Kwanini maisha ni Ubatili?

Kwanini maisha ni Ubatili?

Ila mwisho wa yote utakufa tu,nini maana ya kuhangaika au kuhofia kifo ambacho hujui kitakukutia wapi na saa ngapi.

Mwaka 2018 nilikua namuuguza jamaa yangu wa karibu,usiku mmoja alikuja mgonjwa yuko mahututi sana. Madaktari na wataalamu mbalimbali wa afya walijitahidi mpaka yule jamaa akawa sana kabisa mpaka inafika asubuhi.
Kuliookucha jamaa alikua fit kiasi ukilinganisha na hali aliyokua nayo,basi jamaa aliamka pale akaenda toilet,akanywa uji,n.k na kuanza kutupigisha story mle wodini. Zaidi alimshukuru sana Mungu kwa kumuepusha na umati kwasababu bado ana mipango mingi na tegemezi wengi sana.

Tulipiga story kama nusu saa hivi,jamaa akarudi zake kulala hapo kitanda. Na alipolala hakuamka tena ikawa ndio bye! bye! (R.I.P).

So unaona jinsi maisha yanavyopoteza maana.
Inafikirisha sana
 
Back
Top Bottom