Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
- Thread starter
- #21
Mkuu
Mkuu mie naona abiria wengi tu .esp mwanza to darMkuu kwenda Mwanza unapita mikoa mingi na kupata abiria wa moja kwa moja inakuwa mtihani.
Unatoka Dar unajikuta una abiria wa Dodoma,Singida,Tabora na Shinyanga usiku usiweke tegemeo kubwa la kupakia abiria njiani.
Huo mwezi mmoja unaosema mtu atake risk, mfano uweke Hiace/Coaster kwa route hiyo yenye 1150km huyo mtu anatakiwa aweke mafuta,service za oil na transmission fluid, tyre na kulipa dereva.
Safari hizo zina faida ila jua gari yako inakuwa kwenye risk kubwa.
Ili biashara iende vizuri inabidi utangaze na uwapange vizuri wapiga debe pale Rombo,Mbezi Mwisho,Chalinze na Msamvu stendi ya Dumila.