dramatises√Drama king dramatise his drama in dramatic concert to show them, he is a star.
Bibi achaga basi uchochezi baba Asprin anakusubiria umwandalie chai.Ninahamu ya kusikia ile hotuba aliyotoa kwa mabalozi walipoambiwa habari za Tanzania zisifike Twitter Kisha akakataa maswali
Ili iweje?
Chadema ni nani hapa? au umelewa ugoro?Acha upumbavu, raisi kukosea neno moja katika 1000 , ndio uanzishe Uzi, yaani chadema mmekosa hoja, kila kitu mnadandia , badala mjadili kuhusu mustakabali wa kupoteza jimbo la Arumeru kijinga, unaanzisha Uzi kumkebehi raisi,
Pumbaff
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Hayo mengine nakuachia wewe 'Jasusi la Tanganyika'.Chadema siku hizi hawaikosoi serikali pamoja na makosa kibao inayofanya, wako busy na kukosoa point za kijinga,
Hapo ilibidi ukosoe jambo la maana
Omba akuoe.Sawa nimekuelewa mbowe
Sawa nimekuelewa liquidOmba akuoe.
Phont phageHostage =hostesses
IIntapriyuwa =
SWISSME
HahahahaTukiunganisha phont phage, air hostages, interpretenuaa etc tunaweza kuwa na kamusi yetu made in Tanzania
Yeye Kamsema Rais hajamsema "raisi" unayemjua wewe. Kwa hiyo "signature" yako tu ya Arsenal pekee inaonyesha dhahiri wewe pia ni mlengwa wa lugha gongana...pooleAcha upumbavu, raisi kukosea neno moja katika 1000 , ndio uanzishe Uzi, yaani chadema mmekosa hoja, kila kitu mnadandia , badala mjadili kuhusu mustakabali wa kupoteza jimbo la Arumeru kijinga, unaanzisha Uzi kumkebehi raisi,
Pumbaff
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Kutumbuliwa ni ugonjwa hatari sana! Unaweza kuchukia kila kitu.Tukiunganisha phont phage, air hostages, interpretenuaa etc tunaweza kuwa na kamusi yetu made in Tanzania