ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Kuliko kuwa na wabunge ambao wameonesha uwezo mdogo wa kupangua na kuchangia Hoja , Nina Kila sababu Mimi kama mtanzania Kuona haja ya kuwaondosha baadhi ya wabunge katika mjumba ule wa heshima na kusajili wabunge wapya wenye kaliba ya wakili mwakabusi na wengine wengi, kwani watatusaidia katika ukombozi wa nchi.
Kumekuwa na mvutano mkubwa juu ya muungano wa Zanzibar na Tanganyika huku Ismail Jusa bado akitaka kurejesha uhuru wa Zanzibar mikononi mwa Zanzibar na Wakili Mwakabusi akitaka pia kuikomboa Tanganyika kutoka katika Muungano huu ambao uliasisiwa na chama Cha mapinduzi na upo hai mpaka Sasa kwakuwa nguvu inatumika Ili Uwe hai.
Hivyo basi Tunamuombea wakili mwakabusi aje Kugombea Jimbo lolote ambalo Mbunge wake ni dhaifu, au hata ikiwezekana akagombee mbararali ambapo Jimbo lipo wazi kutokana na kufariki Kwa mgombea
Kumekuwa na mvutano mkubwa juu ya muungano wa Zanzibar na Tanganyika huku Ismail Jusa bado akitaka kurejesha uhuru wa Zanzibar mikononi mwa Zanzibar na Wakili Mwakabusi akitaka pia kuikomboa Tanganyika kutoka katika Muungano huu ambao uliasisiwa na chama Cha mapinduzi na upo hai mpaka Sasa kwakuwa nguvu inatumika Ili Uwe hai.
Hivyo basi Tunamuombea wakili mwakabusi aje Kugombea Jimbo lolote ambalo Mbunge wake ni dhaifu, au hata ikiwezekana akagombee mbararali ambapo Jimbo lipo wazi kutokana na kufariki Kwa mgombea