Spirit
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 457
- 383
HahahaaaSpirit chonde chonde., utanitaka radhi muda c mrefu[emoji16] [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaSpirit chonde chonde., utanitaka radhi muda c mrefu[emoji16] [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mkuu ndio starehe tunayoshare na matajiri hamna namna
We unapenda nini?? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Rais Magufuli alisema fyatueni watoto yeye atasomesha bure au umesahau??Habari zenu wanajukwaa,
Moja kwa moja niende kwenye mada husika,
Nimekaa nikilifikiria sana jambo hili na nimekosa majibu sahihi ya hili swala na kuamua niwashilikishe na ninyi huenda mnajua zaidi yangu.
Katika utafiti wangu mdogo nilibaini mambo yafuatayo;
(1)Masikini wa kipato ndo wenye familia kubwa ukilinganisha na wenye uwezo.
(2)Asilimia kubwa ya wasiokuwa na kipato au kazi ndo huwaza ngono 24 hrs. Unakuta mtu hana A wala B ila kutwa yuko nyuma ya sketi.
Je nini husababisha hali hii?
Elimu za bure ni janga tupuRais Magufuli alisema fyatueni watoto yeye atasomesha bure au umesahau??
Ukimpata Yesu umepata vyote. Umasikini hautokuwa pamoja naweEti kisa maskini hana pesa za kuenjoy kwenye ma casino na ma swimming pool beach kwa hiyo hasira zote anazimalizia kweny sex wapi maskini wenzangu View attachment 1261065