Kwanini Makamu wa Rais hasemi "Bwana Asifiwe"?

Asalamu alaykum ni salamu na maamkizi kwa maana ni amani iwe juu yenu, haijalishi anayesalimiwa ni muislamu au siyo, lakini tumsifu Yesu Kristo au Bwana Yesu asifiwe siyo maamkizi kwani hata Yesu mwenyewe aliwafundisha wanafunzi wake waseme amani iwe kwenu Mat. 10:12 na Yesu mwenyewe alisema amani iwe kwenu John 20:19-21. Hivyo kuombeana amani kwa anayetaka amani ndiyo salamu na maamkizi bora hususan kwenye jamii ya watu wa imani tofauti.
Hapo ndo waislamu mnafeli kujitetea, kama maana yake ni Amani iwe nanyi, kwa nini asiongee kiswahili hadi aongee kiarabu. Je, wote watanzania wanajua kiarabu?
Sijasema kwa maana ya hoja iliyopo. Ilo ni Tatizo kubwa kwa Waislamu, waislamu wengi unakutana nao utasikia Asalaam Alaykum, bila kujali huyu mtu anajua kiarabu au hajui.
Tumieni lugha kulingana na mazingira, linaweza likawa neno la kawaida ila kwa vile halipo kwenye lugha inayoeleweka kwa wengi katika jamii ya kitanzania inaleta mkanganyiko.
Mfano ukitumia lugha ya kiswahili ukawakuta watu, ukasema Amani iwe nanyi, hapo awe wa dini yoyote hadi mpangani ataitikia vizuri bila kua na maswali maswali.
Tutumie lugha kulingana na mazingira
 
Hapo ndo waislamu mnafeli kujitetea, kama maana yake ni Amani iwe nanyi, kwa nini asiongee kiswahili hadi aongee kiarabu. Je, wote watanzania wanajua kiarabu?
Sijasema kwa maana ya hoja iliyopo. Ilo ni Tatizo kubwa kwa Waislamu, waislamu wengi unakutana nao utasikia Asalaam Alaykum, bila kujali huyu mtu anajua kiarabu au hajui.
Tumieni lugha kulingana na mazingira, linaweza likawa neno la kawaida ila kwa vile halipo kwenye lugha inayoeleweka kwa wengi katika jamii ya kitanzania inaleta mkanganyiko.
Mfano ukitumia lugha ya kiswahili ukawakuta watu, ukasema Amani iwe nanyi, hapo awe wa dini yoyote hadi mpangani ataitikia vizuri bila kua na maswali maswali.
Tutumie lugha kulingana na mazingira
Sasa mtoa salamu hatajuaje Kama wote wanajua Kiswahili if that the case
 
Your reply has just summed up all my assumptions of you. You might be 'holding' a master's degree but be entirely shallow minded, as you are.
If at all the gauge of your qualifications is projected by what you write here always, then clearly you are of no difference with a Standard 7 drop out.
Daah hapa umeua mkuu
 
Sio mnafiki na anaheshimu kiukweli dini za wengine, kwa kutoa salamu za kikebehi na zisikuwa za dhati.

Ni vizuri salamu kwenye siasa za hadhara zingekuwa za kawaida na sio kidini.

Kama, HABARI ZA LEO, HAMJAMBO, SALAMA NK.....
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Mlikua mnabagua wapinzani sasa mnabaguana wenyewe kwa wenyewe kwa misingi ya kidini
Baraza la mawaziri waislamu watatu tu mkiwamaliza mtaanza kubaguana ki ukatoliki na ulutheran baadae ukabila keep going
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Kwani wewe hujui sababu?Yuko honest,anajua impact ya kulitamka Jina kubwa kama hilo bila kumaanisha anachosema
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Lakini pia wewe unataka kutuingiza kwenye mjadala wa kidini hapa.mjadala ambao hauwezi kuwa na maana yoyote kwa jukwaa kama hili
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Ni Mdini kama Waislam wengine tu walivyo na pia hana undugu na asiye muislam, hivyo ndivyo Dini yao inavyowataka

Hapo anawatakia waislam tu amani, wengine mtajua wenyewe.
 
Inajenga picha kwamba sio mnafiq.

Huyo mama kwanza sio muongo muongo maana kama mnakumbuka alivyosema kipindi kile cha kampeni kwamba hata mkimpgia kura mgombea mwingine lakini wa CCM ndio atakayeshinda. Kwani aliongopa?
Hakuna Mwana CCM asiye MNAFIKI.
 
Huyu ana akili.
Ana akili sana huyu mama. Ni unafiki mkubwa kwa muislamu kusema "bwana yesu asifiwe". Na mkristu kusema Asalam aleykum.
Yaani huwa wanasema tu kuifuraisha jamii kinafiki wakati hawamaanishi chochote. Ituike salamu ya kawaida ambayo haina udini wowote.
 
..ni salamu ya Waislamu.

..utaratibu mzuri ni kuachana na salamu zinazotumiwa na madhehebu ya dini.

..salamu za Kidini ni utaratibu ulionza awamu ya 4 na umeshika kasi na kuota mizizi ktk awamu ya 5.
Amani iwe nawe/nanyi ni kiislamu?
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?


Sio makamu wa Rais tu,

Hata naibu waziri wa mambo ya ndani ambaye ni mzanzibar huwa hasemagi salamu za wakristo!
 
Muislamu hajawahi kuwa mnafiki kuhusu imani yake, atatenda dhambi yoyote lakini lakini atapigania la Mungu wake, nà muislamu akiamini ameamini kweli kweli. Ndio maana waislamu hupigania kuwa na maeneo ya kufanyia ibada kila mahali, vyuoni, viwanja vya ndege, na hospitali na ibada zao zinafanana.
Wakristo kwa asiri ni wanafiki, baada ya mitume kufa wamejiundia makampuni ya kidini(madhehebu), wanawaza kupiga ela, hawana ibada moja hawaelewani. Wachungaji wenyewe wanahuburi wasichokiamini. Kwa ufupi mkristo hayuko tayari kupigania jina la Mungu wake, ndiyo maana yuko tayari kutaja jina Mungu yeyote bila kujali.
In short ili uwe mkristo mzuri lazima uwe mnafiki kwa jina la Mungu wako na kwa Mungu wako mwenyewe.
Wewe hujui migogoro ilivyo mikubwa kwa Waislam wa nchi hii na duniani kwa ujumla. Kuna madhehebu 21 yanayokinzana kuliko unavyofikiri.

Unaijua hata BAKWATA vs BALUKTA? unafikiri kwanini Waislam wa nchi hii Answar Sunni wanagombana na wa BAKWATA,?
 
Back
Top Bottom