Lakini Kusiwe na Mitihani tuu kama Engineers registration board ambapo hakuna Mitihani,just a report only of what you have done!The Teachers board is about to be formed.
Je amesoma Uhasibu?Unaweza kuwa mhasibu ambaye sio certified public accountant na ukafanya kazi nyingi za uhasibu ambazo hajihitaji mtu kuwa na CPA.
Mkuu Kwani Kuwa certified ni Lazima Ufanye Mitihani au usome Kozi husika?Marekani sehemu nyingi huwezi kuwa mwalimu kama huna certification, juu ya shahada kwenye fani yako.
Kuanzisha board na kufanya certification ni mambo mawili tofauti. Engineers wanayo board ila hawafanyiwi certification
Mimi pia ninashangaa kama weweKwanini? Hawafanyiwi certification?
Je kama wanepita kwa Rushwa,hongo nk,kama ulivyosema kwenye fani ya Uhasibu!
Really? Is this what ERB is doing?Lakini Kusiwe na Mitihani tuu kama Engineers registration board ambapo hakuna Mitihani,just a report only of what you have done!
Mimi sifahamu mkuu. Inaonekana CPA imelenga zaidi kutengeneza daraja la high-class pamoja na low classMkuu Kuwa Mzalendo ipende Nchi yako,
Nami Nakuongezea swali Mkuu,
Kwanini wahasibu,Wagavi ili wawe Certified wanafanya Mitihani,kwanini wahandisi hawafanyi mitihani kuwe registered? Au wao kuna Special flani?
Nchi hii walimu wako nyuma sana, elimu yenyewe wanayopewa si nzuri sana, mfano voda fasta (crash program) ile ni kukurupuka sana, ukija mishahara ndo kabisaa. So poor ndo maana watoto wengi vilaza basi tu, mnasema elimu bure lkn serikali iboreshe elimu ya walim kwanza na stahiki zao then ndo mkianza kuwapitisha kwenye hiyo bord yenu watakua teachers atleast
Mm nilisoma crash program, ki ukweli tuliburuzwa tu ili nasi tukaburuze watoto na ndo kilichotokea, huwez fanya kaz kama hujafundishwa ethics za kazi,
Kuhusu bord ya walimu ni muhim sana lakin pasipo boreshwa stahiki za walimu na taaluma yao huko vyuon hiyo bodi itakua kazi bure
Waziri mwenyewe anakula rushwa,daktari,mhasibu,askari,mfanyakazi wa takukuru,kila mtu anakula rushwaMwalimu analipwa 20 au 30 kusimamia mtihani hii si kukaribisha rushwa.Mfano anapewa hela na mmiliki wa shule 2milion arahisishe wanafunzi kucheat si anakubali?View attachment 1256613
Hujui hutajua hutataelewa utaishi hivyo usipojua uzao wako pia hutojua.Una ugonjwa ambao hakuna mwalimu anaweza kuutibu!
Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Kwanini mwalimu hafanyiwi "certification" kama mhasibu (Certified Public Accountant) ilhali walimu ni wengi na elimu bora ndio msingi wa taifa imara??
Kwanini kuna "Certified Public Accountants (CPAs)" ila hakuna "Certified Public Teachers (CPTs)? Kwanini Maofisa Elimu hawathibitishwi kwa maana wao ndio uti wa mgongo wa taifa lolote imara?
Niliwahi kumuuliza binamu yangu mmoja hivi yeye ni accountant kwanini wakimaliza bachelor degree wanalazimika kufanya tena CPA papers ili watambulike na bodi yao ya uhasibu (National Board of Accountants and Auditors "NBAA") akasema ya kwamba baadhi ya vyuo huwa havifundishi vizuri wahasibu masuala ya kutosha pia baadhi ya wahasibu huwa wanafaulu kwa kupitia rushwa za ngono pamoja na rushwa za namna nyingine hivyo ni lazima kuwe na namna ya kuwadhibiti wahasibu vilaza.
Sasa nikajiuliza kama changamoto ni hizo katika vyuo that's means all students (let's say at the UDSM) go through the same circumstances, kwanini tusifanye "certification' kwa walimu/education officers ambao wao ndio wengi zaidi na ndio msingi wa taifa imara?
OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
View attachment 1253892
Hatimaye Vodacom Tanzania wametekeleza "constructive idea" yangu niliyoandika humu JF. They were, at least, supposed to acknowledge my intellect
Hatimaye Vodacom Tanzania wametekeleza "constructive idea" yangu niliyoandika humu JF. They were, at least, supposed to acknowledge my intellectual endeavor. ORIGINAL THREAD HII HAPA NILIIANDIKA OCTOBER 21 MWAKA 2018. Screenshot hapo juu ni user interface ya Vodacom M-pesa. Shikamooni...www.jamiiforums.com