Kwanini masikini ndo wanaopendelea ngono zaidi?

Kwanini masikini ndo wanaopendelea ngono zaidi?

Mtu asikudanganye hamna starehe tamu kama kugegedana!! Hupunguza machungu ya umaskini!!
 
Ninachojua mimi,ukifanya kazi ngumu misuri usiku husimama vizuri,sasa kama ndio hajui uzazi wa mipango watazaliana tu.
Matajiri wengi misuri yao imelala,ndoa ni kama kutunza heshima kua yupo ndani ya ndoa.
 
Sababu kubwa ni kuwa na muda wa kutosha kutokana na kuwa na kutokuwa na majukumu mengi, na pia ndio starehe pekee wanayoimudu. Nyongeza yaka utakuta wanawake maskini na ambao hawakusoma ndio wanaoongoza kwa kuwa na shepu nzuri na hao ndio wanafaidiwa kuolewa na kuliwa na wanaume mafukara kwa vile wanaume wasomi na wenye pesa wanapenda kuoa wanawake smart kichwani na wenye hali nzuri kipesa. Ndio maana wanaume wenye pesa waliooa wanaendelea kutoka nje ya ndoa zao wakitembea na wale wenye mishepu yao lakini kichwani hamna kitu.
 
Shule za bure zipo. Wacha tuzaliane

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
 
Sijui kama kwenye utafiti wako ulihusisha taasisi za utafiti.
Tuanze na suala la kuwa na familia kubwa:
Unafahamu ni shilingi ngapi kushughulika
na mambo ya uzazi wa mpango ambao ni salama?
Nikutaarifu kuwa kipato hapa kinahusika.
(kama hutamlipa daktari basi utalipa nauli
kwenda kituo cha afya kupata ushauri wa bure).

Hilo la pili ni sehemu ya Dharau kwa masikini, sababu maskini
hana mtetezi hivyo kila takataka anatupiwa yeye,
Ukweli ni kwamba matajiri wanaongoza kwa ufusika
hawaonwi mara kwa mara maana wanatumia
mahotel ya nyota tano na hufanya hivyo kwa siri
Hapa watu wenye angalau visenti na kijigari
watanielewa,unapokuwa huna kitu akili
ya kupata mchepuko haipandi.Subiri upate vihela
kidogo ndo unaitambua tabia yako halisi.
Sawa mtetezi wa wanyonge tumekusikia
 
Ukilinganisha matajili na masikini mwenye nguvu zaidi ni masikini na anauwezo wa kumilidhisha mkewe kW kila jambo kuanzia chumbani had I kwenye mavazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Vipaumbele vya matajiri na maskini vinatafautiana.

2.ni kuwa na muda mwingi wa surplue,ukiwa bize na harakati za hela unaweza jikuta hujala siku nzima na husikii njaa,siku unayokuwa free unakuta umechoka balaa.sasa ukiwa huna mishe kichwa kimetulia lazima uwaze viburudisho.
 
Kama uko busy na miradi yako kila wakati unafikiria shilingi, sex inakua ziada tena ukipata nafasi. Masikini hana miradi ya kipato hivyo sex kwake ni issue. Hivyo watoto huongezeka badala ya kipato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wanajukwaa,

Moja kwa moja niende kwenye mada husika,

Nimekaa nikilifikiria sana jambo hili na nimekosa majibu sahihi ya hili swala na kuamua niwashilikishe na ninyi huenda mnajua zaidi yangu.

Katika utafiti wangu mdogo nilibaini mambo yafuatayo;
(1)Masikini wa kipato ndo wenye familia kubwa ukilinganisha na wenye uwezo.
(2)Asilimia kubwa ya wasiokuwa na kipato au kazi ndo huwaza ngono 24 hrs. Unakuta mtu hana A wala B ila kutwa yuko nyuma ya sketi.

Je nini husababisha hali hii?
Pia ndio wanaipenda Chama Cha Makinikia

In God we trust
 
Ela sina biashara sina kazi haieleweki burudani pekee ni kwich kwich
 
Inasemekana kadri mtu unavyozidi kuwa mjinga (uelewa mdogo) ndio unavyozidi kuwa fertile zaidi
 
Isee bora nibaki na umaskini wangu niendelee kufaidi, maana hata ukiwa tajiri mkeo anapigwa na maskini tu

Private geologist
 
Back
Top Bottom