Kwanini Mungu yupo?

Kwanini Mungu yupo?

Hopefully
Kwahyo Jibu lako ni kuwa binadamu hatuwezi kung'amua swali langu??
Kwanini hatuwezi? Je Quran imesema hatuwezi kung'amua swali langu?

Kama tumeumbwa kuabudu...kwanini tunaabudu? Mungu anapata faida Gani na ibada zetu?
mungu anatupenda tumwabudu kwasababu yy ni mwingi wa rehema mwenye wivu na hasira hana kubagua kwasababu wote ni wake amen
 
Maanake Mungu sio muumbaji wa kila kitu, kuna vitu vimekuja vyenyewe na yeye hana uwezo wa kuviumba
ukisema yeye unahisi Mungu ni personality kama wewe katika maumbile ya kimwili?
 
Mungu yupo kwa sababu yeye ndio sababu ya kuwepo kila kitu void,time,infinit, nothing and everything.All has come by him through him.Yeye ni source of anything and everything. Swali la msingi ni kwa Nini wewe upo? Who are you and why are you here.?

Wazungu wametengeneza James Web telescope kujaribu kutafuta majibu ya maswali Yao kwenye outer space.
 
Mungu ni creation ya mwanadamu kichwani kwake naamini ilitokana na kushindwa kujibu maswali magumu yaliyomkabiri au kutaka control ya binadamu wenzake, hakuna proof yeyote ya uwepo wa mungu, ingawaje kwa akili yetu ndogo naamini kuna kitu kimetuzidi uwezo ndio maana hatuelewi mambo mengi,infact hatujui hata tumetoka wapi tunaelekea wapi, enjoy tuu safari ya maisha labda kuna siku tutakuja kujua ukweli wa kila kitu kuanzi9a atoms mpaka galaxies na universe kwa ujumla
Katika wachangiaji woote humu ndani, wewe pekee ndio umeongea point 👏na kwa point hii, huu mjadala naona ufungwe tu sababu mkuu umemaliza kila kitu, binadamu hakuna tunachokijua kuhusu ulimwengu huu ilichobakia tunarukaruka tu assumptions and imaginations nyiingi
 
Hauwezi kuujua ulimwengu sababu mwenye ulimwengu wake YUPO.
Na Kuna mambo ametuficha makusudi kuonesha uwezo wake.

ndo maana qnasema ninyi wote ni viumbe vyangu,kwangu mmetoka na kwangu mtarejea na nitawahukumu.
Pia anasema sikuumba binadamu na majini ila WANIABUDU
Katika wachangiaji woote humu ndani, wewe pekee ndio umeongea point na kwa point hii, huu mjadala naona ufungwe tu sababu mkuu umemaliza kila kitu, binadamu hakuna tunachokijua kuhusu ulimwengu huu ilichobakia tunarukaruka tu assumptions and imaginations nyiingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hauwezi kuujua ulimwengu sababu mwenye ulimwengu wake YUPO.
Na Kuna mambo ametuficha makusudi kuonesha uwezo wake.
ndo maana qnasema ninyi wote ni viumbe vyangu,kwangu mmetoka na kwangu mtarejea na nitawahukumu.
Pia anasema sikuumba binadamu na majini ila WANIABUDU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Iv unakumbukumbu ata moja kama ulishawahi kuwa na mungu afu akakuleta apa duniani?
 
Hauwezi kuujua ulimwengu sababu mwenye ulimwengu wake YUPO.
Na Kuna mambo ametuficha makusudi kuonesha uwezo wake.
ndo maana qnasema ninyi wote ni viumbe vyangu,kwangu mmetoka na kwangu mtarejea na nitawahukumu.
Pia anasema sikuumba binadamu na majini ila WANIABUDU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu tulichofichwa bana... miaka 700,000 iliopita dunia ilikua na viumbe tofauti kabisa waliopo sasa.

Binadamu hatukua hivi kama tulivo. Kumaanisha kwamba hatukuumbwa siku ya 6. Kumaanisha kwamba hakuna anae control maisha hapa duniani kwahio hakuna MWENYE huu ulimwengu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hakuna mwenye ulimwengu.huu ulimwengu umetoka wapi?
Hakuna kitu tulichofichwa bana... miaka 700,000 iliopita dunia ilikua na viumbe tofauti kabisa waliopo sasa. Binadamu hatukua hivi kama tulivo. Kumaanisha kwamba hatukuumbwa siku ya 6. Kumaanisha kwamba hakuna anae control maisha hapa duniani kwahio hakuna MWENYE huu ulimwengu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yupo

NB: Huu mjadala sio wa kubishana kama mungu yupo au hayupo.
Hapa ninataka kuwauliza Kwa upole wale tunaoamini tayari kuwa Mungu yupo...Je, kwanini yupo?

Yaani siulizi mungu ametokea wapi/ametokanaje...
Hapa naulizia Kuna ulazima Gani wa yeye kuwepo? na kwanini yupo?

Mfano mtu akiuliza kwanini viti vya kukalia vipo, huwezi kujibu kwasababu mbao zikikatwa na kuchongwa vizuri zinatengeneza kiti, hapa utakuwa umejibu viti vinatokanaje....jibu zuri ni kwasababu vinatufanya binadamu tukae na kupumzika, hivyo tumevitengeneza...Inamaana bila kuwepo binadamu wenye shida ya kukaa basi viti visingekuwepo...

Kwahyo napouliza kwanini Mungu yupo? Siulizii chimbuko lake ametokana na Nini, ila naulizia ni sababu Gani iliyompelekea/iliyomlazimu yeye awepo.

Kuna wanaosema Mungu yupo ili auumbe ulimwengu, kwahyo function kubwa ya Mungu ni kuumba na kuendesha ulimwengu.

Hilo jibu kwangu halitoshelezi kwakuwa, Ningeuliza kwanini Huu ulimwengu upo?, Kwani Kuna ulazima ulimwengu uumbwe?

Kama Kuna ulazima wa ulimwengu kuwepo, basi Inamaana ulimwengu una thamani kuliko Mungu, kama binadamu tulivyo na thamani kuliko viti. Maana sisi ndo tumeleta viti, basi Ulimwengu umemleta Mungu.(yaani kama ni lazima ulimwengu uwepo, basi ulimwengu ndio umemlazimu Mungu awepo kama ambavyo Nyumba zinawalazimu mafundi ujenzi kuwepo,Simu zinawalazimu wauza simu kuwepo,Magari yanawalazimu madereva kuwepo, wahalifu wanalazimu polisi kuwepo nk.)

Lakini common sense inakataa.
Ingewezekana TU kusiwe na chochote, Hamna Dunia,hamna,Nyota,Hamna sayari, na Hakuna Mungu.

Sasa kwakuwa hivi vitu vipo, Je ni kwanini vipo?

Na kama ingewezekana kusiwepo kitu,Je ni Nini kililazimisha Mungu awepo?

Na kama mungu alikuwepo kabla ya Ulimwengu, na hakulazimishwa kuumba ulimwengu (angeamua angeacha na kubaki mwenyewe) Je yeye kwanini yupo? Nini kilipekea yeye kuwepo?

Kwanini Mungu yupo?
Kwa lugha nyepesi hamna jibu kama vile hamna jibu kwamba Mungu alitokeaje? Uumbaji ni kwa sababu Yeye Yupo na aliamua kwa mapenzi yake kuumba vitu vyote, ila sii kwamba yupo ili aumbe. angeweza kuwepo bila kuumba chochote kile. Hakuna Sababu iliyomshurutisha akawepo. Uwepo wa Mungu hauhitaji sababu yoyote ile.

Yeye yupo siku zote bila Mwanzo wala Mwisho. Sisi tunasababu ya kuweko kwa sababu kuna aliyetuumba na ana sababu zake za kutuumba.

Ila Mungu hana wa juu yake ambaye alimpa Sababu ya kuweko, ama aliyemwanzisha kwa kusudi fulani.
 
NB: Huu mjadala sio wa kubishana kama mungu yupo au hayupo.
Hapa ninataka kuwauliza Kwa upole wale tunaoamini tayari kuwa Mungu yupo...Je, kwanini yupo?

Yaani siulizi mungu ametokea wapi/ametokanaje...
Hapa naulizia Kuna ulazima Gani wa yeye kuwepo? na kwanini yupo?

Mfano mtu akiuliza kwanini viti vya kukalia vipo, huwezi kujibu kwasababu mbao zikikatwa na kuchongwa vizuri zinatengeneza kiti, hapa utakuwa umejibu viti vinatokanaje....jibu zuri ni kwasababu vinatufanya binadamu tukae na kupumzika, hivyo tumevitengeneza...Inamaana bila kuwepo binadamu wenye shida ya kukaa basi viti visingekuwepo...

Kwahyo napouliza kwanini Mungu yupo? Siulizii chimbuko lake ametokana na Nini, ila naulizia ni sababu Gani iliyompelekea/iliyomlazimu yeye awepo.

Kuna wanaosema Mungu yupo ili auumbe ulimwengu, kwahyo function kubwa ya Mungu ni kuumba na kuendesha ulimwengu.

Hilo jibu kwangu halitoshelezi kwakuwa, Ningeuliza kwanini Huu ulimwengu upo?, Kwani Kuna ulazima ulimwengu uumbwe?

Kama Kuna ulazima wa ulimwengu kuwepo, basi Inamaana ulimwengu una thamani kuliko Mungu, kama binadamu tulivyo na thamani kuliko viti. Maana sisi ndo tumeleta viti, basi Ulimwengu umemleta Mungu.(yaani kama ni lazima ulimwengu uwepo, basi ulimwengu ndio umemlazimu Mungu awepo kama ambavyo Nyumba zinawalazimu mafundi ujenzi kuwepo,Simu zinawalazimu wauza simu kuwepo,Magari yanawalazimu madereva kuwepo, wahalifu wanalazimu polisi kuwepo nk.)

Lakini common sense inakataa.
Ingewezekana TU kusiwe na chochote, Hamna Dunia,hamna,Nyota,Hamna sayari, na Hakuna Mungu.

Sasa kwakuwa hivi vitu vipo, Je ni kwanini vipo?

Na kama ingewezekana kusiwepo kitu,Je ni Nini kililazimisha Mungu awepo?

Na kama mungu alikuwepo kabla ya Ulimwengu, na hakulazimishwa kuumba ulimwengu (angeamua angeacha na kubaki mwenyewe) Je yeye kwanini yupo? Nini kilipekea yeye kuwepo?

Kwanini Mungu yupo?
Hakuna Mungu isipokuwa Allah tu.
 
NB: Huu mjadala sio wa kubishana kama mungu yupo au hayupo.
Hapa ninataka kuwauliza Kwa upole wale tunaoamini tayari kuwa Mungu yupo...Je, kwanini yupo?

Yaani siulizi mungu ametokea wapi/ametokanaje...
Hapa naulizia Kuna ulazima Gani wa yeye kuwepo? na kwanini yupo?

Mfano mtu akiuliza kwanini viti vya kukalia vipo, huwezi kujibu kwasababu mbao zikikatwa na kuchongwa vizuri zinatengeneza kiti, hapa utakuwa umejibu viti vinatokanaje....jibu zuri ni kwasababu vinatufanya binadamu tukae na kupumzika, hivyo tumevitengeneza...Inamaana bila kuwepo binadamu wenye shida ya kukaa basi viti visingekuwepo...

Kwahyo napouliza kwanini Mungu yupo? Siulizii chimbuko lake ametokana na Nini, ila naulizia ni sababu Gani iliyompelekea/iliyomlazimu yeye awepo.

Kuna wanaosema Mungu yupo ili auumbe ulimwengu, kwahyo function kubwa ya Mungu ni kuumba na kuendesha ulimwengu.

Hilo jibu kwangu halitoshelezi kwakuwa, Ningeuliza kwanini Huu ulimwengu upo?, Kwani Kuna ulazima ulimwengu uumbwe?

Kama Kuna ulazima wa ulimwengu kuwepo, basi Inamaana ulimwengu una thamani kuliko Mungu, kama binadamu tulivyo na thamani kuliko viti. Maana sisi ndo tumeleta viti, basi Ulimwengu umemleta Mungu.(yaani kama ni lazima ulimwengu uwepo, basi ulimwengu ndio umemlazimu Mungu awepo kama ambavyo Nyumba zinawalazimu mafundi ujenzi kuwepo,Simu zinawalazimu wauza simu kuwepo,Magari yanawalazimu madereva kuwepo, wahalifu wanalazimu polisi kuwepo nk.)

Lakini common sense inakataa.
Ingewezekana TU kusiwe na chochote, Hamna Dunia,hamna,Nyota,Hamna sayari, na Hakuna Mungu.

Sasa kwakuwa hivi vitu vipo, Je ni kwanini vipo?

Na kama ingewezekana kusiwepo kitu,Je ni Nini kililazimisha Mungu awepo?

Na kama mungu alikuwepo kabla ya Ulimwengu, na hakulazimishwa kuumba ulimwengu (angeamua angeacha na kubaki mwenyewe) Je yeye kwanini yupo? Nini kilipekea yeye kuwepo?

Kwanini Mungu yupo?
Wewe upo? Kwanini upo?
 
Back
Top Bottom