Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,535
- 8,620
Sasa umeeleza tu kuwa alivyolazimishwa kujitoa bila kueleza sababu ni nini.
Kosa kubwa kabisa la Malecela lilikuwa kushindwa kuitetea serikali bungeni hadi kukaibuka suala la OIC ; na suala la G55 ( Hoja ya Tanganyika na serikali tatu )wabunge walishamshinda hija PM malecela na ilibidi NEC Ya CCM iitwe haraka na mwalimu akaihutubia ndio wakafanikiwa kuuwa ile hija ya kina Njelu Kasaka
Suala hilo lilimkera sana nyerere ambaye aliona udhaifuu wa PM na kushindwa kumshauri Rais na kuchukulia upole wa Rais ali hassan mwinyi kwa faida yake ; kushindwa kumshauri rais ni kosa la kiapo hivyo alittakiwa kufukuzwa
Hilo ndio kosa lililofanya jina la Malecela kuingia kwenye Black Book kuwa asijekuwa Rais hata siku moja