Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #61
ThanksWanasheria huwezi kuwa graduate tu na kuanza practice bila kwenda law school baada ya kuhitimu, utafanya shughuli nyingine kwa nafasi ya legal officer na si fully fledged practitioner.
Hoja inabaki pale pale, kila taaluma ina utaratibu wake, kama usemavyo hao wengine wanaandika ripoti tu, sasa hiyo ndo mchakato wa certification kwao.
Au ni lazma taaluma zote zifuate mfumo wa wahasibu?