Kwanini mbunge Musukuma anapenda kuwadharau wasomi wetu?

Elimu kazi ni kumwezesha mwanadamu kutatua changamoto zinazomzunguka.

Sasa kama umesoma halafu uwezo wako wa kupambana na changamoto ni sawa na wangu. Au pengine nakuzidi. Usomi wako una maana gani? Huko mnasomea ujinga na ngono tu.
Hiyo ni kwa mujibu wa tasfiri ya nani, au yako ?

Nambie ni nani ambaye ana maisha ya mafanikio makubwa bila msaada wa elimu ?
 
Wasomi ndio wametuangusha!! Wanasaini mikataba ya hovyo sana na kuliingiza hasara taifa!! Namshauri Msukuma ajiendeleze kielimu atleast afikie level za diploma itampa confidence!! Amtafute Shigongo ampe blueprints how to ball.
 
Wasomi ndio wametuangusha!! Wanasaini mikataba ya hovyo sana na kuliingiza hasara taifa!! Namshauri Msukuma ajiendeleze kielimu atleast afikie level za diploma itampa confidence!! Amtafute Shigongo ampe blueprints how to ball.

Kama usomi hauna maana si naye akisoma atakuwa hana maana?
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Watu hudharau ambacho hawana,na ni vigumu kupata,sizitaki mbichi hizi,kwa vile ameshindwa kuzipata,hajawahi kujua utamu na uchungu wa Elimu ya juu,kwa vile anaona wasomi na yeye wote wanakula,wanakunywa na kukata gogo,anafikiri wapo Sawa.
 
Wasomi wa Tanzania wameifanyia nini Tanzania? Musukuma yupo sahihi. Profesa unaenda kutia tia huruma ukiomba cheo kwa wananchi? Hiyo elimu yako imekusaidia nini?
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Yule ana kichaa siyo mzima
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Huku anatamani Sungura kasema: "Hata hivyo ndizi hizi siyo mbivu". Hii ni tabia ya binadamu aliyeshindwa kufika walikofika wengine.
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Amegundua mnatumika visivyo na Wanasiasa wasio Wasomi Mnatunga Sheria za kipumbavu, Mnasifia Hovyo Viongozi mnajiita wa Majalalani
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Ni kwa sababu watu kama Palamagamba Kabudi, Mwigulu Mchemba, Kigwangalla, Tulia Ackson, Ndugai, Polepole na wengine wengi walidhalilisha sana hadhi ya USOMI kipindi cha Mwendazake
 
Wasomi wa Tanzania wameifanyia nini Tanzania? Musukuma yupo sahihi. Profesa unaenda kutia tia huruma ukiomba cheo kwa wananchi? Hiyo elimu yako imekusaidia nini?
Hata mie sielewagi yaan, watu wanaacha taaluma zao walizosotea miaka zaidi ya 20, halafu anaishia kuwa mgonga meza bungeni aaaaah.
 
Amegundua mnatumika visivyo na Wanasiasa wasio Wasomi Mnatunga Sheria za kipumbavu, Mnasifia Hovyo Viongozi mnajiita wa Majalalani

Wajalalani wamejitambulisha wenyewe hivyo kwa maneno na vitendo.

Wakashindwa kumshauri mwendazake hata katika yale wenyewe walikuwa mapema wakiyapigia kelele kwa kulinda matumbo yao.
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Kwani wasomi wamelifanyia nini taifa hili zaidi ya kuliibia tu ?
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?

Haya ni madhara ya moja kwa moja ya sera za yule bwana ambaye aliukumbatia hadharani ushirikina dhidi ya sayansi, akawapuuza wataalamu dhidi ya kina msukuma nk. Elimu ikawa haina umuhimu dhidi ya nyungu na vi imani uchwara vya namna hiyo.

Nchi ilikuwa imechezewa sana!

Tulipo sasa tupo katika kuirejesha nchi mstarini. Wapongezwe wote wanaochukua hatua hizo hata kama yumo sasa mh. Tulia ambao itakumbukwa kuwa ni mmoja wa wasomi ambao wametukosea sana na kwa muda mrefu na ni sehemu ya uozo huu.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom