Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,666
- Thread starter
- #181
Haya kaoe mbuzi since we kunguru wa manzese,mtaendana sana!!Bora kuoa mbuzi kuliko single mother
Haya kaoe mbuzi since we kunguru wa manzese,mtaendana sana!!Bora kuoa mbuzi kuliko single mother
Tangia mtondodogoo halikuwepo au mnajua kulinakshi sasa?Kundi maalumu jipya ndani ya jamii,
We endelea kutetea viwanja vya migogoro ( single mothers)Haya kaoe mbuzi since we kunguru wa manzese,mtaendana sana!!
Then what?🤣🤣🤣sikia ww kama ww hutaki kuoa single mother ni chaguo lako,hakuna mtu anayepangiwaa kitu,maisha haya tupo huru lakini ni muhimu mno kuheshimu utu na uwe na ubinaadamu.Single mother ni binaadamu na mwanamke kama wengine wote au we ulizaliwa na mbuzi? Yeye ameleta uhai duniani baadala ya kuua kiumbe kisicho na hatia we unakuja hapa na porojo hewa tu?Hivi unajua uchungu wa kuzaa wewe kunguru wa manzese?We endelea kutetea viwanja vya migogoro ( single mothers)
Wanawake bhana mkiambiwa ukweli utaskia ni sawa na mama ako aliekwambia female humanoid wote ni sawa ni nani ...sijui nimekuzaa acheni kutumia hii sababu kuficha ujinga wenu eti ndo msikosolewe mnapokosea ... halafu isitoshe sio wote mnazaa na hamjizalishi wenyewe nyie sio asexual so ondoa hizo bullshitThen what?sikia ww kama ww hutaki kuoa single mother ni chaguo lako,hakuna mtu anayepangiwaa kitu,maisha haya tupo huru lakini ni muhimu mno kuheshimu utu na uwe na ubinaadamu.Single mother ni binaadamu na mwanamke kama wengine wote au we ulizaliwa na mbuzi? Yeye ameleta uhai duniani baadala ya kuua kiumbe kisicho na hatia we unakuja hapa na porojo hewa tu?Hivi unajua uchungu wa kuzaa wewe kunguru wa manzese?
You had a whole week to think of writting this idiotism like seriously?🤔Wanawake bhana mkiambiwa ukweli utaskia ni sawa na mama ako aliekwambia female humanoid wote ni sawa ni nani ...sijui nimekuzaa acheni kutumia hii sababu kuficha ujinga wenu eti ndo msikosolewe mnapokosea ... halafu isitoshe sio wote mnazaa na hamjizalishi wenyewe nyie sio asexual so ondoa hizo bullshit
yaani ni sawa sawa niseme Females na males Ni sawa maana wote wana bulbourethral glands
Uzuri hawa single mother wengi tushajifunza so kama nilivyokwambia endelea kuwatetea
Kuhusu uchungu wa kuzaa hainuhusu haipo kwenye bailojia yangu
You had a whole week to think of writting this idiotism like seriously?You had a whole week to think of writting this idiotism like seriously?
Vizuri umejifunga kamba za miguu mwenyewe!Umesema sisi sio asexual well its true hatujizalishi so dont get over your head and get out of point,every part should take their damn responsibilty kama mnajua hatujizalishi!
And stop spinning the coin around,nyie mkiambiwa ukweli mnasikia???hizi kelele zako zote ni kama debe tupu hapa ni kithibitisho tosha!
Nimeleta uchungu wa kuzaa coz ur comparing a woman to an animal.
Are you confused dude?I think something must be seriously wrong with you!!
Hukupata notification?I guess ulikuwa busy kwenye uzi zangu nyingine unaandika utoporo wako!You had a whole week to think of writting this idiotism like seriously?
Ni kwa vile sikupata notification za hili povu lako nimepita nimekutana nalo
Vizuri umejifunga kamba za miguu mwenyewe!Umesema sisi sio asexual well its true hatujizalishi so dont get over your head and get out of point,every part should take their damn responsibilty kama mnajua hatujizalishi!
Ushaambiwa toka huko juu single mother tunawaozunguzia Ni wapi hatujaambiwa wajane ,wala wala waliobakwa na kupata mimba hawa wengine hawa slay Queens dada za mjini unasema tuwe responsible kivipi... of course labda malezi ya mtoto lakini kuhusu hizo tabia zao hatuhusiki
And stop spinning the coin around,nyie mkiambiwa ukweli mnasikia???hizi kelele zako zote ni kama debe tupu hapa ni kithibitisho tosha!
Siku zote mtoto wa kike unatakiwa kujiheshimu na kuwa na maadili maana katika lile tendo nyie ndio waathirika zaidi kuliko wanaume mfano ndo tunaona single mother ie kupata mtoto kwa njia ambayo siyo ya kimaadili yetu
(hapa kuna wanawake hawahusiki kwenye hili kundi kama wajane,waliotelekezwa kwenye ndoa,waliobakwa nakupata mimba na kuzaa)
sasaa mngejitunza na kuzuia hivyo vishawishi ..na kuzaa sio kosa ila mngefanya katika utaratibu maalumu wa kimaadili yetu nadhani hata wale wapigaji na kusepa mngewakwepa kwa kiasi kikubwa mngeshinda vishawishi vikubwa....
sasa usipende kulingana na mwanaume sijui achukue nae blame ..and then what ? Maana kama ulishindwa wewe kujiheshimu huyo mwanaume afanyaje sasa ? na uzuri mnafanya kwa akili zenu na matakwa yenu
Nimeleta uchungu wa kuzaa coz ur comparing a woman to an animal.
Are you confused dude?I think something must be seriously wrong with you ?
Ndo huo mfano wa uchungu usiulete hapa hio ni kama bailojia yenu tu and yes hata wanyama wanawake wanasikia uchungu wakizaa na wao pia wana marternal instincts
Etii ohh unatufananisha na mnyama yes hata man.. mwanaume. nae ni animal vile vile .mnapenda sana ku play victims
Ndio maana nikasema hapo juu kunavisababu vyenu mnapenda kuvitumia sana vya kizamani lakini haviwezi kujustify upuuzi unaofanywa na baadhi yenu kisa nao ni wanawake kama nyinyi
Sasa we endelea kusema lawama ya wote maana unaleta mashindano na wanaume badala ya kuangalia upande wako na faida zakoHukupata notification?I guess ulikuwa busy kwenye uzi zangu nyingine unaandika utoporo wako!
We sema unalotaka but the end of the umeproove huna heshima ni moja na haibadilishi uhalisia kujitunza wajitunze wote,so we can go back and forth the whole day if you like.
Responsibility ni ya wote kama mwanaume nae angejitunza kusingekuwa na single mother wala single father tusichoshane!Kama siku zote ilikuwa mwanamke anapewa lawama sasa ni wakati wa mabadiliko lawama ni ya wote!
Na nadhani hujaelewa maudhui ya uzii sijasema single mothers wote ni sawa so usilete porojo nyingi kwasababu ushaandika pumba tangia juu kuwa bora uoe mbuzi!We kaoe huyo mbuzi wako hilo tumekubali.Sawa maana huna adabu ka huyo Kunguru!
Wamejaa humu ajabu majority ni wanawake...shame on themNani anamhukumu single mother? Kila mtu aheshimu status ya mwingine, simple!
Usichonielewa mimi naanglia how kuepuka janga hili kwasababu si mnawasema mabinti wakionywa na kujitunza itasaidia,swali la kujiuliza je inasaidia?Jibu ni NO haisaidii na hali inazidi kuwa mbaya!Sasa we endelea kusema lawama ya wote maana unaleta mashindano na wanaume badala ya kuangalia upande wako na faida zako
Hayo mabadiliko utasubiri sana na cha ajabu hamkuanza leo kuyahitaji .
Ni hayo tu ma mkwe
Mfano hai soma post zilizojiri humu kwenye huu uzi hapa!Si wanawake si wanaume wanawakandamiza single mothers!Nani anamhukumu single mother? Kila mtu aheshimu status ya mwingine, simple!
Everything happens for a reason.Mfano hai soma post zilizojiri humu kwenye huu uzi hapa!Si wanawake si wanaume wanawakandamiza single mothers!
Bora ulivyobadilisha statement ya mwanzo, you've written in a more polite way.Mfano hai soma post zilizojiri humu kwenye huu uzi hapa!Si wanawake si wanaume wanawakandamiza single mothers!
Sio sawa, tusihukumiane kwa status zetu. Muhimu ukishakuwa mzazi ujuwe majukumu yako.Wamejaa humu ajabu majority ni wanawake...shame on them