Hiyo ni kwa mujibu wa tasfiri ya nani, au yako ?Elimu kazi ni kumwezesha mwanadamu kutatua changamoto zinazomzunguka.
Sasa kama umesoma halafu uwezo wako wa kupambana na changamoto ni sawa na wangu. Au pengine nakuzidi. Usomi wako una maana gani? Huko mnasomea ujinga na ngono tu.
Wasomi ndio wametuangusha!! Wanasaini mikataba ya hovyo sana na kuliingiza hasara taifa!! Namshauri Msukuma ajiendeleze kielimu atleast afikie level za diploma itampa confidence!! Amtafute Shigongo ampe blueprints how to ball.
Watu hudharau ambacho hawana,na ni vigumu kupata,sizitaki mbichi hizi,kwa vile ameshindwa kuzipata,hajawahi kujua utamu na uchungu wa Elimu ya juu,kwa vile anaona wasomi na yeye wote wanakula,wanakunywa na kukata gogo,anafikiri wapo Sawa.Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Kama usomi hauna maana si naye akisoma atakuwa hana maana?
Yule ana kichaa siyo mzimaNimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Tatizo ni mfumo wala siyo elimuElimu ni muhimu kuwa nayo ili uwe na ground pana ya kuwaza mambo! Ila baadhi ya watu tuliowapa dhamana hawatumii elimu zao kutufaidisha bali wanatumia elimu zao kuliibia taifa.
Huku anatamani Sungura kasema: "Hata hivyo ndizi hizi siyo mbivu". Hii ni tabia ya binadamu aliyeshindwa kufika walikofika wengine.Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Elimu ni muhimu kuwa nayo ili uwe na ground pana ya kuwaza mambo! Ila baadhi ya watu tuliowapa dhamana hawatumii elimu zao kutufaidisha bali wanatumia elimu zao kuliibia taifa.
Amegundua mnatumika visivyo na Wanasiasa wasio Wasomi Mnatunga Sheria za kipumbavu, Mnasifia Hovyo Viongozi mnajiita wa MajalalaniNimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Ni kwa sababu watu kama Palamagamba Kabudi, Mwigulu Mchemba, Kigwangalla, Tulia Ackson, Ndugai, Polepole na wengine wengi walidhalilisha sana hadhi ya USOMI kipindi cha MwendazakeNimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Hata mie sielewagi yaan, watu wanaacha taaluma zao walizosotea miaka zaidi ya 20, halafu anaishia kuwa mgonga meza bungeni aaaaah.Wasomi wa Tanzania wameifanyia nini Tanzania? Musukuma yupo sahihi. Profesa unaenda kutia tia huruma ukiomba cheo kwa wananchi? Hiyo elimu yako imekusaidia nini?
Amegundua mnatumika visivyo na Wanasiasa wasio Wasomi Mnatunga Sheria za kipumbavu, Mnasifia Hovyo Viongozi mnajiita wa Majalalani
Kwani wasomi wamelifanyia nini taifa hili zaidi ya kuliibia tu ?Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Mafanikio makubwa ya kimaisha ni yapi?Hiyo ni kwa mujibu wa tasfiri ya nani, au yako ?
Nambie ni nani ambaye ana maisha ya mafanikio makubwa bila msaada wa elimu ?
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?