Samahani mkuu tusi ni lipi hapo?kondomu?au kutumia km kondomu na kutupa?minaona concrete katumia lugha ya picha ambayo ni rahisi kuielewa.Mkuu Concrete!!!!!!!!Haya ni matusi tunajua kwamba JF ni uwanja wa wazi lakini jaribu kujitizama the way ulivyo halafu ujilinganishe na haya maneno yako kama uko sawasawa,wakati mwingine huwa tunajiharibia heshima sisi wenyewe!!!!!!
Muda wake ulishaisha(Expire) hivyo alitakiwa kutupwa mbali(Dispose).
Ni mtindo wa JK kuwatumia wenzie ndani ya chama kama Condom, ikishatumika inaitupa mbali.
Kwa mfano:
1/Samwel Sitta
2/Yusuph Makamba
3/John Chiligati
4/Pius Msekwa
5/Wilson Mukama
*Huu ni wakati wa Mangulla na Kinana kutumiwa kama Condom!!
kweliii?
Nakumbuka alipoteuliwa alianza kazi kwa mbwembwe nyingi, akikomalia propaganda ya kujivua gamba lkn kadiri Siku zilivyoyoyoma akawa kimyaaaaaaaaaa!!! Akimwacha Nape anahangaika vyake.
Nasikia pia yeye ndo alifanya utafiti na kumpelekea JK taarifa ya page nyingi yenye material yaliyopelekea JK kuja na single ya kujivua gamba nimelinganisha na kutofautisha mchango kati yake na Kinana nikaona angalau Mukama alifanya Kitu kuliko Kinana naleo nimemsikia kinana akisema baada ya uteuzi watu wanaisifia sekeetarieti iko safi.
Ebu nisaidieni sababu ya kuachwa Mukama ni nini?
Afadhali yeye aliyetukana kikundi kidogo cha watu,wewe mbona jina lako linamtukana kila mtu,kasoro mke wako na nyumba zako ndogo zote.Ungejitazama wewe kwanza kwenye hilo jina lako tungekuona wa maana.Unataka kujidai una busara wakati watu wamekunyamazia tu.Mkuu Concrete!!!!!!!!Haya ni matusi tunajua kwamba JF ni uwanja wa wazi lakini jaribu kujitizama the way ulivyo halafu ujilinganishe na haya maneno yako kama uko sawasawa,wakati mwingine huwa tunajiharibia heshima sisi wenyewe!!!!!!
SAGANKA uko sahihi anajifanya mstaarabu na muungwana kumbe ni sawa na Al shahabab tu.Afadhali yeye aliyetukana kikundi kidogo cha watu,wewe mbona jina lako linamtukana kila mtu,kasoro mke wako na nyumba zako ndogo zote.Ungejitazama wewe kwanza kwenye hilo jina lako tungekuona wa maana.Unataka kujidai una busara wakati watu wamekunyamazia tu.
Mzee huyu alinyesha kujaribu kupambana na cdm kwa nguvu kweli japo kimsingi alishindwa lakini alionyesha dhamira ya kweli ya kuomambana na cdm.sasa nini hasa chaweza kuwa kilimponza huyu babu?kwann ccm wamenyima ulaji na mafao katika uzee wake?ni vita ya urais au mipango ya mageuzi?ni unafiki au kutolipa fadhila?tujadili.