nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,449
- 2,305
Kila siku watu wanalalalmika humu kuwa huko magerezani wamejaa wezi wa kuku lakini vigogo wanalindana; vigogo wanaposwekwa lupango pia wako wengine wanawaonea huruma kana vile hayo mabilioni wanayoiba huwa wanawagawia!!! Mramba ilibidi afungwe ili laana ya kuwaambia wananchi wale majani ihitimishwe!! Sasa yeye anakwenda kunyea ndoo hata akijapata msamaha atakuwa amenyooka.
Nilitegemea hukumu ilingane na muda wa miaka 8 tangu kesi ianze kuunguruma. Kwa mantic hiyo, kama kesi imekaa miaka 8 ndo imekwisha tar.06.7.2015 basi hukumu ilalie pale lupango miaka 8. Hakuna uwiano kabisa, sheria gani hizi.