MOJA ya jukumu kubwa la kikatiba la Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Kuandaa Hati zote za kisheria na Maazimio kwa ajili ya kuidhinishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania swali wanalojiuliza watanzania wote miijini na vijijini ni kwanini siku ya tarehe 10 Juni 2023 wakati wa kupitisha Azimio hilo Mwanasheria Mkuu wa Serikali hakuwepo bungeni.
Wataalamu tusaidiane uelewa.
Wataalamu tusaidiane uelewa.