Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

Ungefika Breeze Beach Club iliyoko Bwejuu ndo ungeishiwa pozi,wafanyakazi asilimia 80 ni Wakenya. Wazenj wengi wanaamini ni wa Oman ndo maana wengi wao wapowapo tu kama yule mbuge wao ASHA BAKARI

Mi nimefika zenj

Na si kuwa huko kwenye mahotel ya kitalii, nilikuwa tu mtaani kwenye maisha ya kawaida.
Bt nimeshindwa kuishi kule aiseeeee
Kunataka moyo.

Wanaofanya kazi kwenye hizo hotel asilimia kubwa sio wa zanzibar, nilipouliza nikaambiwa wengi wanaona km kazi za hotel hazina maadili...

Eti kwa wanaojua ni kwanini wanyeji hawafanyi kazi za hotel?
 
Then you were very wrong kama ulidhani ningesoma utumbo wote huo wakati mwandishi mwenyewe ni Chuma Chakavu... sitarajii mtu ambae ni chuma chakavu anaweza kuwa na akili zaidi ya tu kwamba hata akili zake nazo ni chakavu!
Naona umeishiwa hoja sasa unaanza kuhusianisha id ya mtu kwa kudhani ndio ina define character yake, kuna watu wanajiita mzimu, fox, laki si pesa n.k sijui nao utawafananishaje!!? Acha ujuha wako usiongee fyongo!! by the way- kama nikikuambia kuwa chuma chakavu ni bidhaa inayotupwa na kudharauliwa na watu wasiojua thamani yake kama wewe, lakini wenye maarifa huokota nakukusanya halafu wanauza na inakuwa biashara nzuuuuri inayoleta kipato kinachoinua maisha yao huku majuha kama wewe wakibaki wameduwaa! Na hicho chuma chakavu hutumika kutengeneza bidhaa nyingine ambayo ikifika sokoni inaitwa mpya japo awali kilidharauliwa!! Je ukimaanisha chuma chakavu kwa jinsi hiyo utakidharau tena?!!
 
Nadhani thread iko kwenye page ya 6 ndio nimepata jibu tena generic.

Nashkuru sana ndugu yangu. Je unaweza kunijulisha miradi hiyo ya $9 million ni ipi?

Je wanafanya thtough bilateral au kupitia FDI?

Binafsi napenda kwenda kwa data sitaki mambo ya watu kuongea kwa jazba na blah blah na naamini kuwa mimi na wewe tutafika mahala pazuri tuuu kwenye huu mjadala wetu.
You didn't get my point dude... ni kwamba, huna sababu ya kuuliza kitu ambacho hata wewe mwenyewe huna namna ya ku-verify! Hapo nimekupa mfano wa 9 projects worth $ 750m... ukiniuliza ni miradi ipi, naweza kutaja chochote kile kv mradi wa maji ($ 150m) mradi wa ng'ombe wa kisasa (20m), mradi wa Umeme Bwejuu ($ 75m) n.k coz' hauna namna ya ku-verify! So, why wasting time au kung'ang'ania kitu ambacho hauna uwezo wa kuki-verify? Kwanini usiulize maswali ya kawaida yanayohitaji common sense au yale ambao ukweli wake upo wazi?

Lakini ukishaleta suala la miradi... unakuwa umeenda off-target. Kwanza, wanaojinasibisha na Oman sio SMZ bali wananchi wa ZNZ na ndio maana kuna post hapa nikasema ni kweli kwa baadhi ya wa-Zanzibari wana mafungamano makubwa na wa-Oman lakini mafungamano yao si ya kiutawala bali ni ya kidamu/kindugu. Nikatoa hadi mfano wa mjadala uliokuwa unaendelea kule Oman kwenye social web wakijadili kupotea kwa lugha ya Kiswahili nchini Oman... wengi walikuwa wanawalaumu wazazi kwamba baada ya kuondoka ZNZ na kwenda Oman, wakaacha matumizi ya Kiswahili na kutumia sana Kiarabu kiasi kwamba watoto wanaozaliwa siku hizi Kiswahili hawakifahamu!

Kwahiyo kilichopo kati ya wa-Zanzibari na wa-Oman ni uhusiano wa kindugu zaidi kuliko wa kitasisi! Hata hivyo, niseme tu kwamba mleta mada ame-exaggerate mambo anaposema kila anayezungumza nae anajinasibisha na Oman! Huu ni uongo wa wazi usio na maana yoyote! Haiwezekani umeongea na watu wawili au watatu halafu ukasema kila unayezungumza nae!
 
or rather a blow job which you've been enjoying last night! I guess tonite after taking my big one both orally and anally will keep ur nerves cool and calm! welcome to my world you itchy pussycat!
Will you please move your piece of writings to this>>> download.jpg ???
 
Wakuu nasikia mfalme wa Oman alipigwa marufuku kuja Zanzibar baada ya mapinduzi ya mwaka 1964 je marufuku hiyo bado ipo?
 
Muscut wanawaona Kama nyani lakini Ulaya na marekani kama masokwe na ndio maana huwa wanarushiwa ndizi na wengine kuwaita lugha za kibaguzi Kama niga negro n.k

Hili la Ulaya na america wanalofanyiwa watu weusi kwako ni sasa kisa ni magalatia wenzako!! Au umesahau miaka ya 80 mabwana zenu wazungu walivyo mpigisha Dada yenu paipu ya mbwa!!???

Wazungu nyinyi ndugu zenu wadamu hawawabaguwi si unaona hapa!????


https://www.google.com/search?q=fra...mplies-jewish-singer-will-be-baked%2F;598;273

Kumbuka hao maweita kwa mwarabu mwisho Wa siku wanalipwa mshahara wa kula na familia yao

América kuna rais mweusi nenda oman na rangi yako ya masizi ugombee hata udiwani kama utapata
 
Mkuu ndio zao hizo kwani wee ulikuwa huwajui....Weee zunguka zunguka tu utakutana na jitu bantu na jeusi anakwambia mi ni mwarabu wa Muscut (Na hata Oman hajafika hapo)...unabakia unamwonea huruma maana huwa kama wagonjwa wa akili ati.🙂

Kuna mjumbe bunge maalumu la katiba aliwahi kusema bungeni eti wananunua uarabu, mmoja wapo ni juma haji duni ni cheusi mangara lakini hujiita mwarabu
 
Zanzibar bila Oman haina kitu wacheni ujinga nyie, kiwanja cha ndege bila Oman ndege zisingeshuka Zanzibar. Tanzania imefanya nini kuwasaidia Zanzibar zaidi ya kuwarudisha nyuma. Nyie wenyewe wa Tanzania kila kukicha mnaomba misaada nchi za uarbuni na moja wapo Oman. Mliona nchi za warabu waliomba msada Tanzania. Kawaulize Ikula yenu hapo Tanzania wamesaidiwa mangapi na Oman na UAE. FYI Oman kama anaitaka Zanzibar ataibeba kiulaini kabisa sema hawana shida nayo.
 
Ushahidi kuwa Oman imewatosha wa zanzibari ni huu

LUKUVI KAWATUKANA WAZANZIBARI LAKINI KAENDA OMAN NA KAPEWA RED CARPET NA SERIKALI YA OMANI JUZI

PINDA KAWATUKANA WANZANZIBARI NA KUSEMA ZANZIBAR SIYO NCHI LAKINI KAPEWA RED CARPET HUKO OMAN JUZI

c3580-img_20141019_110606.jpg


unnamed68.jpg



Mhe Spika akiwa na wenyeji wake pamoja na sehemu ya ujumbe wake. Wa kwanza kulia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mhe Freeman Mbowe na
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Uratibu na Bunge), Mhe William Lukuvi.
Wa kwanza kushoto ni Mhe Ally Saleh, Balozi wa Tanzania nchini Oman. Mhe Spika yuko katika ziara rasmi ya kibunge ya siku sit


 
mijitu miengine ipo kama migombe sugu...we umeongea na nani mpaka useme wazanzibar?kama hao ndugu zako..kama wanadream kuwa waafrica zaid..mbona wameganda huku?na mnaitana tuu?popote africa..ukiongea na watu wa sehem flan wanataman kuisho kama sehem flan....wewe kama wewe mburura..huishi kama bibi lako lilivyoishi..unaishi kama watu wa magharib....sasa kwanini mzanzibar akitaman kuishi kama mtu wa oman iwe topic?wivu..roho mbaya..chuki...akili changa..na ukafiri..ndio kinachokusumbua...enjoy zanzibar...bibi yako anateseka na jembe kijijin kwenu..hahaha
Hawa wagalatia ni watu wenye roho sio nzuri,roho za kwanini.
 
Niko hapa Unguja lakini kila ninayezungumza naye anapenda kujinasabisha na wa Oman kwa kila namna kwa kiasi nilidhani ni mambo ya SLAVE MENTALITY SYNDROME maana sijakutana na mzanzibari (including ndugu zangu) hapa ambao wako proud na uAfrica wao.

N akinachonishangaza historia ya hapa inakuwa inaanza baada ya kuja mwarabu sasa nashangaaa kwani kabla ya kuja mwarabu hapa kulikuwa hakuna binadam au vipi?

Lakini kwa wanzaibari kupenda kujinasibisha na waarabu na hususana wa Oman nilitegemea kungekuwa na investments luluki toka Oman kwenye Infrastructure, Energy, Services etc lakini wapi. Sioni kitu na naona wawekezaji wakubwa hapa ni toka UK, China, Kenya na kwa mbali USA. Hivi tatizo la hapa ni ZIPA au ndio hao waarabu washawatosa na hawana habari nao?

Anyway niko hapa Sea Breaze natazama upepo wa bahari huku nahudumiwa na wa fanyakazi toka Kenya!

ivi wewe wamekufanya nini hao warabu?mbona umewakalia sana!sisi waafrika bana sjui tunanini tu, kila kitu warabu,na ndiomaana hatuendelei tutabakia kuwa hivyohivyo,mara cjui wametesa babu zetu mara cjui nini! visababu vya kipumbavu tu,
 
Mkuu ndio zao hizo kwani wee ulikuwa huwajui....Weee zunguka zunguka tu utakutana na jitu bantu na jeusi anakwambia mi ni mwarabu wa Muscut (Na hata Oman hajafika hapo)...unabakia unamwonea huruma maana huwa kama wagonjwa wa akili ati.🙂

chuki kitu kibaya sana
 
na akienda muscut wanambagua wanamwona kama nyani. wanaishia kutumikishwa tu kama watumwa. huwa nawaonea huruma sana na waarabu ni watumikishaji balaa. kuna migahawa mingi hapa dsm ya waarabu utakuta wameajiri mababa mazima ya kibantu, libaba lijitu lizima linatuhudumia chai, wali, biriani,pilau yaani hadi unawaonea huruma na wao wameridhikaaa kuwa karibu na mwarabu wanajiona kana kwamba na wao wamekuwa waarabu vile na hadi lafudhi imebaidilika wanaongea kama mwarabu. wanatumikishwa kama watumwa mwarabu kakaa mezani kuandika risiti tu na kupokea hela. hii dunia hii///

Ukitaka umtawale mtu vizuri bila kelele mnyime Elimu Dunia na mfanye awe maskini !! Ataimba kila wimbo unaomuimbisha na ndicho kinachotokea kwa jirani mwema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom