Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,309
- 54,824
Yaani nature ya mwafrika ni disorganized na inaanza kwenye mila hukoNdio maana Africans hatuheshimiwi na watu wa nchi za nje. Huku ni kwetu na hadi leo pako hivi, miaka 60+ ya uhuru, Africa bado ipo kwenye hali tete
South africa bila mtu mweupe leo hii joberg pretoria or cape town pasingekuwa organized palivyo sasa