Kwanini Mukama alipigwa chini ukatibu mkuu CCM?

Mkuu Concrete!!!!!!!!Haya ni matusi tunajua kwamba JF ni uwanja wa wazi lakini jaribu kujitizama the way ulivyo halafu ujilinganishe na haya maneno yako kama uko sawasawa,wakati mwingine huwa tunajiharibia heshima sisi wenyewe!!!!!!
Samahani mkuu tusi ni lipi hapo?kondomu?au kutumia km kondomu na kutupa?minaona concrete katumia lugha ya picha ambayo ni rahisi kuielewa.
Tuvumiliane hata pale unapokuja ukweli mchungu.
 
Wilson Mukama, Sophia Simba a cabinet minister, incumbent, a lawyer, with skills as opposed to Anna Kilango Malecela a mere rural mp, backbencher, without the bolts and nuts to do what it takes to win the post of the chairperson, CCM women wing.


If we have to quote Mukama, the secretary general of CCM then it seems Sophia was so giant for Anna. She had and has all it takes to outmuscles Anna politically. Sophia a townie, an mp, a cabinet minister, a lawyer and a smart woman. Hii ina maana walimtafutia mpinzani dhaifu kwa makusudi, au ndani ya UWT hakukuwa na wagombea wenye sifa za kupambana na Sophia? Maana nadhani ni maneno mazito sana kutoka kwa katibu mkuu ambaye wagombea wote aliona wanaweza kuongoza UWT ndani ya CCM.

Lakini vile vile kwani nini kama Anna hana uwezo wa kupambana na mwanamke mmoja kama Sophia, alipewa nafasi ya kugombea kuongoza wanawake zaidi ya laki 5??? Angeweza vipi kuendesha chama kama hana uwezo wa kupambana na mtu mmoja kama Sophia? Nadhani hapa mapambano hawakuwa ya kutafuta kiongozi safi bali nani mwenye musuli mpana kama katibu mkuu alivyoonesha.

As long as TAKUKURU is within the structure, we will be expecting too much to expect that TAKUKURU will do anything meaningful to combat corruption. Prof Mmunya.


We have created a society where others can be incarcerated very easily without enough evident and others do away with it while being accused of the same or similar things. Njeru Kasaka

Kuna tofauti kubwa kati ya rushwa na hongo, tunachokisikia sasa ni maneno ya upande mmoja ya wale walioshindwa katika chaguzi ndani ya chama. Wilson Mukama
Wilson Mukama, Sophia Simba a cabinet minister, incumbent, a lawyer, with skills as opposed to Anna Kilango Malecela a mere rural mp, backbencher, without the bolts and nuts to do what it takes to win the post of the chairperson, CCM women wing.


If we have to quote Mukama, the secretary general of CCM then it seems Sophia was so giant for Anna. She had and has all it takes to outmuscles Anna politically. Sophia a townie, an mp, a cabinet minister, a lawyer and a smart woman. Hii ina maana walimtafutia mpinzani dhaifu kwa makusudi, au ndani ya UWT hakukuwa na wagombea wenye sifa za kupambana na Sophia? Maana nadhani ni maneno mazito sana kutoka kwa katibu mkuu ambaye wagombea wote aliona wanaweza kuongoza UWT ndani ya CCM.

Lakini vile vile kwani nini kama Anna hana uwezo wa kupambana na mwanamke mmoja kama Sophia, alipewa nafasi ya kugombea kuongoza wanawake zaidi ya laki 5??? Angeweza vipi kuendesha chama kama hana uwezo wa kupambana na mtu mmoja kama Sophia? Nadhani hapa mapambano hawakuwa ya kutafuta kiongozi safi bali nani mwenye musuli mpana kama katibu mkuu alivyoonesha.

As long as TAKUKURU is within the structure, we will be expecting too much to expect that TAKUKURU will do anything meaningful to combat corruption. Prof Mmunya.


We have created a society where others can be incarcerated very easily without enough evident and others do away with it while being accused of the same or similar things. Njeru Kasaka

Kuna tofauti kubwa kati ya rushwa na hongo, tunachokisikia sasa ni maneno ya upande mmoja ya wale walioshindwa katika chaguzi ndani ya chama. Wilson Mukama

KATIBU MKUU WA AINA HII LAZIMA MWENYEKITI APIGE CHINI TENA HARAKA KAMA JK ALIVYOFANYA
 
Muda wake ulishaisha(Expire) hivyo alitakiwa kutupwa mbali(Dispose).

Ni mtindo wa JK kuwatumia wenzie ndani ya chama kama Condom, ikishatumika inaitupa mbali.
Kwa mfano:
1/Samwel Sitta
2/Yusuph Makamba
3/John Chiligati
4/Pius Msekwa
5/Wilson Mukama

*Huu ni wakati wa Mangulla na Kinana kutumiwa kama Condom!!

... na huyu naye ni great thinker wa JF - Aibu tupu. Hivi huwezi wasilisha hoja yako kwa kutumia lugha yenye staha japo kidogo? Au unataka watu wote hapa JF wote waonekane hawana busara kama wewe? Shame upon you.


 
Dili lake la kuchoma vibanda igunga na kusingizia chadema kimeleta majasusi,na isitoshe sura yake kama panya na masharubu hakupendeza kabisa.........
 
Nakumbuka alipoteuliwa alianza kazi kwa mbwembwe nyingi, akikomalia propaganda ya kujivua gamba lkn kadiri Siku zilivyoyoyoma akawa kimyaaaaaaaaaa!!! Akimwacha Nape anahangaika vyake.

Nasikia pia yeye ndo alifanya utafiti na kumpelekea JK taarifa ya page nyingi yenye material yaliyopelekea JK kuja na single ya kujivua gamba nimelinganisha na kutofautisha mchango kati yake na Kinana nikaona angalau Mukama alifanya Kitu kuliko Kinana naleo nimemsikia kinana akisema baada ya uteuzi watu wanaisifia sekeetarieti iko safi.

Ebu nisaidieni sababu ya kuachwa Mukama ni nini?


Kinana ni mwindaji harabu na muuza pembe za ndovu. Sura ya upole moyo wa devil kabisa. CCM hamna msafi sasa hata wangechagua nani bado ni madudu.
God Save Tanzania.
 
Mkuu Concrete!!!!!!!!Haya ni matusi tunajua kwamba JF ni uwanja wa wazi lakini jaribu kujitizama the way ulivyo halafu ujilinganishe na haya maneno yako kama uko sawasawa,wakati mwingine huwa tunajiharibia heshima sisi wenyewe!!!!!!
Afadhali yeye aliyetukana kikundi kidogo cha watu,wewe mbona jina lako linamtukana kila mtu,kasoro mke wako na nyumba zako ndogo zote.Ungejitazama wewe kwanza kwenye hilo jina lako tungekuona wa maana.Unataka kujidai una busara wakati watu wamekunyamazia tu.
 
Afadhali yeye aliyetukana kikundi kidogo cha watu,wewe mbona jina lako linamtukana kila mtu,kasoro mke wako na nyumba zako ndogo zote.Ungejitazama wewe kwanza kwenye hilo jina lako tungekuona wa maana.Unataka kujidai una busara wakati watu wamekunyamazia tu.
SAGANKA uko sahihi anajifanya mstaarabu na muungwana kumbe ni sawa na Al shahabab tu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa siasa za ccm chini ya kikwete, nilijua Mukama hafiki mbali maana IQ yake ipo juu mno ikilinganishwa na bosi wake (kikwete) na akina Nepi.
 
Kwakweli mukama hasinge weza kufika mbali sababu hakuweza hata kutekeleza sera ya ccmweli ya kuwa fisadi!

Hata kusafirisha Twiga alishindwa sasa wa nini wakati hatekelezi sera!
 
Mzee huyu alionesha kujaribu kupambana na CHADEMA kwa nguvu kweli japo kimsingi alishindwa lakini alionesha dhamira ya kweli ya kupambana na CHADEMA.sasa nini hasa chaweza kuwa kilimponza huyu babu? kwann CCM wamemnyima ulaji na mafao katika uzee wake? Ni vita ya urais au mipango ya mageuzi?Ni unafiki au kutolipa fadhila?

tujadili.
 
It is very simple , ni laana ya mwenyezi mungu ! Hii ni kutokana na uongo wake alioutoa kwenye uchaguzi wa Igunga kwamba cdm wameagiza makomandoo kutoka Libya , pia alihusika kuyapiga kiberiti mabanda ya mbuzi na kusingizia ni nyumba ya kiongozi wa ccm ! Eti Imechomwa na wafuasi wa Cdm , uchunguzi wa manabii unaonyesha kuwa kuna laana kubwa zaidi inamnyemelea ili iwe fundisho kwa viwanda vya uongo kama yeye .
 
Kwa kifupi, mipango mkakati yake yote imekaa kinadharia tu, practically haitekelezeki. Mfano mzuri ni zoezi la kujivua gamba - inaaminika yeye ndo alimuingiza mwenyekiti choo cha kike kwa kuja na 'ubunifu' huo matokeo yake kavuliwa yeye hilo gamba! Pia rejea tuhuma zake kule igunga kwamba chadema wameingiza makomandoo kutoka afganistan tuhuma ambazo ni moja ya sababu ya mahakama kubatilisha 'ushindi' wa magamba igunga.
 
Mzee huyu alinyesha kujaribu kupambana na cdm kwa nguvu kweli japo kimsingi alishindwa lakini alionyesha dhamira ya kweli ya kuomambana na cdm.sasa nini hasa chaweza kuwa kilimponza huyu babu?kwann ccm wamenyima ulaji na mafao katika uzee wake?ni vita ya urais au mipango ya mageuzi?ni unafiki au kutolipa fadhila?tujadili.

Ni sera yake ya kuvuana MAGAMBA ambayo haikufanikiwa. Aligusa PAHALI pabaya
 
Back
Top Bottom