GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Sina shaka kuwa Kuumbwa au Uwepo wa dunia sio wa Nasibu, Vitu vingi nikiviangalia nauona uwepo wa Mtengenezaji au Muumbaji.
Mfano nawaangalia viumbe kama ndege jinsi Rangi zao zilizonakshiwa vema kwenye manyoya yao naona nguvu na utukufu wa yule aliyepanga viwe na vikawa, sauti zao tofauti za kuvutia ni kiekeleza tosha cha uwezo na utukufu wake:
SWALI: Ukweli ni upi juu ya Muumba?
Kwanini hatuletewi miujiza ya kutufanya tuwe na yakini kama hao waliopita ambao tumewasoma kwenye vitabu?
Kwanini Mungu asituletee Mwongozo mmoja ili tujue njia sahihi ya kufuata badala ya kila mmoja kujitapa na Kujiona yuko sahihi?? Tena huku wengine wakiua watu kwa vigezo vya dini? Ref. Kenya.
Mfano nawaangalia viumbe kama ndege jinsi Rangi zao zilizonakshiwa vema kwenye manyoya yao naona nguvu na utukufu wa yule aliyepanga viwe na vikawa, sauti zao tofauti za kuvutia ni kiekeleza tosha cha uwezo na utukufu wake:
SWALI: Ukweli ni upi juu ya Muumba?
Kwanini hatuletewi miujiza ya kutufanya tuwe na yakini kama hao waliopita ambao tumewasoma kwenye vitabu?
Kwanini Mungu asituletee Mwongozo mmoja ili tujue njia sahihi ya kufuata badala ya kila mmoja kujitapa na Kujiona yuko sahihi?? Tena huku wengine wakiua watu kwa vigezo vya dini? Ref. Kenya.