Kwanini Mbeya waweze Mwanza mshindwe?

Kwanini Mbeya waweze Mwanza mshindwe?

Kwan hujawah sikia neno KUBWA JINGA au DOGO JANJA?

Basi ndio tofaut ilivyo kati ya mwanza na mbeya respectivelly .

Anyways, mbeya kuna watu wenye akil halaf wajanja kibiashara ukitoa Dar.full busy full time.

Na hii ndio sifa ya miji yenye border za kutosha. Mwanza jiji kubwa lakin limeanza juz tu kuchangamka.Mwingiliano baina ya watu wa jamii tofauti kibiashara bado ni mcha nga ucant compare na mbeya
 
Kwan hujawah sikia neno KUBWA JINGA au DOGO JANJA?

Basi ndio tofaut ilivyo kati ya mwanza na mbeya respectivelly .

Anyways, mbeya kuna watu wenye akil halaf wajanja kibiashara ukitoa Dar.full busy full time.
Na hii ndio sifa ya miji yenye border za kutosha.
Mwanza jiji kubwa lakin limeanza juz tu kuchangamka.Mwingiliano baina ya watu wa jamii tofauti kibiashara bado ni mcha nga ucant compare na mbeya
Kwakweli sijapenda kabisa....kwamba??
 
Kwan hujawah sikia neno KUBWA JINGA au DOGO JANJA?

Basi ndio tofaut ilivyo kati ya mwanza na mbeya respectivelly .

Anyways, mbeya kuna watu wenye akil halaf wajanja kibiashara ukitoa Dar.full busy full time.
Na hii ndio sifa ya miji yenye border za kutosha.
Mwanza jiji kubwa lakin limeanza juz tu kuchangamka.Mwingiliano baina ya watu wa jamii tofauti kibiashara bado ni mcha nga ucant compare na mbeya
Kwamba Mbeya imechangamka kushinda Mwanza kibiashara na ina mwingiliano zaidi wa watu! Labda umebase upande wa biashara ya mazao.Tofauti na hapo unafurahisha genge tu!
 
Kwamba Mbeya imechangamka kushinda Mwanza kibiashara na ina mwingiliano zaidi wa watu! Labda umebase upande wa biashara ya mazao.Tofauti na hapo unafurahisha genge tu!
Haya.
Take it..or...leave it!!
Choice is urs.Hujashikiwa panga ukubali hilo
 
Kwa kuanza na Coaster ni hasara, bora Hiace na ziwe hizi new model Hiace Quantum. Ukiweka siti 15 na nauli ikawa 50,000 kidogo unaweza ukahimili.

Na gari iwe na injini ya Diesel upate Hiace yenye 1KD au 1GD hapo kwa Dar-Mwanza itafanya vizuri na tajiri asibanie Service.
50,000×15= 750,000/-
Mkuu naomba unipe mchanganuo wa mafuta, service, posho ya dereva pamoja na dharura za njiani ili nione kwa umbali huo nitaingiza kiasi gani.
Vipi kwa engine ya 2kd inaweza kustahamili kwa hizo safari?
 
50,000×15= 750,000/-
Mkuu naomba unipe mchanganuo wa mafuta, service, posho ya dereva pamoja na dharura za njiani ili nione kwa umbali huo nitaingiza kiasi gani.
Vipi kwa engine ya 2kd inaweza kustahamili kwa hizo safari?
2kd inaweza bila matata.
Umbali wa Dar-Mwanza ni kama km 1150.
2kd lita 1 itatumia kwa 12km.
1150÷12= 96 mafuta tuweke Lita 100 ambayo ni 100×1600=160,000

750,000-160,000=590,000
50,000 emergency njiani inabaki 540,000

40,000 itatumika kwa watu wa kupakia abiria. Inabaki 500,000 posho ya dereva 100,000/=.

Tajiri unaletewa shilingi 400,000, kwa usalama wa gari ikifika mwanza au dar walau weka 50,000 ya check up wewe ubakiwe na 350,000.

Dereva mlipe vizuri, msikilize na gari ifungie Gps, service za kutosha usibanie.
Dereva anachukua hela la mizigo na parcel wewe muachie siku hesabu ikiwa ngumu anajazia mambo yakiwa vizuri hiyo yake.
 
Back
Top Bottom