Muwe mnauliza kwanza, hivi Jesca ana watoto wa kuzaa yeye saba?Kamati ya utaratibu wa mazishi mko wapi?
Mnamchosha mama Janet hali yake sio nzuri, ana majonzi sana kwanini asingeachwa apumzike nyumbani au atangulie Chato kusubiri msiba?
Situation anayopitia mama Janet sasahivi ni ngumu sana, anahitaji muda mwingi wa faraja na kumpumzika.
Sijapenda kabisa
Kwahiyo atazunguka safari zote hizo za kuagwa au? Mtampa maumivu zaidi na mnamchosha.
Naunga mkono hii hoja.Huyu mama anateswa na kuchoshwa kila wakati kumpitisha kwenye jeneza la mme wake amuage
Mlianza Dar ,na leo Dodoma,sitegemei kama mtampeleka kuaga Zanzibar na Mwanza...
Muda utaongea mkuuWatanzania tunapotea huku tunapoeleka ni kubaya sana