Kwanini miji ya Africa mingi ipo disorganised?

Kwanini miji ya Africa mingi ipo disorganised?

Hakuna changes if we depend on viongozi tu

It starts in thr households
Mkuu acha kujidanganya, UONGOZI KAMA NI SHIDA HAKUNA MAENDELEO HAPO.

Mfano ule mradi wa dege, kwann umesimama? Pesa zilzowelwa pale je? Kama Ule mpango ulifanyiwa upembuzi yakinifu kwann mtu kaamka tu na kuuzima? Kama kulikiwa na upigaji, ni nani amewajibishwa.

Sasa wewe utachangia nin kwenye ule mradi wa dege ?? Changes za nyumbani kwako zifanye, lkn ztaenda kuongeza idadi ya tunaolalamikia Serikari na hatusikilizwi.
 
Kama viongozi wenyewe wako disorganized husitegemee miji iliyo organized.
 
Harare
Usioiona kwenye shoso media za wazungu

1766186569555.png

1766186666718.png

1766186727045.png

1766186762588.png

1766186810752.png

1766186854131.png

1766187092429.png


Wazungu hawapendi wakiona sanamu kama hizi
Ila kwao wanatukuza sanamu za wafanya biashara ya utumwa
1766187149014.png
 
Hivi hakuna namna wanaweza kutengeneza mitaro miembamba halafu wakafunika juu?! Mamitaro ya miji mingi makubwa kama mito halafu yako wazi yamejaa matakataka au ndio Mainjinia wajenzi wanavyofundishwa?
Hapo umeongea mambo 2, ukubwa wa mitaro na uchafu kwenye mitaro hiyo.
Hatuwezi kuwa na mitaro msafi?
Usafi, usafi, usafi, usafi.......
 
Back
Top Bottom