Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,531
- 18,727
Walahi nimecheka [emoji23]
Waislam nawakubali kwenye mazishi na ndoa, no wastage of time ....
Waislam nawakubali kwenye mazishi na ndoa, no wastage of time ....
Dah ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa,Leo hii ccm wameanza kukosoana wenyewe kwa wenyewe?, kweli karma is a bitch.Wakuu, heshima kwenu!
Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk
Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.
Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.
Hii inajenga picha gani, wakuu?
Wewe ndiyo mbaguziMbaguzi hana lolote
Amani iwe nawe/nanyi ni kiislamu?
😁Muislamu hajawahi kuwa mnafiki kuhusu imani yake, atatenda dhambi yoyote lakini lakini atapigania la Mungu wake, nà muislamu akiamini ameamini kweli kweli. Ndio maana waislamu hupigania kuwa na maeneo ya kufanyia ibada kila mahali, vyuoni, viwanja vya ndege, na hospitali na ibada zao zinafanana.
Wakristo kwa asiri ni wanafiki, baada ya mitume kufa wamejiundia makampuni ya kidini(madhehebu), wanawaza kupiga ela, hawana ibada moja hawaelewani. Wachungaji wenyewe wanahuburi wasichokiamini. Kwa ufupi mkristo hayuko tayari kupigania jina la Mungu wake, ndiyo maana yuko tayari kutaja jina Mungu yeyote bila kujali.
In short ili uwe mkristo mzuri lazima uwe mnafiki kwa jina la Mungu wako na kwa Mungu wako mwenyewe.
jina la Yesu ni balaaa ukilitaja vibaya unaungua sasa kwanini apate hayo matesoWakuu, heshima kwenu!
Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk
Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.
Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.
Hii inajenga picha gani, wakuu?
Hapa ni kuwahi beche tu.ndoa, no wastage of time ....
Hao wengine ni wanafiqWakuu, heshima kwenu!
Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk
Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.
Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.
Hii inajenga picha gani, wakuu?
Master degree in music and dancing [emoji33][emoji28][emoji32][emoji4][emoji851][emoji1787][emoji7][emoji23][emoji106][emoji33][emoji33][emoji33][emoji32][emoji16][emoji16][emoji16][emoji41][emoji1787][emoji7][emoji23]Mind you, I hold a Masters degree
Epuka mikusanyiko, vaa barakoa, Nawa mikono kwa maji tiririka.Wakuu, heshima kwenu!
Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk
Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.
Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.
Hii inajenga picha gani, wakuu?
Jaribu kuelewa mada.Kwani akisema wewe unapata faida gani..na asiposema unapungukiwa Nini...then...mind your business
.
Salaam =amaniSARAMAREKO