Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Bazil Pesambili Mramba na Jakaya Mrisho Kikwete ni watu walifanya kazi ofisi moja,Chini ya boss wao Benjamini Wiliam Mkapa.Ni watu walihudhuria vikao vya baraza la mawaziri pamoja chini ya mwenyekiti Rais Mkapa.
Sasa nimejiuliza Kwanini JK hakumwokoa Mramba kama alivyomwokoa Chenge Tibaijuka Na Lowassa?
Kama JK anapenda utawala wa sheria mbona Muhongo anapeta mtaani na urais anawania?
Vipi mama Anna Tibaijuka mbona hapandishwi kizimbani na alishatamka ni za mboga?
Tafakuri Please!
Sasa nimejiuliza Kwanini JK hakumwokoa Mramba kama alivyomwokoa Chenge Tibaijuka Na Lowassa?
Kama JK anapenda utawala wa sheria mbona Muhongo anapeta mtaani na urais anawania?
Vipi mama Anna Tibaijuka mbona hapandishwi kizimbani na alishatamka ni za mboga?
Tafakuri Please!