kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,861
- 3,097
Ili uibe zakaLabda ukiwa mchungaji.
Ili uibe zakaLabda ukiwa mchungaji.
Mapenzi bila pesa ukitia mimba jeKazi huna,pesa huna,hata mapenzi yakushinde kujiliwaza.
Mimba hainaga masikini wala tajiri ikishawekwa maisha yataendelea tu ila hawa masikini nao wanaendekeza sana naniliu.Mapenzi bila pesa ukitia mimba je
Ukiwa hauna hela halafu una mke lazima mnyanduaneMimba hainaga masikini wala tajiri ikishawekwa maisha yataendelea tu ila hawa masikini nao wanaendekeza sana naniliu.
LIESHabari zenu wanajukwaa,
Moja kwa moja niende kwenye mada husika,
Nimekaa nikilifikiria sana jambo hili na nimekosa majibu sahihi ya hili swala na kuamua niwashilikishe na ninyi huenda mnajua zaidi yangu.
Katika utafiti wangu mdogo nilibaini mambo yafuatayo;
(1)Masikini wa kipato ndo wenye familia kubwa ukilinganisha na wenye uwezo.
(2)Asilimia kubwa ya wasiokuwa na kipato au kazi ndo huwaza ngono 24 hrs. Unakuta mtu hana A wala B ila kutwa yuko nyuma ya sketi.
Je nini husababisha hali hii?
Aliyekudanganya nani, hao matajiri wake zao kutwa wanafukuliwa na vimarioo mjini, hao matajiri wenyewe kutwa kula bata na wasichana wadogo. Zinaa haina tajiri wala masikini ni kaudhaifu kwa makundi yote mawili hayo. Sema matajiri mambo yao yanakuwa kwa siri zaid kuliko maskini mambo hadharan hata kwenye jumba bovu mnasimamisha shoo.
Mapenzi bila pesa ukitia mimba je
Kwahiyo kufukiria sana hiyo topic ukajiona bonge la 'great thinker' etiHabari zenu wanajukwaa,
Moja kwa moja niende kwenye mada husika,
Nimekaa nikilifikiria sana jambo hili na nimekosa majibu sahihi ya hili swala na kuamua niwashilikishe na ninyi huenda mnajua zaidi yangu.
Katika utafiti wangu mdogo nilibaini mambo yafuatayo;
(1)Masikini wa kipato ndo wenye familia kubwa ukilinganisha na wenye uwezo.
(2)Asilimia kubwa ya wasiokuwa na kipato au kazi ndo huwaza ngono 24 hrs. Unakuta mtu hana A wala B ila kutwa yuko nyuma ya sketi.
Je nini husababisha hali hii?