voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Je?
Ni kwa sababu Chadema watalazimika kuthibitisha Uharamu wa Nyaraka zilizopelekwa NEC na Bungeni?
Je?
Ni kwa sababu kuna ukweli kwamba kulikuwa na baraka za uongozi wa ngazi za juu nyuma ya kupelekwa majina hayo na uteuzi wake?
Je?
Ni kuinusuru Chadema isiumbuliwe na kina Mdee kwa sababu ya kuyajua mengi ambayo wasingependa yaanikwe hadharani?
Au!
Mbowe anaogopa Uhuni wa Mdee?
Kama wamekwisha fukuzwa uanachama kupitia kikao cha kamati kuu ya Halmashauri ya Chadema.
Kama kiongozi mwandamizi na msemaji wa Chadema Ndugu Mrema alitamkia Dunia kupitia mahojiano na Mtangazaji wa DW-KISWAHILI na kusema...
"Chadema wamemaliza kazi yao"
Inakuwaje Chadema na uongozi wao woote mmehamishia nguvu kwenye kuzuia kesi yao kusikilizwa mahakamani?
Kwa nini Chadema msiandae ushahidi na kusubiri kesi ianze kuunguruma kama inavyopaswa.
Badala ya kuhangaika kuweka pingamizi ili kesi hiyo isiendelee.
Mpaka MBOWE anaamua kuunda ujumbe mzito ili kumshawishi Mh Raisi wa JMT aingilie mhimili wa Bunge na Mahakama kinyume na sheria?
Je?
Bado Chadema mnaona mnafaa kuitwa chama cha demokrasia?
Wale wafuasi wenye Matusi badala ya hoja....
Jitahidini mje na Majibu badala ya Matusi.
Vinginevyo mtakuwa mnaendeleza Uhuni,maana mwenyekiti amewakataza Matusi.
Mmenisikia...
Ahsanteni....
Ni kwa sababu Chadema watalazimika kuthibitisha Uharamu wa Nyaraka zilizopelekwa NEC na Bungeni?
Je?
Ni kwa sababu kuna ukweli kwamba kulikuwa na baraka za uongozi wa ngazi za juu nyuma ya kupelekwa majina hayo na uteuzi wake?
Je?
Ni kuinusuru Chadema isiumbuliwe na kina Mdee kwa sababu ya kuyajua mengi ambayo wasingependa yaanikwe hadharani?
Au!
Mbowe anaogopa Uhuni wa Mdee?
Kama wamekwisha fukuzwa uanachama kupitia kikao cha kamati kuu ya Halmashauri ya Chadema.
Kama kiongozi mwandamizi na msemaji wa Chadema Ndugu Mrema alitamkia Dunia kupitia mahojiano na Mtangazaji wa DW-KISWAHILI na kusema...
"Chadema wamemaliza kazi yao"
Inakuwaje Chadema na uongozi wao woote mmehamishia nguvu kwenye kuzuia kesi yao kusikilizwa mahakamani?
Kwa nini Chadema msiandae ushahidi na kusubiri kesi ianze kuunguruma kama inavyopaswa.
Badala ya kuhangaika kuweka pingamizi ili kesi hiyo isiendelee.
Mpaka MBOWE anaamua kuunda ujumbe mzito ili kumshawishi Mh Raisi wa JMT aingilie mhimili wa Bunge na Mahakama kinyume na sheria?
Je?
Bado Chadema mnaona mnafaa kuitwa chama cha demokrasia?
Wale wafuasi wenye Matusi badala ya hoja....
Jitahidini mje na Majibu badala ya Matusi.
Vinginevyo mtakuwa mnaendeleza Uhuni,maana mwenyekiti amewakataza Matusi.
Mmenisikia...
Ahsanteni....