Kwanini Mbowe anahaha kuizuia kesi ya Mdee & 18?

Kwanini Mbowe anahaha kuizuia kesi ya Mdee & 18?

Acha unyumbu mbowe wapi kazuia kesi isiende mahakamani kina mdee wamenda kimya kimya ili uamuz utolewe upende mmoja lakini cdm wakagundua sasa subiri iyo tarehe 13 ndio utajua
Sikiliza uelewe.......

Wanachokipigania Chadema na Jopo lao la mawakili ni kutaka kuzuia Mahakama isisikilize wala kufungua kesi ya kina mdee.

Hata kama wangefungua kesi yao bila uwepo wa chadema.
Bado chadema wangeitwa ili kujibu mashtaka.

Wewe helewi ninachouliza mimi.
 
Aliyekuambia Ikulu wanazungumzia ishu ya hao covid 19 ni nani? Kuna mambo mengi ya msingi na ya maaana zaidi ya kujadili kwa mustakabali wa Taifa
Kama Serikali ikiwabeba hao covid 19 ni shauri yao kwani hela wanayolipwa ni kodi za Watanzania wote ukiwepo wewe.
Wafuasi wa Magufuli suala la maridhiano na kujenga umoja wa Taifa letu hamtaki kulisikia kwani mna asili ya umwagaji damu na wengine mnanufaika na hizi tensions kati ya CCM na Chadema. Mwacheni Rais aponye machungu aliyosababisha huyo mungumtu wenu aliyeko jehanam sasa.
Wewe uko Dunia ya Nne hata huelewi kwamba Chadema hao hao wameishaweka mitandaoni orodha ya hoja walizopeleka Ikulu.

Na hiyo ya kina Mdee ni mojawapo.
 
Honestly, ndugu voicer mimi sijakuelewa. Sijui unahoji usichokielewa kweli au umeamua kujitoa ufahamu ili ignorantly ufanye blind propaganda (spinning)... Anyway. Hebu twende hoja moja baada ya nyingine;
Je?
Ni kwa sababu Chadema watalazimika kuthibitisha Uharamu wa Nyaraka zilizopelekwa NEC na Bungeni?
Si wameshasema kuwa hawajawahi kupeleka jina lolote kwa kutumia nyaraka yoyote? Watakaopaswa kuthibitisha uhalali wa ubunge wa hawa kinamama ni NEC na Bunge. Hata hiyo "temporary injuction" ya uhalali wa ubunge wao hadi 13/6/2022 hawajapewa CHADEMA. Amepewa Dr Tulia na Bunge lake...

Huu ni uthibitisho namba moja kuwa, CHADEMA hawana tatizo na hawa kinamama. Wao wamemaliza kazi yao kwa mujibu wa taratibu za chama/taasisi yao..!
Je?
Ni kwa sababu kuna ukweli kwamba kulikuwa na baraka za uongozi wa ngazi za juu nyuma ya kupelekwa majina hayo na uteuzi wake?
Walipaswa wao wenyewe hao kinamama 19 waliopewa baraka hizo waseme na kuthibitisha ukweli huu mbele ya vikao halali vya kikatiba vya chama/taasisi yao yaani CC na Baraza Kuu vilivyoamua kuwa hawafai tena kuwa wanachama wa CHADEMA. Hawakufanya wala kusema lolote kujitetea..!
Je?
Ni kuinusuru Chadema isiumbuliwe na kina Mdee kwa sababu ya kuyajua mengi ambayo wasingependa yaanikwe hadharani?
Kuumbuana kulipaswa kufanyike ndani ya vikao halali vya chama sio nje ya hapo. Hawakufanya hivyo. Maana yake hawana lolote la kuiumbua CHADEMA..!
Au!
Mbowe anaogopa Uhuni wa Mdee?
Wamekutana face to face kwenye CC na BK lakini, Halima na wenzake hawajawahi ku reveal uhuni wowote. Mahakamani wameenda kujiegemeza ili ubunge wao uendelee labda mpaka hiyo 2025. Sijui kama watatibiwa...!
Kama wamekwisha fukuzwa uanachama kupitia kikao cha kamati kuu ya Halmashauri ya Chadema.

Kama kiongozi mwandamizi na msemaji wa Chadema Ndugu Mrema alitamkia Dunia kupitia mahojiano na Mtangazaji wa DW-KISWAHILI na kusema...
"Chadema wamemaliza kazi yao"

Inakuwaje Chadema na uongozi wao woote mmehamishia nguvu kwenye kuzuia kesi yao kusikilizwa mahakamani?
Two facts zishuke;

1. It's true, CHADEMA haina ushirika na hao wanawake 19 tena. Imewafuta uanachama..!

2. Si wao ndio wameshitaki mahakamani? CHADEMA si ni mmoja wa washitakiwa? Sasa mantiki ya hoja yako kuwa CHADEMA imehamishia nguvu mahakamani ili kuzuia kesi ya hawa kina mama inatoka wapi? Unaijenga ktk msingi upi? Au hujui unaandika nini?
Kwa nini Chadema msiandae ushahidi na kusubiri kesi ianze kuunguruma kama inavyopaswa.
Badala ya kuhangaika kuweka pingamizi ili kesi hiyo isiendelee.

Wamekuambia hawaandai? Ni moja ya washitakiwa huko mahakamani. So, it's obviously, wanaandaa majibu na ushahidi wao kulingana na hoja za mdai (Halima Mdee)

By the way, umeiona hati ya mashitaka/madai ya Halima Mdee?

Utacheka!

Ni ubabaishaji mtupu. Ni kuhaha kwa kwenda mbele..!
Mpaka MBOWE anaamua kuunda ujumbe mzito ili kumshawishi Mh Raisi wa JMT aingilie mhimili wa Bunge na Mahakama kinyume na sheria?

Unadanganya. Unajichanganya mno. Kwa kifupi wewe ni MWONGO na umetekwa na UKADA WA CCM na kuacha ufahamu kwenye kiuno chako. Aidha, wewe huna "basic facts" za sakata hili ndiyo maana unajichangaya

"Intetion" ya vikao vya maridhiano kati ya serikali/CCM na CHADEMA ilikuwepo hata kabla hawa hawajafungua kesi mahakamani. Ilikuwepo tangu uhai wa mwasisi wa matatizo haya mwendazake Magufuli hajafa mwaka jana 2021..

Kwa hiyo, vikao vinavyoendelea havijasababishwa na sakata hili bali ni matokeo ya mfumo mbaya wa utawala, katiba na sheria uliozaa matatizo...

Kama linajadiliwa, basi it's just by the way na ofcoz limechochea zaidi umuhimu wa kuwepo vikao vya majadiliano na maridhiano kama hivyo...!!
Je?
Bado Chadema mnaona mnafaa kuitwa chama cha demokrasia?

Hili swali umeuliza na unapaswa ujijibu mwenyewe..!!
Wale wafuasi wenye Matusi badala ya hoja....

Jitahidini mje na Majibu badala ya Matusi.

Vinginevyo mtakuwa mnaendeleza Uhuni,maana mwenyekiti amewakataza Matusi.
Mmenisikia...

Ahsanteni....
Umejibiwa kikamilifu. Hakuna matusi hapo. Ila kama kuna sehemu nimekuita mjinga ama mpumbavu, basi haiwezi kuwa matusi hayo, bali ni ukweli wa sifa na tabia yako..!

Au unaweza KUJIKANA mwenyewe? Unaweza kuikana tabia yako..?
 
Huko mimi sipo!
mimi niko huku Mahakamani mkuu?

Kwa nini Chadema haitaki kesi isikilizwe ili ukweli uthibitike.

Kuna nini wanakiogopa hapo Mahakamani?

..wanaogopa UCHELEWESHAJI wa haki ambao mahakama imekuwa nao ktk masuala yanayofanana na hili la kina Halima.

..mahakama imekuwa IKITUMIKA na watawala kupiga danadana mashauri kama haya mpaka inafika muda uchaguzi mwingine umefika na shauri linakosa maana.
 
Je?
Ni kwa sababu Chadema watalazimika kuthibitisha Uharamu wa Nyaraka zilizopelekwa NEC na Bungeni?

Je?
Ni kwa sababu kuna ukweli kwamba kulikuwa na baraka za uongozi wa ngazi za juu nyuma ya kupelekwa majina hayo na uteuzi wake?

Je?
Ni kuinusuru Chadema isiumbuliwe na kina Mdee kwa sababu ya kuyajua mengi ambayo wasingependa yaanikwe hadharani?

Au!
Mbowe anaogopa Uhuni wa Mdee?

Kama wamekwisha fukuzwa uanachama kupitia kikao cha kamati kuu ya Halmashauri ya Chadema.

Kama kiongozi mwandamizi na msemaji wa Chadema Ndugu Mrema alitamkia Dunia kupitia mahojiano na Mtangazaji wa DW-KISWAHILI na kusema...
"Chadema wamemaliza kazi yao"

Inakuwaje Chadema na uongozi wao woote mmehamishia nguvu kwenye kuzuia kesi yao kusikilizwa mahakamani?

Kwa nini Chadema msiandae ushahidi na kusubiri kesi ianze kuunguruma kama inavyopaswa.
Badala ya kuhangaika kuweka pingamizi ili kesi hiyo isiendelee.

Mpaka MBOWE anaamua kuunda ujumbe mzito ili kumshawishi Mh Raisi wa JMT aingilie mhimili wa Bunge na Mahakama kinyume na sheria?

Je?
Bado Chadema mnaona mnafaa kuitwa chama cha demokrasia?

Wale wafuasi wenye Matusi badala ya hoja....

Jitahidini mje na Majibu badala ya Matusi.

Vinginevyo mtakuwa mnaendeleza Uhuni,maana mwenyekiti amewakataza Matusi.
Mmenisikia...

Ahsanteni....
Kwanini sukumagang mnaumizwa sana na mwenendo wa sasa wa siasa za Tanzania!
 
Sikiliza uelewe.......

Wanachokipigania Chadema na Jopo lao la mawakili ni kutaka kuzuia Mahakama isisikilize wala kufungua kesi ya kina mdee.

Hata kama wangefungua kesi yao bila uwepo wa chadema.
Bado chadema wangeitwa ili kujibu mashtaka.

Wewe helewi ninachouliza mimi.
Achaga Ujinga na wewe hujui wanacho pinga Chadema sio kufungua kesi wanapinga taratibu za kufungua kesi hazipo sawa kukudhi taratibu za kisheria na ndio wanasema kwambaa mahakama isisikilize hiyo kesi kwa kuweka sababu za kisheria.

Hata ktk kesi ya michongo ya Ugaidi hewa dhidi ya Mbowe Chadema iliweka pingamizi pia kuiomba Mahakama isisikilize kesi hiyo na Mahakama ikakiri kuwa mapingamizi ya Chadema ni ya kweli ila kwa kuwa walikuwa wanapokea maagizo toka juu wakashindwa kuifuta kesi Ile ya kijinga.
 
Je?
Ni kwa sababu Chadema watalazimika kuthibitisha Uharamu wa Nyaraka zilizopelekwa NEC na Bungeni?

Je?
Ni kwa sababu kuna ukweli kwamba kulikuwa na baraka za uongozi wa ngazi za juu nyuma ya kupelekwa majina hayo na uteuzi wake?

Je?
Ni kuinusuru Chadema isiumbuliwe na kina Mdee kwa sababu ya kuyajua mengi ambayo wasingependa yaanikwe hadharani?

Au!
Mbowe anaogopa Uhuni wa Mdee?

Kama wamekwisha fukuzwa uanachama kupitia kikao cha kamati kuu ya Halmashauri ya Chadema.

Kama kiongozi mwandamizi na msemaji wa Chadema Ndugu Mrema alitamkia Dunia kupitia mahojiano na Mtangazaji wa DW-KISWAHILI na kusema...
"Chadema wamemaliza kazi yao"

Inakuwaje Chadema na uongozi wao woote mmehamishia nguvu kwenye kuzuia kesi yao kusikilizwa mahakamani?

Kwa nini Chadema msiandae ushahidi na kusubiri kesi ianze kuunguruma kama inavyopaswa.
Badala ya kuhangaika kuweka pingamizi ili kesi hiyo isiendelee.

Mpaka MBOWE anaamua kuunda ujumbe mzito ili kumshawishi Mh Raisi wa JMT aingilie mhimili wa Bunge na Mahakama kinyume na sheria?

Je?
Bado Chadema mnaona mnafaa kuitwa chama cha demokrasia?

Wale wafuasi wenye Matusi badala ya hoja....

Jitahidini mje na Majibu badala ya Matusi.

Vinginevyo mtakuwa mnaendeleza Uhuni,maana mwenyekiti amewakataza Matusi.
Mmenisikia...

Ahsanteni....
Punguza Bange au acha kabisa....una Ugonjwa wa Akili.....

Utachanganyikiwa na kuwa chizi mambo haya makubwa kwako....
 
Honestly, ndugu voicer mimi sijakuelewa. Sijui unahoji usichokielewa kweli au umeamua kujitoa ufahamu ili ignorantly ufanye blind propaganda (spinning)... Anyway. Hebu twende hoja moja baada ya nyingine;

Si wameshasema kuwa hawajawahi kupeleka jina lolote kwa kutumia nyaraka yoyote? Watakaopaswa kuthibitisha uhalali wa ubunge wa hawa kinamama ni NEC na Bunge. Hata hiyo "temporary injuction" ya uhalali wa ubunge wao hadi 13/6/2022 hawajapewa CHADEMA. Amepewa Dr Tulia na Bunge lake...

Huu ni uthibitisho namba moja kuwa, CHADEMA hawana tatizo na hawa kinamama. Wao wamemaliza kazi yao kwa mujibu wa taratibu za chama/taasisi yao..!

Walipaswa wao wenyewe hao kinamama 19 waliopewa baraka hizo waseme na kuthibitisha ukweli huu mbele ya vikao halali vya kikatiba vya chama/taasisi yao yaani CC na Baraza Kuu vilivyoamua kuwa hawafai tena kuwa wanachama wa CHADEMA. Hawakufanya wala kusema lolote kujitetea..!

Kuumbuana kulipaswa kufanyike ndani ya vikao halali vya chama sio nje ya hapo. Hawakufanya hivyo. Maana yake hawana lolote la kuiumbua CHADEMA..!

Wamekutana face to face kwenye CC na BK lakini, Halima na wenzake hawajawahi ku reveal uhuni wowote. Mahakamani wameenda kujiegemeza ili ubunge wao uendelee labda mpaka hiyo 2025. Sijui kama watatibiwa...!

Two facts zishuke;

1. It's true, CHADEMA haina ushirika na hao wanawake 19 tena. Imewafuta uanachama..!

2. Si wao ndio wameshitaki mahakamani? CHADEMA si ni mmoja wa washitakiwa? Sasa mantiki ya hoja yako kuwa CHADEMA imehamishia nguvu mahakamani ili kuzuia kesi ya hawa kina mama inatoka wapi? Unaijenga ktk msingi upi? Au hujui unaandika nini?


Wamekuambia hawaandai? Ni moja ya washitakiwa huko mahakamani. So, it's obviously, wanaandaa majibu na ushahidi wao kulingana na hoja za mdai (Halima Mdee)

By the way, umeiona hati ya mashitaka/madai ya Halima Mdee?

Utacheka!

Ni ubabaishaji mtupu. Ni kuhaha kwa kwenda mbele..!


Unadanganya. Unajichanganya mno. Kwa kifupi wewe ni MWONGO na umetekwa na UKADA WA CCM na kuacha ufahamu kwenye kiuno chako. Aidha, wewe huna "basic facts" za sakata hili ndiyo maana unajichangaya

"Intetion" ya vikao vya maridhiano kati ya serikali/CCM na CHADEMA ilikuwepo hata kabla hawa hawajafungua kesi mahakamani. Ilikuwepo tangu uhai wa mwasisi wa matatizo haya mwendazake Magufuli hajafa mwaka jana 2021..

Kwa hiyo, vikao vinavyoendelea havijasababishwa na sakata hili bali ni matokeo ya mfumo mbaya wa utawala, katiba na sheria uliozaa matatizo...

Kama linajadiliwa, basi it's just by the way na ofcoz limechochea zaidi umuhimu wa kuwepo vikao vya majadiliano na maridhiano kama hivyo...!!


Hili swali umeuliza na unapaswa ujijibu mwenyewe..!!

Umejibiwa kikamilifu. Hakuna matusi hapo. Ila kama kuna sehemu nimekuita mjinga ama mpumbavu, basi haiwezi kuwa matusi hayo, bali ni ukweli wa sifa na tabia yako..!

Au unaweza KUJIKANA mwenyewe? Unaweza kuikana tabia yako..?
Nakushukuru kwa kujitahidi kunijibu vizuri sana.

Ila bahati mbaya ni kwamba majibu yote ndani ya hoja zako...

Bado hayajakidhi ukweli kwamba....

Chadema na uongozi wote wa ngazi ya juu.
Unahangaika sana kuizuia kesi ya Halima Mdee na wenzake.

Kwa sababu,wale mawakili wa chadema kule mahakamani,wanacho kifanya sio kujibu hoja za wadai Halima & Company dhidi ya wadaiwa Chadema.

Wamekwenda pale kuomba mahakama isikubali kusikilizwa kwa kwa kesi ile huku wakiambatanisha vifungu vitano vya kisheria wanavyodai vimekiukwa na wadai na hivyo kupoteza uhalali wa shauri lile.

Kama ingekuwa vinginevyo na chadema imeachana nao.

Isingetuma kina Mallya kwenda kushinda mahakamani wakiwavizia kina Halima wasiweze kufungua kesi hiyo.

Chadema walipaswa kusubiri kesi ifunguliwe halafu wao wapeleke vidhibiti mahakamani na kuithibitishia Dunia,Uharamu wa Ubunge wa kina Halima Mdee.

Ingetumia pia nafasi hiyo kuiumbua Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Bunge,kwa kushiriki jinai ya kughushi Nyaraka haramu za Chadema.

Kitendo cha Mbowe na ujumbe wake kuliongelea tena mbele ya Raisi Chamwino.
Suala la wanachama waliokwisha fukuzwa na wao wenyewe.

Ni ushahidi kwamba bado mnahangaika nao mpaka sasa.

Swali kubwa la pili ni kwa nini mnaongelea kwa Rais suala ambalo tayari liko mbele ya mhimili mwingine wa utawala kwa muda huu?

Issue ya kusema

"lilikuwepo kwenye agenda kabla."

Ni jibu la kuchenga ukweli kwa sababu Mbowe na ujumbe wake ni binadamu na sio Robot.

Je?
kwa nini wasingeacha kuliongelea na kuongelea hoja zingine?

Msitumie ufinyu wa Tafakuri kwa wafuasi wenu kutenda tofauti na mnavyowaaminisha.
 
Ushahidi zaidi uwekwe kwenye kile kikao cha nairobi.

Nani alimpa tiketi mdee za kwenda Nairobi.

Walikutana hoteli gani??

Chairman alikua anapiga sound za aina gani??

We need evidence.
 
voicer,

..ungeuliza pia kwanini kina Halima wamekimbilia mahakamani wakati inajulikana kuwa hawakuteuliwa na chama chao kwenda bungeni?

..wanajiamini nini?

..wameahidiwa nini huko mahakamani?

..Je, wamekwenda mahakamani kutafuta ZUIO / UCHELEWESHAJI wakae bungeni mpaka 2025?


Cc Nguruvi3, Petro E. Mselewa , Kalamu1
Na akina Mbowe na timu yake ya "Maridhiano" kama kweli wameweka jambo hilo kwenye orodha yao ya majadiliano, wataambiwa "kesi iko mahakamani", jambo hilo haliwezi kujadiliwa!

Nionavyo mimi, hili la akina Halima lisiwasumbue tena CHADEMA, kwa sababu wao wamekwishamaliza kazi yao juu ya jambo hilo.

Kilichobaki, labda iwe ni kuwakumbushia tu wananchi, kama mfano mmojawapo kati ya mambo mengine asiyoweza kuaminiwa juu yake Samia na timu yake wakati wa mazungumzo ya "maridhiano" yakiendelea.
 
Ushahidi zaidi uwekwe kwenye kile kikao cha nairobi.

Nani alimpa tiketi mdee za kwenda Nairobi.

Walikutana hoteli gani??

Chairman alikua anapiga sound za aina gani??

We need evidence.
Umelenga Pazito mkuu!
 
Back
Top Bottom