Kwanini mwalimu hafanyiwi "certification" kama mhasibu (Certified Public Accountant) ilhali walimu ni wengi na elimu bora ndio msingi wa taifa imara?

Hujaeleweka
Nafikiri Kuna vitu huelewi kuhusu 'professional certification'.

Kimsingi kila taaluma ina utaratibu wake wa kufanya certification, ifahamike kwamba, certification ni pale mwana taaluma anapokuwa approved to practice.

Mfano, wanasheria ili uweze kufanya practice ya kitaaluma ktk nyanja fulani ni lazma baada ya kumaliza shahada ukasome Post Graduate Diploma in Legal Practice, alimaarufu kama Law school huo ndo utaratibu wa certification yao.

Lakini taaluma nyingine, wao hutoa leseni, ukiwa licenced to practice ni kama uko certified...

Taratibu hutofautiana sasa usikariri ukafikiri wahasibu tu ndo wanakuwa certified ati kwakuwa they are exppresely termed 'Certified Public Accountant' na kwakuwa huwezi sikia 'Certified Public Architect' ukadhani kwamba hawa wakandarasi hawawi certified no.

Taratibu zinatofautiana na kuna uhusiano mkubwa kati ya uwepo wa chombo cha kitaaluma kama bodi na mchakato wa certification.

Certification ni jambo la kitaaluma kama hakuna chombo mahususi cha kitaaluma hiyo certification itafanyikaje ??

Kila taaluma iwe na utaratibu wake wa kufanya certification kwa kuzingatia vigezo vya kisayansi vya taaluma husika.
 
Rudi darasani components za kada nyeti zipo mahakamani bungeni na serikali kuu ambapo kuna jeshi na usalama. Daktari sijui ualimu sio kada nyeti katika nchi yeyote duniani ni mengineyo tu
Ualimu ndiyo kada nyeti kuliko zote ila nchi zetu masikini hatuthamini, tunathamini vitengo vinginevingine
 
Rudi darasani components za kada nyeti zipo mahakamani bungeni na serikali kuu ambapo kuna jeshi na usalama. Daktari sijui ualimu sio kada nyeti katika nchi yeyote duniani ni mengineyo tu
Hebu kuwa na heshima na madaktari kingozi, hivi unajua taaluma ya udaktari inahitaji akili nyingi sana na concentration kubwa sana, hebu angalia idadi ya madaktari bingwa halafu linganisha na idadi ya wanajeshi unatona kina nani ni wengi utapata jibu kwamba udaktari (bingwa) ni mgumu ndiyo maana ni wachache kozi ni zao nYingi ni ngumu na hata huko Jeshini madaktari wapo kuonesha madaktari ni muhimu

Walimu wao ndiyo wanaozalisha taaluma zote unazozijua ww ndiyo maana mataifa yanayo dharau elimu utaona tofauti yake ni yanayoheshimu elimu
 
Niliwahi kumuuliza binamu yangu mmoja hivi yeye ni accountant kwanini wakimaliza bachelor degree wanalazimika kufanya tena CPA papers ili watambulike na bodi yao ya uhasibu (National Board of Accountants and Auditors "NBAA") akasema ya kwamba baadhi ya vyuo huwa havifundishi vizuri wahasibu masuala ya kutosha pia baadhi ya wahasibu huwa wanafaulu kwa kupitia rushwa za ngono pamoja na rushwa za namna nyingine hivyo ni lazima kuwe na namna ya kuwadhibiti wahasibu vilaza.
Huyo binamu yako atakuwa kilaza na kihiyo.

Ina maana taaluma zote zinazokuwa certified au registered sababu ni hiyo kweli??
 
Mkuu, yaani leseni hutolewa kwa matokeo ya chuoni pekee pasipo kufanya extra papers?
Extra paper ya nini? hivi kama elimu ya chuo inaweza accommodate imparting both theoretical and practical skills or rather qualification and competence kuna haja ya mtu kwenda kusoma hiyo post graduate course ili ati awe certified kwa nini asipewe licence akalipia fee?

Ktk mfumo wa kitaaluma unaotoa wahitimu half baked and half cooked ndo wanahitaji extra papers kwa minajili ya kwamba elimu ya chuo pekee haijitoshelezi, lakini kama ingekuwa yajitosheleza extra paper ya nini?
 
Nafikiri Kuna vitu huelewi kuhusu 'professional certification'.

Kimsingi kila taaluma ina utaratibu wake wa kufanya certification, ifahamike kwamba, certification ni pale mwana taaluma anapokuwa approved to practice.

Mfano, wanasheria ili uweze kufanya practice ya kitaaluma ktk nyanja fulani ni lazma baada ya kumaliza shahada ukasome Post Graduate Diploma in Legal Practice, alimaarufu kama Law school huo ndo utaratibu wa certification yao.

Lakini taaluma nyingine, wao hutoa leseni, ukiwa licenced to practice ni kama uko certified...

Taratibu hutofautiana sasa usikariri ukafikiri wahasibu tu ndo wanakuwa certified ati kwakuwa they are exppresely termed 'Certified Public Accountant' na kwakuwa huwezi sikia 'Certified Public Architect' ukadhani kwamba hawa wakandarasi hawawi certified no.

Taratibu zinatofautiana na kuna uhusiano mkubwa kati ya uwepo wa chombo cha kitaaluma kama bodi na mchakato wa certification.

Certification ni jambo la kitaaluma kama hakuna chombo mahususi cha kitaaluma hiyo certification itafanyikaje ??

Kila taaluma iwe na utaratibu wake wa kufanya certification kwa kuzingatia vigezo vya kisayansi vya taaluma husika.
Mkuu Mbona Engineers hawafanyi Mitihani kama wanavyofanya Wahasibu,Wanasheria,Wagavi nk!
Wao Ukimaliza Chuo tuu ni Graduate registered, baada ya Miaka 5 ya Kazi ya Engineer,wewe unakuwa Professional registered Kwa Kuandika Report tuu,
Hakuna Mitihani! Kama Fani Nyingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mbona Engineers hawafanyi Mitihani kama wanavyofanya Wahasibu,Wanasheria,Wagavi nk!
Wao Ukimaliza Chuo tuu ni Graduate registered, baada ya Miaka 5 ya Kazi ya Engineer,wewe unakuwa Professional registered Kwa Kuandika Report tuu,
Hakuna Mitihani! Kama Fani Nyingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasheria huwezi kuwa graduate tu na kuanza practice bila kwenda law school baada ya kuhitimu, utafanya shughuli nyingine kwa nafasi ya legal officer na si fully fledged practitioner.

Hoja inabaki pale pale, kila taaluma ina utaratibu wake, kama usemavyo hao wengine wanaandika ripoti tu, sasa hiyo ndo mchakato wa certification kwao.

Au ni lazma taaluma zote zifuate mfumo wa wahasibu?
 
Mkuu Mbona Engineers hawafanyi Mitihani kama wanavyofanya Wahasibu,Wanasheria,Wagavi nk!
Wao Ukimaliza Chuo tuu ni Graduate registered, baada ya Miaka 5 ya Kazi ya Engineer,wewe unakuwa Professional registered Kwa Kuandika Report tuu,
Hakuna Mitihani! Kama Fani Nyingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasheria huwezi kuwa graduate tu na kuanza practice bila kwenda law school baada ya kuhitimu, utafanya shughuli nyingine kwa nafasi ya legal officer na si fully fledged practitioner.

Hoja inabaki pale pale, kila taaluma ina utaratibu wake, kama usemavyo hao wengine wanaandika ripoti tu, sasa hiyo ndo mchakato wa certification kwao.

Au ni lazma taaluma zote zifuate mfumo wa wahasibu?
 
Back
Top Bottom