Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,452
- 79,765
Hata angejirudi siri ingefichuka tu na Mandela kama walivyo wanaume wengi asingemsamehe, akaona bora aendeleze raha zake.Mwamba alivotoka alitakiwa kujirudi
Hata angejirudi siri ingefichuka tu na Mandela kama walivyo wanaume wengi asingemsamehe, akaona bora aendeleze raha zake.Mwamba alivotoka alitakiwa kujirudi
Kazi za ndani hiz bossMbona alizikwa kichief eneo alipozaliwa mandela
Hakuna kazi Wala mateso yyt yanayoweza kusahaulisha uasili wa mwanadamu.KAZI alizokuwa anafanyishwa sidhani kama angekumbuka hilo mwili unavunda na unazoea
Mtoa mada ni mzungu hajui kiswahili vzr akaamua kutumia google translatorNimesoma lakini kiswahil kilichotumika ni kama cha Google translator
Ila ni ngumu sana kusamehe na hali kuwa kawaida, winnie alielewa sana show za njeHata angejirudi siri ingefichuka tu na Mandela kama walivyo wanaume wengi asingemsamehe, akaona bora aendeleze raha zake.
Malaya huwa hawaridhishwi na mb***rlo mojaSasa si angechagua chaka lake moja la kujifichia kuliko kuwa na wengi
Ujumbe umefika na kueleweka mkuuNimesoma lakini kiswahil kilichotumika ni kama cha Google translator
Kama show za ndani ni mbovu lazima za nje zizingatiweIla ni ngumu sana kusamehe na hali kuwa kawaida, winnie alielewa sana show za nje
Hayanaga formula kabisaaUbaya wa mapenzi hata uwe mtu mzito kiasi gani yanakuchapa na unachapika vizuri tu
Nyeggge mshindo zinakuwaje rafiki?Alikuwa na nyege mshindo.
Niko poa rafiki yangu, sijui wewe.
Ni zile ambazo ukimuona mwanaume yoyote yule unaloaNyeggge mshindo zinakuwaje rafiki?
Niko poa sana fundi mkuu wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ,yeye mwenyewe alisimulia kwamba alikua anapata mates makali sana lakini ulivyobaki mda mchache ndio akawa anaweza kukutana na mama la mamaSidhani! Mi nahis kama alifungwa magereza ya viongozi wenye hadhi maalum na pia alikua na chance ya kukutana na mke wake
Demi!!....Demi!!!!!!!.......Ni zile ambazo ukimuona mwanaume yoyote yule unaloa
Alikua kisu hatare 😁Kwasababu alikosa wa kumpelekea moto😆
Abeeeeeeee
Ni kweli😆Alikua kisu hatare 😁