Kwanini Magufuli hataki kuongea Kiswahili?

Kwanini Magufuli hataki kuongea Kiswahili?

Ilikuwa kabla Ethiopian Airline haijawa bomba la gesi la kupitisha korosho tunazonunua kwa fedha zetu...

Tuko kwenye "laiti tlaki"
Hahahaaaaa kumbe babu bado haujaacha kutumia majani ya chai kwenye mboga.

Maendeleo hayana chama
 
Sijui shida ni nini tu? Maana Kiswahili ni lugha nzuri tu yenye hadhi na viwango stahiki vya lugha bora.

Magufuli haishi kuchomekea vimaneno vyake vya broken English ; hata kwenye mkutano wa wakuu wa jumuiya ya Afrika mashariki alinishangaza kwa kuingiza vijimaneno vyake vibovu vya kiingereza!

Lugha ya Kiswahili ikizungumzwa kwa ufasaha unaotakiwa ni lugha nzuri mno na ya heshima! Nilitegemea kwenye mkutano ule akiwakilishe Kiswahili kwa mbwembwe na madaha yote ya kisarufi lakini akaishia kukoroga tu mara achomekee vimisamiati vyake vya hovyo! Vimisamiati vyenyewe broken! Hata tenses tu hawezi!

Yule mwanamama wa kirusi alipokuja ikulu, Rais akawaponda wanaoongea kiingereza, eti 'wanajifanya'! Ebo!!? Juzi katutia aibu, badala ya kusema "air hostesses" kasema air 'hostages'!

Ningemshauri Rais aongee Kiswahili, tena Kiswahili sanifu!!

Kiingereza chake hafifu sana, hawezi kabisa sarufi! Tutaepuka "intaprentinyuwa" , "fenti fodi" na matakataka mengine ya dizaini hiyo!
OFKOZI PIPO YUZIDI TU DAI INI ZE ZE ZE ZE ZE LEKI.
 
Aiii kwani na nyie hamtaacha Rais asikie vizuri!!!neno hostesses haliwezi mshinda inaweza happen wakati flani mtu hukosea
 
Katika ma Rais waliokuwa wanajua Lugha ya Kiingereza kwa Ufasaha zaid Ni Mzee Julius Nyerere Na Mzee Mkapa Na Mara zote huwakuti wakichanganya lugha

Wakizungumza Kiswahili kinakuwa Kiswahili sanifu Na wakiongea Kiingereza utadha hawajui Kiswahili

Mseto wa Lugha Mara nyingi ni kuficha udhaifu wa kilugha
 
Mi nadhani huyu mzee angeachwa azungumze namna anayoona inafaa .Mbona musa yule aliyewatoa wanawaisrael kutoka misri nae hakuwa mzungumzaji mzuri mpaka akawa anatembea na mkarimani
 
Sijui shida ni nini tu? Maana Kiswahili ni lugha nzuri tu yenye hadhi na viwango stahiki vya lugha bora.

Magufuli haishi kuchomekea vimaneno vyake vya broken English ; hata kwenye mkutano wa wakuu wa jumuiya ya Afrika mashariki alinishangaza kwa kuingiza vijimaneno vyake vibovu vya kiingereza!

Lugha ya Kiswahili ikizungumzwa kwa ufasaha unaotakiwa ni lugha nzuri mno na ya heshima! Nilitegemea kwenye mkutano ule akiwakilishe Kiswahili kwa mbwembwe na madaha yote ya kisarufi lakini akaishia kukoroga tu mara achomekee vimisamiati vyake vya hovyo! Vimisamiati vyenyewe broken! Hata tenses tu hawezi!

Yule mwanamama wa kirusi alipokuja ikulu, Rais akawaponda wanaoongea kiingereza, eti 'wanajifanya'! Ebo!!? Juzi katutia aibu, badala ya kusema "air hostesses" kasema air 'hostages'!

Ningemshauri Rais aongee Kiswahili, tena Kiswahili sanifu!!

Kiingereza chake hafifu sana, hawezi kabisa sarufi! Tutaepuka "intaprentinyuwa" , "fenti fodi" na matakataka mengine ya dizaini hiyo!
Unachuki,sio kwa uwasilishaji huo
 
Sijui shida ni nini tu? Maana Kiswahili ni lugha nzuri tu yenye hadhi na viwango stahiki vya lugha bora.

Magufuli haishi kuchomekea vimaneno vyake vya broken English ; hata kwenye mkutano wa wakuu wa jumuiya ya Afrika mashariki alinishangaza kwa kuingiza vijimaneno vyake vibovu vya kiingereza!

Lugha ya Kiswahili ikizungumzwa kwa ufasaha unaotakiwa ni lugha nzuri mno na ya heshima! Nilitegemea kwenye mkutano ule akiwakilishe Kiswahili kwa mbwembwe na madaha yote ya kisarufi lakini akaishia kukoroga tu mara achomekee vimisamiati vyake vya hovyo! Vimisamiati vyenyewe broken! Hata tenses tu hawezi!

Yule mwanamama wa kirusi alipokuja ikulu, Rais akawaponda wanaoongea kiingereza, eti 'wanajifanya'! Ebo!!? Juzi katutia aibu, badala ya kusema "air hostesses" kasema air 'hostages'!

Ningemshauri Rais aongee Kiswahili, tena Kiswahili sanifu!!

Kiingereza chake hafifu sana, hawezi kabisa sarufi! Tutaepuka "intaprentinyuwa" , "fenti fodi" na matakataka mengine ya dizaini hiyo!

Unadhani kiswahili ndiyo kirahisi kama umetoka pande zile


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom