Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,638
- 220,410
Mmh mku wa nchi aende English course đź’©Pale British Council Dar es Salaam hawatoi siku hizi course za Kiingereza?
Mmh mku wa nchi aende English course đź’©Pale British Council Dar es Salaam hawatoi siku hizi course za Kiingereza?
Yule jamaa ni maji kupwa maji kujaaSijui shida ni nini tu? Maana Kiswahili ni lugha nzuri tu yenye hadhi na viwango stahiki vya lugha bora.
Magufuli haishi kuchomekea vimaneno vyake vya broken English ; hata kwenye mkutano wa wakuu wa jumuiya ya Afrika mashariki alinishangaza kwa kuingiza vijimaneno vyake vibovu vya kiingereza!
Lugha ya Kiswahili ikizungumzwa kwa ufasaha unaotakiwa ni lugha nzuri mno na ya heshima! Nilitegemea kwenye mkutano ule akiwakilishe Kiswahili kwa mbwembwe na madaha yote ya kisarufi lakini akaishia kukoroga tu mara achomekee vimisamiati vyake vya hovyo! Vimisamiati vyenyewe broken! Hata tenses tu hawezi!
Yule mwanamama wa kirusi alipokuja ikulu, Rais akawaponda wanaoongea kiingereza, eti 'wanajifanya'! Ebo!!? Juzi katutia aibu, badala ya kusema "air hostesses" kasema air 'hostages'!
Ningemshauri Rais aongee Kiswahili, tena Kiswahili sanifu!!
Kiingereza chake hafifu sana, hawezi kabisa sarufi! Tutaepuka "intaprentinyuwa" , "fenti fodi" na matakataka mengine ya dizaini hiyo!
Ila Mkapa alikuwa na eloquent matata sana. Kiswahili fasaha na kimenyooka na kujiamini. Akiongea kingereza utafurahi.Katika ma Rais waliokuwa wanajua Lugha ya Kiingereza kwa Ufasaha zaid Ni Mzee Julius Nyerere Na Mzee Mkapa Na Mara zote huwakuti wakichanganya lugha
Wakizungumza Kiswahili kinakuwa Kiswahili sanifu Na wakiongea Kiingereza utadha hawajui Kiswahili
Mseto wa Lugha Mara nyingi ni kuficha udhaifu wa kilugha
Sijui shida ni nini tu? Maana Kiswahili ni lugha nzuri tu yenye hadhi na viwango stahiki vya lugha bora.
Magufuli haishi kuchomekea vimaneno vyake vya broken English ; hata kwenye mkutano wa wakuu wa jumuiya ya Afrika mashariki alinishangaza kwa kuingiza vijimaneno vyake vibovu vya kiingereza!
Lugha ya Kiswahili ikizungumzwa kwa ufasaha unaotakiwa ni lugha nzuri mno na ya heshima! Nilitegemea kwenye mkutano ule akiwakilishe Kiswahili kwa mbwembwe na madaha yote ya kisarufi lakini akaishia kukoroga tu mara achomekee vimisamiati vyake vya hovyo! Vimisamiati vyenyewe broken! Hata tenses tu hawezi!
Yule mwanamama wa kirusi alipokuja ikulu, Rais akawaponda wanaoongea kiingereza, eti 'wanajifanya'! Ebo!!? Juzi katutia aibu, badala ya kusema "air hostesses" kasema air 'hostages'!
Ningemshauri Rais aongee Kiswahili, tena Kiswahili sanifu!!
Kiingereza chake hafifu sana, hawezi kabisa sarufi! Tutaepuka "intaprentinyuwa" , "fenti fodi" na matakataka mengine ya dizaini hiyo!