Kwanini maisha ni Ubatili?

Kwanini maisha ni Ubatili?

Aisee !!! Nakubaliana na huo ukweli kwamba maisha ni ubatili but naomba kuuliza iwapo binaadamu wataacha kuzaliana sindio utakuwa mwisho wa uwepo wa binaadamu duniani na vipi kuhusu kuumbwa kwetu lengo haswaa lilikuwa ni nini !? Au ndio tuli kuwa cron na annunak ili tuje kukamilisha mission zao !?
Better iwe mwisho kuliko nafsi kuteseka ,miaka michache ijayo kutakuwa na maroboti tunaishi nao ... Binadamu atakosa hata kazi ,hizo biashara zitakuwa ngumu zaidi ... Ukifuatilia tu hasa Africa kila kukicha umaskini unaongezea; ile elimu iliyokuwa mkombozi haipo sasa, watu wanakufa hovyo kwenye ajali kila siku.
 
Better iwe mwisho kuliko nafsi kuteseka ,miaka michache ijayo kutakuwa na maroboti tunaishi nao ... Binadamu atakosa hata kazi ,hizo biashara zitakuwa ngumu zaidi ... Ukifuatilia tu hasa Africa kila kukicha umaskini unaongezea; ile elimu iliyokuwa mkombozi haipo sasa, watu wanakufa hovyo kwenye ajali kila siku.
Well Said , Nakuelewa sana

Swali langu la mwisho haujanijibu mkuu ?!?
 
Ni Mambo ya hovyo sana kwa kweli na kwanini palikuwa na hii mechanism ya kuzaliwa pasipo kumshirikisha mzaliwa

Imagine mtu ana zaliwa halafu anakuja duniani mara anaanza kuumwa cancer mara Figo zimefeli mara kapata ajali kakatwa miguu na mikono mara sijui kafilisika mara kafukuzwa kazi , maisha ni us**nge mtupu kmmk 🚮🚮🚮🚮



Ni ubatili sana Kwa kweli assume maisha ya watu wa Palestine na Ukraine the yalivyo !!! Hapo ndio utaelewa kwamba kuishi ni ubatili
Assume wanaozaliwa na HIV, sickle na Asthma automatically wameanza na tatizo dunia, na wengine ni wale kutoka familia maskini.

Tunakuwa na malengo kibao ila ni ubatili kama vile tunapoteza muda tu ili tuje kufa...Mtu anazaa mtoto mwenyewe , mtoto akija kufa anapata maumivu ya milele : sasa hauoni kama anajitengenezea maumivu mwenyewe 😅😅
 
😆😆😆😆😆

Nimecheka sana hoja yako nzito mnooo

Sasa katika mambo ambayo huwaga siyaelewi unakuta inatokea Kuna mtu Amenusurika Kupata ajali Au amepata ajali halafu hajafa --- Halafu anasema anamshukuru mungu hajafa Wakati huo huo anashukuru kuwa hajafa Wakati ipo siku lazima atakufa tu , kuna haja gani sasa ya kushukuru wakati kifo huwezi kukiepuka na nilazima uje kufa !!!!

Kuishi ni ubatili Kwa kweli
Hakika huu ni ubatili Mkuu, anashukuru kwa kutokufa wakati lazima tu atakufa. Anavyoshukuru ni kama hatokuja kufa tena.
Kuna muda ukitafuta maana halisi ya haya maisha unagundua hata maana yenyewe haina maana kwasababu hiyo maana haitodumu kwamaana utakufa na kuiacha,so hakuna maana.
 
😆😆😆😆😆

Nimecheka sana hoja yako nzito mnooo

Sasa katika mambo ambayo huwaga siyaelewi unakuta inatokea Kuna mtu Amenusurika Kupata ajali Au amepata ajali halafu hajafa --- Halafu anasema anamshukuru mungu hajafa Wakati huo huo anashukuru kuwa hajafa Wakati ipo siku lazima atakufa tu , kuna haja gani sasa ya kushukuru wakati kifo huwezi kukiepuka na nilazima uje kufa !!!!

Kuishi ni ubatili Kwa kweli
🤣😂, Unaweza ukakuta anayemshukuru mungu kwa kutotokwa na uhai kapoteza mikono, miguu au viungo vingine, jambo ambalo linafanya maisha yazidi kuwa magumu zaidi.
 
Ni kweli lkn nani asiyependa kula vzr, kuvaa vzr, kulala sehemu nzuri yaani upate zile basic needs katika kiwango unachoona inafaa ??? Hakuna hakuna na hatatokea

Ni kweli maisha ni ubatili lakini maisha ni mazuri Sana haya ukifanikiwa kuelewa namna ya kuyaishi, cc secretarybird
 
Halafu kuna mipumbavu ambaye hata kula yake ni shida bado anatombatomba hovyo na uendelea kuleta viumbe wengine waje kuteseka kwenye huu ubatili mtupu

1749930797040.png
 
Halafu kuna mipumbavu ambaye hata kula yake ni shida bado anatombatomba hovyo na uendelea kuleta viumbe wengine waje kuteseka kwenye huu ubatili mtupu

View attachment 3368786
😁mkuu Mbona makasilikoo unajua Tanzania ni under populated.

Acha watu wenye uwezo wa kuzaa na kuzalisha waifanye kazi ya bwana

Woteeee tuseme Amina 🙏 🙏
 
Back
Top Bottom