si chai au uji.
 
Huoni ungekuwa umefanya jambo la maana endapo ungejibu maswali yangu? Kwa upande mwingine, hudhani huo ushauri ulionipa ungeutekeleza wewe mwenyewe ili ujionee ni namna gani huku bara tulivyo na umaskini wa kutisha? Narudia, ni ujinga Tanzania hii watu wa upande mmoja kujiona wapo juu wakati si lolote si chochote na kuwaona watu wa upande mwingine ndio hoe hae wasio na mbele wala nyuma wakati karibu wote hali zao zinafanana!! Watu wa bara (Tanganyika excluding mikoa ya pwani) ni hodari sana kuwasemanga watu wa Pwani na Zanzibar kwamba wanakesha vibarazani kunywa kahawa huku wao wakisahau kwamba wanakesha kwenye vilabu vya komoni, mbege, wanzuki, ulanzi na n.k... what's the difference!? Nafahamu, wengi wenu mnasumbuliwa na chuki, tena wengine chuki za kidini... nothing else! Kuna wengine wanakosa ujasiri wa kuelezea chuki zao za kidini wazi wazi na badala yake wanaamua kutumia mgongo wa Zanzibar au watu wa Pwani!

umechemka sana ndugu! mimi huwa nakerwa sana na watu kama wewe ambao mnapenda kuhusianisha kila jambo na udini, hata kama mtu haja mention suala lolote la udini bado watu kama wewe mtasema hayo yanasemwa kwa sababu ya dini ya mtu!! Aibuu! Ni wapi huyo jamaa amezungumzia udini? Kwani mtu au jamii fulani haiwezi kusemwa, kukosolewa au kudharauliwa sababu ya tabia au utamaduni wake!!? Ni lazima kila jambo lihusiane na udini!? Acha uvivu wa kujenga na kutetea hoja! Akisemwa au kukosolewa kikwete utasikia ni kwa sababu ya dini yake! Lakini akisemwa au kukosolewa mtu wa imani nyingine tena na mtu wa imani sawa na yake ndio kwanza na nyie mnashiriki kuongeza hoja na vihoja lakini watu hawasemi udini wala nini! Naamini huyu mbunge wa nkasi Ally kessy angekuwa anaitwa peter au john na kwa jinsi anavopenda kuwananga wazanzibari mngesema ana chuki za kidini lakini kwa kuwa mnaingia nyumba moja ya ibada mnachukulia kama ilivo suala la udini mmeweka kando mnamwita chizi! Pimeni hoja za mtu kwa umakini kama zimejengwa juu ya udini au uhalisia tofauti!!
 
Eti oman haeawexi jufinance major projects in znz kwa sababu serikali ya muungano inawazuia.

Mbona wavhina wamefinance airport mpya ya znz?

Sielewi hii akili ya utumwa itaondoka lini
 
Eti oman haeawexi jufinance major projects in znz kwa sababu serikali ya muungano inawazuia.

Mbona wavhina wamefinance airport mpya ya znz?

Sielewi hii akili ya utumwa itaondoka lini

Hakuna historia inayosema wazanzibar walikuwa watumwa! Ila nyinyi ndio babu zenu walikuwa wanauzwa Kama mapapai gengeni na kibaya zaidi mlikuwa mnakamatana na kuuzana nyinyi wenyewe.
 
Nimecheki bajeti ya znz 2014

Oman wanachangia ZeRo kwenye bajeti yao

70% ya bajeti ya Znz inatoka EU na USA
 
Mkuu umewachambua vema Wazanzibar,Good kwenu bara sehemu gani bana tuanike madudu yenu.
 
Nimecheki bajeti ya znz 2014

Oman wanachangia ZeRo kwenye bajeti yao

70% ya bajeti ya Znz inatoka EU na USA

Angalia ukivyokuwa muongo wa kutupwa! Mwanzo ulijitia upofu juu ya jawabu la suali lako la kichovu! Mwishowe umekubali kuangalia majibu sahihi ya suali lako.

Na sasa unatuletee UONGO WA MCHANA KWEUPE eti ulaya na america ndio wahisani wa bajeti ya Zanzibar na unawaponda waomani eti hawatowi shilling.

Ushauri wangu usilazimishe jambo ambao halipo maana utaonekana mwehu.

Wapi ulipoona katika hutuba ya waziri Wa fedha Wa Zanzibar kaitaja EU na USA kuwa wanamchango katika bajeti ya Zanzibar!??

Angalia vizuri na Kama huoni tumia miwani ili ikusaidie kuona, katika bajeti ya Zanzibar wanaotoa shilling yao ni ÀFDB, UNDP na WORLD BANK.

Unajua hii pia ni moja wapo ya kero kubwa ya muungano! Zanzibar haipati msaada Kama nchi maana kimataifa inajulikana TZ ambayo imevaa koti LA utanganyika hivyo misaada yote ya kibajeti inaliwa na mbwa mwitu wa kitanganyika na Zanzibar wanaachiwa takataka ya 4.5% ambayo pia hawapewi.

Umetoa mfano airport na China hatukatai jee imeorodheshwa katika jeduali la bajeti ya Zanzibar!!!?? Hukuiona, basi vivyo hivyo ni sawasawa na Omani ambayo inatoa msaada katika mambo ya elimu afya, biashara n.k hivyo huwezi kuikuta katika jaduweli la bajeti ya ZNZ.

Norway ni mmoja wapo wanaoisaidia Zanzibar katika mambo ya miundo mbinu ya umeme jee wameorodheshwa kuwa ni mmoja wapo Kati ya wahisani wa bajeti ya Zanzibar? Jawabu ni kuwa hapana.

Hivyo tumia akili na wala usiwe na akili za KIBUKU.

Msaada wa Omani kwa Zanzibar ni mkubwa mno na hadi dunia hii itaisha wazanzibar hawawezi kuulipa.

Ni waomani ambao waliwapiga wareno na kuwatoa Zanzibar baada kuitawala Zanzibar kinyama na utesaji mkubwa.

Ni waomani walioipa Zanzibar zao la karafuu ambalo tokea wakati huo ndio namba moja linaipa Zanzibar pesa za kigeni.

Leo hii mungu akaujaalia huu muungano kuvunjika basi misaada kwa Zanzibar kutoka kila pembe ya dunia itakuwa mikubwa na mingi mno! Si unakumbuka kabla ya huu uchafu wa muungano namna Zanzibar ilivyokuwa inapata misaada mikubwa kutoka Quba, China Urusi n.k

Ilifika wakati Zanzibar ilikuwa inatoa misaada kwa nchi nyengine! Au umesahau njaa ilipowazidi watanganyika nyerere alimtuma Amir Jamal kuja Zanzibar kuomba msaada? Si alipewa???? Wacha Pakistani iliyopewa dola 2000 na Zanzibar baada ya kupata janga la mafuriko.

Huu umasikini tulionao wazanzibar japo hauzidi wa watanganyika unatokana na laana ya kuungana na Tanganyika ambayo ina MANYANG'AU "Odinga's words" yasiojua kipi kibaya kipi kizuri.
 
umechemka sana ndugu! mimi huwa nakerwa sana na watu kama wewe ambao mnapenda kuhusianisha kila jambo na udini, hata kama mtu haja mention suala lolote la udini bado watu kama wewe mtasema hayo yanasemwa kwa sababu ya dini ya mtu!! Aibuu! Ni wapi huyo jamaa amezungumzia udini? Kwani mtu au jamii fulani haiwezi kusemwa, kukosolewa au kudharauliwa sababu ya tabia au utamaduni wake!!? Ni lazima kila jambo lihusiane na udini!? Acha uvivu wa kujenga na kutetea hoja! Akisemwa au kukosolewa kikwete utasikia ni kwa sababu ya dini yake! Lakini akisemwa au kukosolewa mtu wa imani nyingine tena na mtu wa imani sawa na yake ndio kwanza na nyie mnashiriki kuongeza hoja na vihoja lakini watu hawasemi udini wala nini! Naamini huyu mbunge wa nkasi Ally kessy angekuwa anaitwa peter au john na kwa jinsi anavopenda kuwananga wazanzibari mngesema ana chuki za kidini lakini kwa kuwa mnaingia nyumba moja ya ibada mnachukulia kama ilivo suala la udini mmeweka kando mnamwita chizi! Pimeni hoja za mtu kwa umakini kama zimejengwa juu ya udini au uhalisia tofauti!!
NIanze kwa kusema kwamba una safari ndefu tena ndefu kweli kweli kufahamu tabia za wanajamvi wa JF! Kwahiyo kwavile mtu hajasema popote kuhusu suala la dini ndo basi tena hakulenga udini? Learn how to read between the lines!

Pili, hoja yako kwamba Ally Kessy angekuwa Mkristo basi madai yake dhidi ya ZNZ yangetafsiriwa ni udini nayo ni hoja chakavu sawa na jina lako! Mara ngapi Tundu Lissu amekuwa akisema yale yanayosemwa na Kessy? Nani aliwahi kumuhusiha Tundu Lissu na dini yake zaidi tu ya kufahamu kwamba Tundu Lissu na Kessy ni waropokaji??

Tatu... wewe jamaa vipi? Una ugonjwa wa kufananisha, au? Hivi umeshawahi kukutana na mimi kwenye mijadala? Miongoni mwa viongozi ambao nimepata kuwakosoa kwa miezi ya karibuni ni pamoja na Jumanne Maghembe, Shukuru Kawambwa! Ni Wakristo hao? Na miongoni mwa viongozi niliopata kuandika kwa kuwaunga mkono kwa miezi ya karibuni ni Membe, Mwakyembe na Muhongo.... ni Waislamu hao? Acha kuropoka na kudandia treni kwa mbele wakati hufahamu misimamo ya watu humu jamvini! Narudia... acha kuropoka kabla ya kufanya uchunguzi vinginevyo uwezo wako wa kuchambua mambo tutaufananisha na jina lako! Humu jamvini watu ambao wanafahamu kabisa kwamba mimi nni Mwislamu walishawahi kuniita Kafir simply because I don't entertain ujinga wa muelekeo wa kidini... we unaongea nini bana... acha kujifanya unawafahamu watu wa kupitia post yao moja au mbili!

Mwisho, ngoja nikuulize! Hivi umesoma hoja za wale wanaomuunga mkono? Inawezekana uwezo wako wa kuchambua mistari ni mdgo ndo maana unashindwa kufahamu malengo ya waleta mada kwavile hawajataja moja kwa moja! Wana-JF wengi ni udini ndio unawasumbua... kwavile wanaona aibu kutaja dini moja kwa moja basi kama hawata-attack ZNZ, wata-attack watu wa pwani! Sema wewe sasa... unataka kusema nchi hii kwenye matatizo ni Zanzibar na mikoa ya Pwani peke yake? Eti tuangalie hoja... upumbavu mtupu... hoja yenyewe iko wapi hapo? Sasa Wa-Zanzibar wakijanasibisha na Oman, we Mpogolo kinakuuma nini? wa-ZNZ weusi tii wakijiita Waarabu, wewe Mkibosho, Mnyakyusa, Msukuma kinakukera nini? Halafu mtu unakuja hapa na kusema tuangalie hoja... hoja iko wapi hapo? Tangu lini upumbavu ukageuka kuwa hoja? Acheni habari zenu bhana... ongeeni mambo ya maana kama hamna pigeni kimya... si lazima kuanzisha thread!
 
Oman wana fund miradi mingapi mikubwa ZnZ? Na inaworth kiasi gani in usd?
TZINVESTOR punguza unazi ndugu... kwanini unauliza maswali ya kiserikali ambayo unafahamu hata wewe huna majibu yake? What else if someone tells you kwamba wana-fund 9 projects worth $ 750 million!! Je, una namna ya ku-verify kile utakachoambiwa? Ndio maana niksema maswli yako ni kutengeneza ligi isiyo na maana coz' hata wewe huna majibu yake... na ndio maana nilipokuuliza similar questions kwa upande wa Tanganyika, umekosa majibu na ukakimbilia kujificha kwenye kichaka kwamba tunajadili Zanzibar!
 
TZINVESTOR punguza unazi ndugu... kwanini unauliza maswali ya kiserikali ambayo unafahamu hata wewe huna majibu yake? What else if someone tells you kwamba wana-fund 9 projects worth $ 750 million!! Je, una namna ya ku-verify kile utakachoambiwa? Ndio maana niksema maswli yako ni kutengeneza ligi isiyo na maana coz' hata wewe huna majibu yake... na ndio maana nilipokuuliza similar questions kwa upande wa Tanganyika, umekosa majibu na ukakimbilia kujificha kwenye kichaka kwamba tunajadili Zanzibar!

Nadhani thread iko kwenye page ya 6 ndio nimepata jibu tena generic.

Nashkuru sana ndugu yangu. Je unaweza kunijulisha miradi hiyo ya $9 million ni ipi?

Je wanafanya thtough bilateral au kupitia FDI?

Binafsi napenda kwenda kwa data sitaki mambo ya watu kuongea kwa jazba na blah blah na naamini kuwa mimi na wewe tutafika mahala pazuri tuuu kwenye huu mjadala wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom