Kwanini Mungu yupo?

Mungu hana hasara hata kama mwanadamu atomuabudu anavyo viumbe vingine vingi zaidi ya wanadamu katika atmosphere zingine zinazoonekana na zisizoonekana.

Kama aliweza wafuta majini, shetani na malaika zake ambavyo ni wengi kuliko wanadamu sembuse mwanadamu.

Mungu anataka wanadamu tumuabudu kwa faida yetu, SAwa na mzazi anataka mtoto asome kwa faida ya mtoto mwenyewe.
 
Sio katika perception ya kidini bali katika dhana nzima ya uwepo wake imekaa kimagumashi.

Sababu kuu ni kuwa hakuna uthibitisho wa Mungu kuwepo
Weka vidhibitisho mezani na vitu gani vinakufanya uamini hivyo
 
Unawezaa vizuri tuu tena Sayansi ndio inaeleza vizurii na kutoa majibu sahii ya uwepo wa Mungu kuliko dini zetu
 
Kabla hajaiumba dunia Yeye alikuwepo,kabla ya kumuumba mwanadamu na viumbe vingine Yeye alikuwepo,wewe na viumbe wengine mtakufa lakini Yeye ataendelea kuwepo

Mungu yupo kwasababu alipenda kuwepo hakuna aliyemuweka hapo alipo mpaka ahoji kwanini yupo,pia hata ukijua kwanini yupo haitakusaidia,cha kukusaidia ni wewe kujiuliza kwanini upo au kwanini uliumbwa,hiki ndicho kitakachokusaidia

Acha kupoteza muda hapa jamii forum kufikiria mambo ambayo hakuna mwanadamu ashibaye wali maharage anaweza kujibu,hata malaika ambao ni watakatifu hawataweza kulijibu swali lako,mambo yaliyoko wazi na yaliyofunuliwa kwenye upeo wa akili zetu na macho yetu hayo ni ya kwetu ila ambayo huna huwezo nayo hayo niya kwake Yeye ambaye Yuko na ataendelea kuwepo

swali ambalo unapaswa ujiulize na litakalokusaidia ni kwanini wewe upo?
 
TUANZIE HAPA... KWANINI WEWE UPO?

KWANINI TUSEME WEWE UNA AKILI...? MIMI NAAMINI WEWE HUNA AKILI? KAMA UTASEMA AKILI ZIPO... KWANINI ZIPO?
 
Ebu tuletee vidhibitisho ya hii kauli yako kwamba majini waligoma kumuabudu mungu
 
Mtaongea weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!! lkn Mungu kamwe hatajulikana kwa kondoo wasio wake! kwa sababu kondoo wake wanamjua mchungaji wao!!

Na mbinguni hamwendi ng'oooooooooooo!
Mchungaji hatupo kanisani hapa weka hoja zako sawa zieleweke sio kulazimisha
 
Kwann ww upo
 
Majini wao walishahukumiwa tayari kwao ni motoni
Huwezi kwenda motoni bila kuasi
Nmesema utuletee vidhibitisho sio imani yako ww jini umewahi kumuona au nani alikumbia kuwa majini yalikuepo na yalihukumiwa motoni
 
S
Yes sababu ni uzao uliohukumiwa tayari
Sasa huo sio udikteta? Yani kiumbe kimehukumiwa kabla hata hakijazaliwa.
Vipi jini akiamua kutubu na kumrudia mola wake? Hasamehewi?

Au majini hawawezi kutubu? Hawana free will?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…