Pamoja na kuwa CCM kimejaa mafisadi, kina sifa moja ambayo vyama vingine vya siasa havina. Viongozi wa CCM wanadondoka baadaye wanarudi tena.
CUF, CDM and UDP ina masultani. Watu hawaachii nafasi.
Na wakidondoka hawahami chama!!. Yote tuseme lakini CCM angalau wanaachiana madaraka! CUF!! TLP!! CDM?!
kweliii?
hakuna mtu yeyote honest anayeweza kufanya kazi na mtu kama kikwete. he will throw you under the Bus at any time,t.
Jk does not mean what he says and never ever take him serious.
Ameachwa kwa sababu CCM hawajui majukumu ya katibu mkuu. Walitegemea awe mpiga domo, wakati yeye ni mratibu wa shughuli za chama. Mpiga domo mkuu ni mwenyekiti ambaye kwa bahati mbaya ni mkumbatia madaraka na ndio maana hakuna hata upande mmoja alikoweza kutekeleza majukumu yake kwa umahiri.
Muda wake ulishaisha(Expire) hivyo alitakiwa kutupwa mbali(Dispose).
Ni mtindo wa JK kuwatumia wenzie ndani ya chama kama Condom, ikishatumika inaitupa mbali.
Kwa mfano:
1/Samwel Sitta
2/Yusuph Makamba
3/John Chiligati
4/Pius Msekwa
5/Wilson Mukama
*Huu ni wakati wa Mangulla na Kinana kutumiwa kama Condom!!
kwa sababu ya zile ndevu chini ya pua zimekuwa kubwa na hataki kuzinyoa!
Waliosoma mathematics wanaamini kuwa hesabu huhesabiwa hivi....... 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 0................... hilo ndilo ndilo jibu.