Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 7,262
- 12,620
- Thread starter
- #121
Ok kumbe ibaada ndio kitu fundamental kwenye Huu ulimwengu.Kwa nini JUA lipo? Kwa nini linatokeza Mashariki na kuzama Magharibi na si Kaskazini au Kusini? Huwezi ukahoji uwepo na maumbile ya nature. Nature inakuwepo tu pasipo ridhaa yako na baada ya hapo unachotakiwa kuhoji ni SABABU ZA UWEPO WAKE na si kwa nini ipo
Kwa mfano, huwezi ukahoji kwa nini wewe umezaliwa mwanamme au mwanamke ila unaweza ukahoji sababu za wewe kuzaliwa mwanamme au mwanamke.
SI KILA SWALI ULILONALO KICHWANI KWAKO, LINA MAJIBU AMBAYO YANAWEZA KUTOLEWA NA MWANADMU
Sababu pekee ya uwepo wa Mungu ni Ibada!
Asingekuwepo; wewe pia usingekuwepo. Mungu yupo ili mimi na wewe pamoja na viumbe vingine, vilivyopo, vinavyoonekana na visivyoonekana, tuweze kumwabudu.
Ni Mungu pekee anayestahili kuabudiwa
Ni kwanini? Ibaada inasaidia Nini?
Inamaana ibaada isingekuwepo hata Mungu asingekuwepo, maana kusingekuwa na Sababu ya yeye kuwepo.