johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 78,079
- 128,246
Ninachofahamu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Mbunge wa Katiba.
Kadhalika miswada ya sheria huletwa bungeni na AG ambaye ni Mbunge.
Sasa nauliza, Ni Bunge linalotunga sheria?
Majawabu tafasali.
cc: Pascal Mayalla, BAK
Kadhalika miswada ya sheria huletwa bungeni na AG ambaye ni Mbunge.
Sasa nauliza, Ni Bunge linalotunga sheria?
Majawabu tafasali.
cc: Pascal Mayalla, BAK