Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,301
- 37,051
Kweli inakua no usumbufu kabisaaMe hata home nakunywa vzr au lounge ndg ndg fresh naenjoy afu inakuwa no usumbufu
Kweli inakua no usumbufu kabisaaMe hata home nakunywa vzr au lounge ndg ndg fresh naenjoy afu inakuwa no usumbufu
Ndiyo ndiyo bruhKweli inakua no usumbufu kabisaa
Nimeanza kusinziaNdiyo ndiyo bruh
Usiku mwema 😂Nimeanza kusinzia
Badooo nipo nipo 🤣Usiku mwema 😂
Hahaha tuendelee kuwa machoBadooo nipo nipo 🤣
Simu Ina niponyoka Ina dondokaHahaha tuendelee kuwa macho
Angalia tu ile ajali ya ndege ,ndoto nyingi zimepotea ,yaani ujujua mwingi binadamu ila hajui hata sekunde moja mbele atakuwa wapi.Hakika huu ni ubatili Mkuu, anashukuru kwa kutokufa wakati lazima tu atakufa. Anavyoshukuru ni kama hatokuja kufa tena.
Kuna muda ukitafuta maana halisi ya haya maisha unagundua hata maana yenyewe haina maana kwasababu hiyo maana haitodumu kwamaana utakufa na kuiacha,so hakuna maana.
Lala mzee wanguSimu Ina niponyoka Ina dondoka
Ila mwisho wa yote utakufa tu,nini maana ya kuhangaika au kuhofia kifo ambacho hujui kitakukutia wapi na saa ngapi.Ili uchelewe kukufa
Yule mwanamke kisimani hajamuachia watoto kweli? Au Mariam Magdalena, usikute kuna ambayo tulifichwa.YESU alikuwa na mambo ya chini chini sana ila chakula chake kikuu ilikuwa samaki na mikate na divai mara moja moja. Yumkini ameacha mali nyibgi sana ambazo ndugu zake hawana taarifa nazo
Ila mwisho wa yote utakufa tu,nini maana ya kuhangaika au kuhofia kifo ambacho hujui kitakukutia wapi na saa ngapi.
Mwaka 2018 nilikua namuuguza jamaa yangu wa karibu,usiku mmoja alikuja mgonjwa yuko mahututi sana. Madaktari na wataalamu mbalimbali wa afya walijitahidi mpaka yule jamaa akawa sana kabisa mpaka inafika asubuhi.
Kuliookucha jamaa alikua fit kiasi ukilinganisha na hali aliyokua nayo,basi jamaa aliamka pale akaenda toilet,akanywa uji,n.k na kuanza kutupigisha story mle wodini. Zaidi alimshukuru sana Mungu kwa kumuepusha na umati kwasababu bado ana mipango mingi na tegemezi wengi sana.
Tulipiga story kama nusu saa hivi,jamaa akarudi zake kulala hapo kitanda. Na alipolala hakuamka tena ikawa ndio bye! bye! (R.I.P).
So unaona jinsi maisha yanavyopoteza maana.
Ni kweli maisha haya ni ubatili mtupu kwa mtu asiye na Kristo Yesu moyoni mwake. Wenye Yesu mioyoni mwao wana kitu kinachoitwa AHADI YA UZIMA WA SASA NA ULE UTAKAOFUNULIWA BAADAE.“Kwa nini maisha ni ubatili” ni la kina sana—ni swali ambalo watu wengi mashuhuri wa falsafa, dini, na roho wamejiuliza kwa maelfu ya miaka. Hapa kuna majibu kwa mitazamo mbalimbali:
1. Mtazamo wa Biblia – Kitabu cha Mhubiri
Katika Biblia, hasa kwenye Mhubiri 1:2, inasema:
Maana yake ni nini?
Maisha ya mwanadamu huwa mafupi, yenye tabu, na vitu vyote tunavyofanya vinaonekana kuwa havina maana ya kudumu.
Mali, heshima, furaha za muda – vyote huisha.
Mwanadamu huzaliwa, huteseka, hufa – na dunia huendelea kama vile hakuwahi kuwepo.
Lakini mwisho wa kitabu hicho, Mhubiri anasema:
(Mhubiri 12:13)
Hii ina maana: Maisha yanapata maana yake ya kweli pale tu yanapomrudia Muumba.
2. Mtazamo wa Falsafa ya Kifalsafa (Existentialism)
Wanafalsafa kama Jean-Paul Sartre na Albert Camus walisema: maisha hayana maana ya asili – ni mwanadamu anayepaswa kuyapa maana.
Camus alisema maisha yanaonekana kuwa ubatili kwa sababu ya mateso, mauti, na kutokueleweka, lakini mwanadamu anaweza kuishi kwa ujasiri kwa kuyakubali hayo na kuumba maana ndani yake.
3. Mtazamo wa Kiroho wa Kina (Metaphysical)
Maisha ya duniani yanaweza kuonekana kuwa ubatili kwa sababu ni kivuli cha maisha ya kweli ya kiroho.
Sisi si miili tu – bali roho zilizotumwa duniani kwa muda mfupi.
Maisha ya kimwili ni somo, mtihani, au hatua ya mabadiliko ya nafsi kuelekea kwenye nuru au uzima wa milele.
4. Kwa Nini Maisha Yanaonekana Ubatili?
Kwa sababu:
Hakuna kitu cha kudumu (kila kitu huchakaa na hufa)
Maumivu, magonjwa, kifo haviwezi kuzuiliwa kabisa
Mali na heshima haviwezi kutufanya kuwa na amani ya kweli
Binadamu hawezi kuelewa kila kitu kwa akili yake ndogo
Lakini:
Twende sawa vichwa vigumu vinahitaji hapana.
Ni zuri kwa waliokata kabisa tamaa ya maisha. Mtu aliyefikia utimilifu wa ndoto zake hatamani kabisa kusikia Neno Kifo,ndio maana umakini juu ya afya yake huongezeka maradufu!Ni vile umedanganywa ila kufa ni jambo zuri tu
Ni kweli kwamba kwenye hicho kitabu kuna ahadi ya mabikra 72 peponi?Naona wengi tunapata tabu sana kuhsu kufahamu lengo halisi la sisi kuletwa duniani,ila ndg zangu kwa yeyote anaehtaji kufahamu lengo la kuletwa kwake Hapa Duniani Basi namsihi atenge muda asome kitabu Cha Quran tukufu,kitabu kinachosomwa na waislam.
Quran imetoa majibu yote Khs Kwann sisi tupo Hapa duniani.
Moja ya mistari inayoelezea Hilo ni Hapa Mungu muumbaji aliposema ktk Quran kwamba "HATUKUUMBA MAJINI NA WATU ILA WAPATE KUNIABUDU"....Hapa Kwenye "KUNIABUDU" ndipo unahitajika kuipata elimu yake na hapo ndipo lilipo jibu la Haya yote tunayojadili hapa ikiwemo Hili neno "PUMBAO LA DUNIA"
Someni Quran ndg zangu Mungu ameweka majbu yote hapo.