kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,319
- 12,622
Unapoitaja World Bank, IMF na WTO ni sawa na kuitaja Marekani na Ulaya Magharibi. Kama mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika uliofanyika Tanzania umedhaminiwa na Benki ya dunia maana yake umedhaminiwa na nchi ya Marekani.
Kwanini AU na waafrika wenyewe wameshiñdwa kuudhamini mktano wao?
Are we serious?
Kwanini AU na waafrika wenyewe wameshiñdwa kuudhamini mktano wao?
Are we serious?