luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,375
- 6,984
I wish iyo miaka 4 ikatike fasta
Kwanza huwa ni Makosa kwa Taifa ambalo sio la dini kuanza na salamu za kidni-hii ni unprofessional kabisa
Huyu ana akili.
Tafuta hotuba za hayati Mzee Mkapa, utagundua na yeye akishasema Assalam aleykum alikuwa hasema Bwana Yesu asifiwe wala tumsifu Yesu Kristo
Ni afadhali usisalimie kwa itikadi yoyote ya dinii, ilikutoa viulizo kama hivyo. Ila ukiwa kiongozi wa uma we we ni wawatanzania wote, hivyo jifunze tamaduni zao za heshima za kusaliimiana.Sasa kama imani ni tofaut alafu ukataka kujifanya huzitofautishi c ni unafiq?
UNAJUA KWA NINI JINA LA YESU LINAOGOPWA??..umeleta mfano mzuri sana.
..kwamba Mkapa alikuwa akitumia salamu ya Waislamu.
..kwa msingi huo, Mama Samia Suluhu naye anatakiwa atumie salamu ya Wakristo.
NB:
..binafsi nawaunga mkono Tundu Lissu, na Palamagamba Kabudi, na wengine, ambao hawana mazoea ya kusalimia "bwana yesu asifiwe" au "asaramareko."
Kwani "Asalaam Aleykum" ni salamu ya kiislamu?
..Ndio.UNAJUA KWA NINI JINA LA YESU LINAOGOPWA??
Kwanini atusalimu kiarabu! Yeye mwarabu, au sisi tunaosalimiwa ni waarabu?!Asalaam Aleykhum ni salaam ya kiarabu inayomaanisha " amani iwe nawe" na haina uhusiano na dini ya kiislamu.
Amandla...
Sio sababu. Hujui sifa ya jina la YESU. Hili jina lipitalo majina yote nikiboko ya kila aina ya dhambi kwakuwa nitakatifu. Hivyo halitajwi hovyohovyo...Ndio.
..kwasababu ktk baraza la mawaziri kuna Wakristo 20 na Waislamu 3.
Huna lolote wewe mpayukaji. Assalam al eykum ni neno la kiarabu likiwa na maana amani iwe nanyi. Huna lolote mganga njaa...ni salamu ya Waislamu.
..utaratibu mzuri ni kuachana na salamu zinazotumiwa na madhehebu ya dini.
..salamu za Kidini ni utaratibu ulionza awamu ya 4 na umeshika kasi na kuota mizizi ktk awamu ya 5.
Dei groliam, are you a missionary in Sudan?...kwa Sudan hata kanisani huwa tunasalimiana Asalam Aleykum na haina shida.
Huna lolote wewe mpayukaji. Assalam al eykum ni neno la kiarabu likiwa na maana amani iwe nanyi. Huna lolote mganga njaa.
Kusalimiana ni sehemu ya utamaduni wetu. Lakini kwa vile udini umetutawala basi maneno yoyote ya kiarabu tunayaona ya kiislamu. Mtu akisema "inshallah " tunamuona mdini lakini akisema " thank God" tunaona ni kawaida tu.Hakuna sheria inayomlazimisha asalimie kwa namna gani. By the way, does it matter kwenye ulimwengu wa siasa?
Mbona watu wanasalimiwa kwa kisukuma, kwa kihaa, kimakonde n.k. na hatuoni tatizo? Waarabu ni sehemu ya jamii yetu kama walivyo wasukuma, waha na wamakonde. Usiopopendezwa na hizo salamu usijibu.Kwanini atusalimu kiarabu! Yeye mwarabu, au sisi tunaosalimiwa ni waarabu?!
Mbona watu wanasalimiwa kwa kisukuma, kwa kihaa, kimakonde n.k. na hatuoni tatizo? Waarabu ni sehemu ya jamii yetu kama walivyo wasukuma, waha na wamakonde. Usiopopendezwa na hizo salamu usijibu.
Amandla....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Inajenga picha kwamba sio mnafiq.
Huyo mama kwanza sio muongo muongo maana kama mnakumbuka alivyosema kipindi kile cha kampeni kwamba hata mkimpgia kura mgombea mwingine lakini wa CCM ndio atakayeshinda. Kwani aliongopa?
Huku mtaani kwetu kuna jamaa enu kafa ijumaa.. na tumeambaiwa atazikwa J5 mbweni. Mm nimeamua kuendelea na mambo zangu mpk hiyo J5Waislam nawakubali kwenye mazishi na ndoa, no wastage of time ....